Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Teamkiba wengi atujaingia tumejiunga na bundles zao mwisho wa cku akuna ujumbe ulioingia ambao tungeutumia kama tiketi ya kuingilia mule

kwani abou hakukuwa na option nyingine ya kununua tkt?
 
Last edited by a moderator:
gnt dearest, nategemea kukuta update asbh, mie macho yashaanza kushirikiana
 
you cant be seious!!! hivi haya mambo yapo kweli kumbe!!!!
ni kiba tu anawapa watu taabu hv au kuna lingine???

wao si wanasema kiba hamna kitu hata tuzo ni ya redio1 tu!! sasa kwann wahangaike hivyo if he isnt a threat to them? mie huwa najiuliza hili swali sipati jibu, ila ukiangalia in all ways still bado wakimtaja ndomo lazima wamuhusishe Kiba, why???? wakati washasema hana lolote???

si watulie wafanye yao na kiba afanye yake kistaarabu tu, kwani sh ngapi labda!!!

Ili ashangiliwe.......tatizo nyota yake ya paka kupendwa na wachawi.
 
Watu wanafanya hivyo vitu ila kwa D sijui kwakweli but ndo hivyo kama tulivyoelezwa. Si umeona ameandika ni issue ya ukweli!

Ni inshu ya kweli....tena watu walichonga Sana maana ng'ambo ya pili ndipo aishipo baba yake wa kumzaa na tena anaumwa sana lakini hakwenda zaidi aliishia kwa mganga wake.
 
King at work pilau walikula na pesa wakaokota na shangwe kiba wakampa
 

Attachments

  • 1422172995973.jpg
    1422172995973.jpg
    22.6 KB · Views: 171
Ivi kwanini wasanii wengine wanaendekeza ushirikina??Pamoja na kuvuka border kote kule jitu chawi kama nini sijuiii!!du
 
Mode huo mchezo ganiiii!Jamani wasanii wengine wanaweza kuolewa kwa kuendekeza ushirikina!
 
Abou Saydou njoo utupe updates huku achana na vigagura wamekesha wanakunywa damu ya mbuzi nifah upo wapi?
 
Last edited by a moderator:
Akajibiwa hivi.hyo n shaa akipga story na alikiba Jana sa cjui walimpa nn kumbuka n msanii Wa fella
 

Attachments

  • 1422178811314.jpg
    1422178811314.jpg
    38 KB · Views: 154
Back
Top Bottom