Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

mmmh!! hizo shida zote za nini sasa!! mweeh kaazi kwelikweli, kumbe kiba anawapa shida sana watu eti!!!! hashindani nao ila kuchwaa kumshindanisha na kumtafutia visa, wamwache afanye kwa nafasi yake as uwezo wote tunajua anao, sasa taabu ya nini!!!

Kiba ni silent killer
Miss u atoto
 
Last edited by a moderator:
Ha ha ha yap......ila leo mishale ya saa 8 maeneo ya Kkoo nilikutana na baadhi ya vijana mitaa tofauttofaut wamevaa tshirt zimeandikws team kiba
Kuna mtu yupo huko nimemwambia asiache kunirekodia performance ya Kiba then anitumie whatsApp.Kiba anapendeka mno huku kitaa na sijui hao watakaojitutumua kuzomea watakuwa wameshawishiwaje yaani ama sivyo sauti zao zinamezwa na teamkiba!
 
Ha ha ha jana maeneo ya magomeni kagera kama waelekea mburahati kwa mganga wake alikwenda zilichinjwa mbuz ile mbaya.Yaani hii ni inshu ya ukweli

you cant be seious!!! hivi haya mambo yapo kweli kumbe!!!!
ni kiba tu anawapa watu taabu hv au kuna lingine???

wao si wanasema kiba hamna kitu hata tuzo ni ya redio1 tu!! sasa kwann wahangaike hivyo if he isnt a threat to them? mie huwa najiuliza hili swali sipati jibu, ila ukiangalia in all ways still bado wakimtaja ndomo lazima wamuhusishe Kiba, why???? wakati washasema hana lolote???

si watulie wafanye yao na kiba afanye yake kistaarabu tu, kwani sh ngapi labda!!!
 
Yote hiyo ili amfunike Kiba?? Mweeeeh!Mwenzake ana kismati cha kuzaliwa nacho!

hicho kismati ndicho kinachonyima watu usingizi mama, mie hata nashindwa kushangaa kwakweli, watu wanaumiaaaa na kipaji cha kiba ambacho walidhani wanaweza kukizima ila imeshindikana sasa wanahahaaaa!!! Kiba habari nyingine wamuache tu kwakweli
 
you cant be seious!!! hivi haya mambo yapo kweli kumbe!!!!ni kiba tu anawapa watu taabu hv au kuna lingine???wao si wanasema kiba hamna kitu hata tuzo ni ya redio1 tu!! sasa kwann wahangaike hivyo if he isnt a threat to them? mie huwa najiuliza hili swali sipati jibu, ila ukiangalia in all ways still bado wakimtaja ndomo lazima wamuhusishe Kiba, why???? wakati washasema hana lolote???si watulie wafanye yao na kiba afanye yake kistaarabu tu, kwani sh ngapi labda!!!
Teh! Teh! Haya mambo yapo etii
 
Back
Top Bottom