Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Sasa naanza kuamini Kuwa Dimond anamuhofia Ally kiba kwa jinsi alivyojiandaa na pressure ilivyokuwa....Tofauti na show zake nyingine anavyokuwaga kujiandaa.

Wanamuhofia yy na mameneja wake
 

Attachments

  • 1422181093644.jpg
    1422181093644.jpg
    58.9 KB · Views: 128
Wallah kwa aibu na udhaifu ule aliounesha ndomo jana,angekua King ndio kafanya vile nisingeingia humu JF wiki nzima!Kwanini amwage pesa kama anajiamini?
Hivi anadhani pesa zinaweza kununua furaha?Masikini Chibu!
Kumbe Kiba anamtisha kiasi cha kumwaga madolari jukwaani?So sad....
 
Wallah kwa aibu na udhaifu ule aliounesha ndomo jana,angekua King ndio kafanya vile nisingeingia humu JF wiki nzima!Kwanini amwage pesa kama anajiamini?
Hivi anadhani pesa zinaweza kununua furaha?Masikini Chibu!
Kumbe Kiba anamtisha kiasi cha kumwaga madolari jukwaani?So sad....

King awez Fanya ujinga now yupo kunduchi kwenye hekalu lake muache amwage na aendelee kuishi Jikoni sinza
 
Hahahaaaaaaa uwiiiiiiii
Leo umeniamulia wallah!

Sasa bi Dada meneja mwenye akili anapost vp ujinga kama huu baada ya kufunikwa !! Yy anauza poda mbona atumpost au anafikiri watu atujui
Anakuja na blaa blaa za kiganga
 
Back
Top Bottom