Abou Saydou
JF-Expert Member
- Dec 1, 2014
- 2,948
- 2,112
Haha haaaa,naona bibi akiwepo bwana anapotea and vice versa.....
Yaani Bibi na Bwana akitoka Bibi uwa anaenda sokoni Babu akitoka anaenda kuchota maji
Haha haaaa,naona bibi akiwepo bwana anapotea and vice versa.....
Yaani Bibi na Bwana akitoka Bibi uwa anaenda sokoni Babu akitoka anaenda kuchota maji
Bampa to Bampa imetoka wapi kwenye swali la Matola?
Jibu swali...hiyo style ya King baadaye....
Teh teh teh ....
Hahaaaaaaaa.....
Bampa to Bampa!!
hahahaaaa!! haki ya nani hii kweli bampa to bampa
Yaani Bibi na Bwana akitoka Bibi uwa anaenda sokoni Babu akitoka anaenda kuchota maji
bora wao hawapotei sana
Mpole mimi mpenzi karibu nyumbaniEeh toto
Nimeiona imterview jamani!Kapendeza kijana wa watuu!
Taratiiib,mtanielewa tuu!hahaaaaa nifah mie Ms.Lincoln hata simuelewi, njoo unisaidie
Mpole mimi mama yaani mtoto ninazurura mimi mpaka najishangaa, nadolishia nguo yangu mpya mama, usinichape mama sawa eeeh!Eeh toto
Taratiiib,mtanielewa tuu!
ila bora wao mwenzngu Mdakuzi ndio simuelewi kabisaaa!!!(umbea suna)