Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Hahahaaaa! Poleni jamani, nimekuwa na mwezi mgumu sana kikazi, mambo mengi na ni lazima yaishe mwezi huu, nifah anajua.
Lakini sipendi mnikose kabisa ndo maana najitahidi kuchungulia humu. Na nafurahi mnavyonikumbuka ndugu zangu.
Ova

oooohh!! kumbe ni kaziiii!! hapo sawa maana huyu nifah huyu hachelewi akawa anamsema Ms.Lincoln hapa kumbe nae kamfungia mtu!, pole sana na majukumu ndio utu uzima huo.
 
Last edited by a moderator:
Umemuona shoga ya Paula kilaki maneno aliyoyazungumza kule. Eti vimalaya vya Alikiba tupo identity zetu humu.....hahahaaaaa!! nilishangaa sana walomtetea siku ile eti kaitwa voda fasta!!

hahahaaaaaa!!! nimemuona nikaamua kumpuuza!! cjui alimtaka kiba akamkataa basi stress zake anamalizia kwetu, mwache ajiridhishe.
 
Last edited by a moderator:
Umemuona shoga yako Paula kilaki maneno aliyoyazungumza kule. Eti vimalaya vya Alikiba tupo na identity zetu humu.....hahahaaaaa!! nilishangaa sana walomtetea siku ile eti kaitwa voda fasta!!

Nimeshindwa hata kuchangia chochote pale kuilinda heshima yangu.Siwezi kujivua nguo hadharani kwa kubishana na mwendawazimu.
Eti anaikomalia(na wapuuzi wenzie) issue ya Kiba kua na watoto watatu kwa mama tofauti!Ni nani aliyewahi kumuona King akifanya mambo ya kishenzi hadharani?Hili tu linatosha kwangu kumpa heshima yake Kiba.
Watoto sio jambo la ajabu,kitanda hakizai haramu!
 
Last edited by a moderator:
Nimeona,aisee that mama is so pathetic,alafu huwa anakuja motto akikutana na maji anaanza kulialia!!Wengine nao wanagogoseka tu kaMa walevi,haa!!kiba jaza ulimwengu achana na wanao ua wakwao!!Uwiiii...ushabiki tu mtu anajifanya kama ndomo ngugu yake!!amaa
 
Nimeshindwa hata kuchangia chochote pale kuilinda heshima yangu.Siwezi kujivua nguo hadharani kwa kubishana na mwendawazimu.
Eti anaikomalia(na wapuuzi wenzie) issue ya Kiba kua na watoto watatu kwa mama tofauti!Ni nani aliyewahi kumuona King akifanya mambo ya kishenzi hadharani?Hili tu linatosha kwangu kumpa heshima yake Kiba.
Watoto sio jambo la ajabu,kitanda hakizai haramu!

hahahaaaa!!!! inawauma maana hata wa kusingiziwa wao hana na um...ya wote, he is shooting blank u know, teh teh teh!!!
nimemstahi sana aisee, nashukuru Mungu kwa kuwa kwenye kundi la wanaojitambua, Kiba's fans mimi penda nyinyi mingimingi
 
Umemuona shoga yako Paula kilaki maneno aliyoyazungumza kule. Eti vimalaya vya Alikiba tupo na identity zetu humu.....hahahaaaaa!! nilishangaa sana walomtetea siku ile eti kaitwa voda fasta!!

Wewe jembe nakuheshim kwa kweli!Voda fasta achana naye...ataanza kulia lia na kujifanya victim akati yeye ndo mtata,ana maneno makali yenye maudhi hatari...!
 
Last edited by a moderator:
Haha haaaa,jamani baby wangu yuko busy sana,nafasi anayoipata ya kuingia humu anaimalizia PM kunifariji.
Hata mimi namiss sana comments zake humu.Ila soon atarejea.

mnafarijiana pm eti!!! haya bwana
ngoja nonywe maji kwanza
Haha haaaa,tumeshajibu vizuri tu.
Sisi tuko open sana.Kazi kwao wazee wa mafichoni...lol

alafu wamepotea tena!! teh teh, ila taratibu ndio mwendo maana hata wewe na mdakuzi mlianza hivyo hivyo mwisho wa siku mkakohoa kwa nguvu mpaka majirani wakackia
 
hahahaaaaaa!!! nimemuona nikaamua kumpuuza!! cjui alimtaka kiba akamkataa basi stress zake anamalizia kwetu, mwache ajiridhishe.

Kwa kweli nimeshindwa kabisa kumuelewa na wenzie.Walidhani tungeenda kujivua nguo pale.
Walitaka nini?tumponde King kwa kua na watoto?
Eti hatopata mke,ni mpuuzi pekee atakayeshindwa kuoa/kuolewa na ampendaye kisa watoto.
Wamesahau kua ukipenda boga.......
 
hahahaaaa!!!! inawauma maana hata wa kusingiziwa wao hana na um...ya wote, he is shooting blank u know, teh teh teh!!!
nimemstahi sana aisee, nashukuru Mungu kwa kuwa kwenye kundi la wanaojitambua, Kiba's fans mimi penda nyinyi mingimingi

Haha haaaa,itabidi tumpe ndomo hako ka mdoli kako apate japo cha kusingizia fans wake watuache tupumue na King wetu....khaaaa watu wananung'unika hadi vidole vinawaka moto kwa kutype magazeti ya lawama!
 
Wewe muache tu....yetu macho naona kuna kitu hakijakaa sawa.
Mimi sina shida sana maana Matola alishaniahidi kunitambulisha mambo yakishakaa sawa.

ninavyosubiri kwa hamu sasa! duuuh jukwaa linanoga hiliiii

watu wamevumiliaaaa yakawashinda nao wameiga, chezea sisi wewe!!!!
 
Last edited by a moderator:
Kwa kweli nimeshindwa kabisa kumuelewa na wenzie.Walidhani tungeenda kujivua nguo pale.
Walitaka nini?tumponde King kwa kua na watoto?
Eti hatopata mke,ni mpuuzi pekee atakayeshindwa kuoa/kuolewa na ampendaye kisa watoto.
Wamesahau kua ukipenda boga.......

teh teh teh!!
kavumiliaaaaa mwisho kashindwa kuzizuia hisia zake kwa king leo kaamua kuzianika waziwazi, kumbe ndio maaanaaaa!!!! kukataliwa kubaya jamani!
 
Nimeona,aisee that mama is so pathetic,alafu huwa anakuja motto akikutana na maji anaanza kulialia!!Wengine nao wanagogoseka tu kaMa walevi,haa!!kiba jaza ulimwengu achana na wanao ua wakwao!!Uwiiii...ushabiki tu mtu anajifanya kama ndomo ngugu yake!!amaa

Acha tu.Huu ushabiki watu wanajiona wameshakua akina Romy Jones au Esma!
Kiba ongeza na wengine 7 wafike 10 kabisa.
Kwani shida iko wapi?kuna aliyenung'unika kakosa matumizi?
Kwanza King wetu handsome vitoto vizurije sasa?Waacheni wanawake wajipatie zawadi ya watoto wazuri.
Huyo ndomo sipati picha wake watakuwaje!
 
ninavyosubiri kwa hamu sasa! duuuh jukwaa linanoga hiliiii

watu wamevumiliaaaa yakawashinda nao wameiga, chezea sisi wewe!!!!

Haha haaaaa,uwiiiiiii atoto sikuwezi mpenzi!
Kumbe umeshapata hiyo kashda eeh?Na wataiga sana,walianza thread....sisi tukapiga kimya,tukaanza ma project yetu nayo wanaiga.
Haha haaaa,wenzao tuko serious sasa wao acha wajifurahishe.
 
Last edited by a moderator:
Acha tu.Huu ushabiki watu wanajiona wameshakua akina Romy Jones au Esma!
Kiba ongeza na wengine 7 wafike 10 kabisa.
Kwani shida iko wapi?kuna aliyenung'unika kakosa matumizi?
Kwanza King wetu handsome vitoto vizurije sasa?Waacheni wanawake wajipatie zawadi ya watoto wazuri.
Huyo ndomo sipati picha wake watakuwaje!

hahahaaaaaa!!!
ile mbegu nani haitaki kwa vitoto vizuri km vile!! usione watu wanaweweseka ni kuwa tu wanatamani na hawawezi kuipata

huu ushabiki mbona sasa watu wanakosa ustaarabu, yaani mpaka kutuita malaya!!!! like serious!!! kajuaje kama hatuufanyi wote!!!
 
Back
Top Bottom