Little Angel
JF-Expert Member
- Aug 21, 2011
- 1,212
- 373
Hahahahahaaaaa, imebidi nichangie kuna mtoto hapa home Anampenda sana Ali Kiba huwa anamwita Ali Kibaha.. Anasema he has a cute voice I like it..
Hana jipya lakini kutwa kucha migulubaja yako haikauki huku, atleast ungeona haya dogo!Na Kiba mwaka huu atawajambisha sana na hiyo misuli yenu ya urithi!Kibba ana kipi cha kujadiliwa?maana vyote vimeisha1.watoto 3 kila mtoto na mama yake.imeshajadiliwa2.video ya mwana.imeshachuja na haina mvuto tena3.kushangiliwa sana fiesta.imeshajadiliwa
Hana jipya lakini kutwa kucha migulubaja yako haikauki huku, atleast ungeona haya dogo!Na Kiba mwaka huu atawajambisha sana na hiyo misuli yenu ya urithi!
Back stage tigo kiboko Yao
Wamepanga kumzomea Ali Kiba aisee
I know it walifika leaders saa 5 ili wawah nafac za mbele
Ha ha ha kuna baadhi yao hawakupata chance yakuingia hapo.Yaani Diamond huku maeneo ya uswahilini kalisha watu mpunga then wameingia ktk coaster na kulipwa buku 5
Fundi ni fundi tuuuu!!!Subiri tuone watavyozomea!!Wamepanga kumzomea Ali Kiba aisee
Fundi ni fundi tuuuu!!!Subiri tuone watavyozomea!!
Hahahahh wameula wa chuya hata kama wangekuwa na hasira tani 100000000!!!!I know it walifika leaders saa 5 ili wawah nafac za mbele
Fundi ni fundi tuuuu!!!Subiri tuone watavyozomea!!
Kwa lile goma la Mwana nani wa kuzomea????Labda kama wamebeba mic!Watazomeana
Kwa lile goma la Mwana nani wa kuzomea????Labda kama wamebeba mic!
Kwani inaoneshwa?au upo eneo la tukio
Heheh nimesound as if naiona eeeeh???Hapana mi nasubiri updates tuKwani inaoneshwa?au upo eneo la tukio
Heheh nimesound as if naiona eeeeh???Hapana mi nasubiri updates tu
Ebu na wazomee tuone!!!Akuna wa kuzomea maybe pilau ziwaleweshe
Ebu na wazomee tuone!!!
Ha ha ha yap......ila leo mishale ya saa 8 maeneo ya Kkoo nilikutana na baadhi ya vijana mitaa tofauttofaut wamevaa tshirt zimeandikws team kiba