huu uzi unaboa. mi nilijua wanamjadili kiba wao angalau nione kipi chafanya wamkejeli kwa kumuita king... cjaonamo chochote zaidi ya stori ambabazo ingewezekena kupigia PM...
Wewe ni great thinker.
Kibba ana kipi cha kujadiliwa?maana vyote vimeisha
1.watoto 3 kila mtoto na mama yake.imeshajadiliwa
2.video ya mwana.imeshachuja na haina mvuto tena
3.kushangiliwa sana fiesta.imeshajadiliwa
Jiandae kulia tena Leaders Club kwenye tamasha la tigo kiboko yao.
Na Davido hayupo sasa sijui yule malaya wa kiganda atawasaidia vipi?
Huku mwana Fa uku Kiba lazima mkae kudadadeki.
Diamond ni jeshi la mtu mmoja.tutakutana hapahapa jf ila msikimbie
katika pitapita zangu nimesikia king anataka kuja na jiwe jipya!jina tu la hiyo ngoma nimekubali....nasikia litaitwa MAPENZI MAGOROFA....mjina wa kibaba sana lazma ujiulize king anazungumzia nini humo ndaniUnaelewa maana ya jeshi la mtu mmoja ?
katika pitapita zangu nimesikia king anataka kuja na jiwe jipya!jina tu la hiyo ngoma nimekubali....nasikia litaitwa MAPENZI MAGOROFA....mjina wa kibaba sana lazma ujiulize king anazungumzia nini humo ndani
katika pitapita zangu nimesikia king anataka kuja na jiwe jipya!jina tu la hiyo ngoma nimekubali....nasikia litaitwa MAPENZI MAGOROFA....mjina wa kibaba sana lazma ujiulize king anazungumzia nini humo ndani
vipi tena akahitaji back up ya akina chege na davido siku ya fiesta?Diamond ni jeshi la mtu mmoja.tutakutana hapahapa jf ila msikimbie
kwa kweli ni mzuri na ile ngoma king kaifanya iwe moto zaidi kuonesha kwamba mwana-fa alikuwa makini ktk kuchagua mtu wa kufanya nao collabo.Nimeiona video ya Kiboko yangu,sio mbaya...
itakua fasihi kali hiyo na sio zile nyimbo kama unasoma gazeti. hakuna kipyaMapenz magorofa
Mbona mm nipo kwenye utata
Wehu wengine ni wa kuwapigia kimya tu manake kuwajibu ni kupoteza muda.Pita huku uhusiki hapa kafie mbele huko.
kibba ana kipi cha kujadiliwa?maana vyote vimeisha
1.watoto 3 kila mtoto na mama yake.imeshajadiliwa
2.video ya mwana.imeshachuja na haina mvuto tena
3.kushangiliwa sana fiesta.imeshajadiliwa
kuna watu wana ashki majnuun sana humu
si mkatafute mabasha wawape kitu
mcxxcciiiiiiiiiuuuuu
sasa mama ufalmeni nani hataki kutia maguu??? utajuaje naye ni member jf asipopita humu??? sio kosa lake ni mvuto wa king ndio umemleta sema akajisahau hakuwasiliana na ubongo!
Wehu wengine ni wa kuwapigia kimya tu manake kuwajibu ni kupoteza muda.
Kweli kabisa, wakati mwingine kimya huwa ni jibu toka kwa mtu ambaye unajua wazi kwamba umemzidi sana akili.
Ujue bila JF hawa watu wengine tungeishia kuwaona tu kwenye zebra wakiwa wanavuka barabara au tuonane nao kwenye gates za makanisa na misikiti.
Ova