Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Hahahahaaaa ni utani tu.Si unajua leo kidogo nipasuke kwa furaha?
Usijali.Hiyo buku mtumie ndomo arudishie kwenye 'bilioni' yake aliyoipunguza jana.

hahaaa!!! jamani nifah we hutaki mgao?
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaaa,King akifanya collable basi ujue kashirikishwa.
Anasimama mwenyewe kiume.

hahahaaaaa!!! jamani yaani mimi mwana natamani iwepo tu kila mwaka sjui awe anabadili beat ili iwepo tuuuu!!! naupenda huu simbo jamani hautakaa uchuje kwangu!
 
Hahahahaaaa hiyo ndiyo habari ya mujini.
Promota akitaka kuwapandisha jukwaa moja King na diamond lazima aandae pesa za ziada za domo za kugawa jukwaani!

hahahaaaa!! la sivyo atalia mtoto wa watu!!! kayataka mwenyewe lkn, msiba wa kujitakia hauna kilio!!
 
we abou sema haki ya mungu!!!
is this for real? mbona kuna watu walikanaga kuwa king hana mjengo wa hivyo na wala hawezi kujenga mjengo wa hivyo!!!

Mjengo upo kunduchi kaamia juzi
 
Last edited by a moderator:
Umeona eeh?alivyoona Kiba kashtukia ikabidi amwage buku 2,2.

Kiba anachomfanya mwenzie sio vizuri kwakweli, adhabu yake inabidi aachie ngoma nyingine matataaaa!!! mbona tutauza hadi nyumba tulopanga ili tuhonge jukwaani!!
 
Ukienda kule insta utakutana na video ambazo babu tale anapanga watu jinc ya kumzomea kiba

jamani hv kumbe hii kitu very true!!! hahahaaaa Kiba wewe sio tabia nzuri jamani unachomfanya mtoto wa watu!!
 
Back
Top Bottom