Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Kibba ana kipi cha kujadiliwa?maana vyote vimeisha1.watoto 3 kila mtoto na mama yake.imeshajadiliwa2.video ya mwana.imeshachuja na haina mvuto tena3.kushangiliwa sana fiesta.imeshajadiliwa
Hana jipya lakini kutwa kucha migulubaja yako haikauki huku, atleast ungeona haya dogo!Na Kiba mwaka huu atawajambisha sana na hiyo misuli yenu ya urithi!
 
Hana jipya lakini kutwa kucha migulubaja yako haikauki huku, atleast ungeona haya dogo!Na Kiba mwaka huu atawajambisha sana na hiyo misuli yenu ya urithi!

Back stage tigo kiboko Yao
 

Attachments

  • 1422133288056.jpg
    1422133288056.jpg
    31.8 KB · Views: 116
I know it walifika leaders saa 5 ili wawah nafac za mbele

Ha ha ha kuna baadhi yao hawakupata chance yakuingia hapo.Yaani Diamond huku maeneo ya uswahilini kalisha watu mpunga then wameingia ktk coaster na kulipwa buku 5
 
Ha ha ha kuna baadhi yao hawakupata chance yakuingia hapo.Yaani Diamond huku maeneo ya uswahilini kalisha watu mpunga then wameingia ktk coaster na kulipwa buku 5

Khaa khaa ngoja tuone nani atazomewa pale kuna wabaya wake TeamWema wamejipanga vizuri
 
mmmh!! hizo shida zote za nini sasa!! mweeh kaazi kwelikweli, kumbe kiba anawapa shida sana watu eti!!!! hashindani nao ila kuchwaa kumshindanisha na kumtafutia visa, wamwache afanye kwa nafasi yake as uwezo wote tunajua anao, sasa taabu ya nini!!!
 
Back
Top Bottom