Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Hahahahaaa.Nikuambie kitu?Mimi hua kila ninaposikia wimbo wa kimasomaso nakukumbuka sana.
Nakumbuka zile # tag zako na unavyoupenda......
Kila nilivyokua nataka kukuambia nasahau!

Aahahaha kiukweli naupenda huo wimbo basi tu. Kuanzia kwenye flash, laptop hadi kwenye simu zangu sitokaa niufute! Kuna watu walikuwa hawaujui hadi nimewaambukiza!
 
Aahahaha kiukweli naupenda huo wimbo basi tu. Kuanzia kwenye flash, laptop hadi kwenye simu zangu sitokaa niufute! Kuna watu walikuwa hawaujui hadi nimewaambukiza!

Mimi naupenda saaana.Niliusikia zamani sana,nadhani ni mwezi wa 7 mwaka 2013 (mwaka mmoja kabla ya officially release).Basi nikaupenda sana....
Basi hadi leo haipiti siku sijausikiliza.Hasa pale
... tuzae watoto tujenge tuwe na family....uwiiii
 
Mimi naupenda saaana.Niliusikia zamani sana,nadhani ni mwezi wa 7 mwaka 2013 (mwaka mmoja kabla ya officially release).Basi nikaupenda sana....
Basi hadi leo haipiti siku sijausikiliza.Hasa pale
... tuzae watoto tujenge tuwe na family....uwiiii

Waache wayaseme wewe leo uko na mimi
Na tule hizi raha tusahau ya duniani!
Dah mistari flani hivi amazing
#KIMASOMASO lol
 
Umeona eeh?Can't wait kusikiliza hiyo ngoma aliyomshirikisha Wiz Kid.Dogo sasa hivi namuelewa sana.

yaani now naona kweli kaamka na hataki utani na kazi, keep it up kiba we are here to support you
 
yaani now naona kweli kaamka na hataki utani na kazi, keep it up kiba we are here to support you

Sana.King yupo vizuri sasa thou anakuwa kimya sana kumbe ana project zake kibao za maana anatusurprise tu dadadeki...
Hapendi kuanika mambo yake kama mwafulani...
 
Back
Top Bottom