Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,410
- 82,324
Jamani ebu weka tena caption ya king Lawrence!Mbuzi umechinja,umejinyeanyea pressure ya Kiba bado na buku mbili umegawa!unamgwaya Kiba mpaka unaumwa!
Hahahahaaaa uwiiiiii leo ni furaha ya hatariiiiii...
King atamuua mtoto wa tandale jamani!