Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ucjar mumy now ntajitajid kubalance tym nawamiss mnooooo

thats gud mpenzi, umepitwa na mengi aisee, tushaserebuka na video ya mwana now tunasubiri tu mambo ya bampa to bampa
 
Haha haaaa,si unajua kimvua hiki cha leo kilivyo na usingizi mtamu?

na hivyo hiyo hali ya hewa ni nadra kwenu!!! basi ni full burudani huku unackiliza ya karim taratiiibu
 
Jamani!Hongera mwaya sisi tumeshazoea hizi karaha hadi zimegeuka burudani kwetu....

mmmh!! hiyo hali kwakweli mimi ilinishinda kuizoea kabisaaa, nahisi kama nipo ndani ya tanuru ukija barabarani napo taabu!!! hapana nimeaachia wanaouweza now nipo kwenye kipupwe full burudani
 
mmmh!! hiyo hali kwakweli mimi ilinishinda kuizoea kabisaaa, nahisi kama nipo ndani ya tanuru ukija barabarani napo taabu!!! hapana nimeaachia wanaouweza now nipo kwenye kipupwe full burudani

Mhhhh unavyoringa na huko?Haya mama ngoja sie tuchomeke kwenye hili tanuru...lol
 
Mhhhh unavyoringa na huko?Haya mama ngoja sie tuchomeke kwenye hili tanuru...lol

hahaaaa!! acha niringe maana ukitoka huko ukija huku hutamani kuondoka aisee, now nacheza mwana kwa rahaaaaaa hata sihofii kutota jasho

alafu nimekumbuka ngoja nicheki video la mwana nimelimisssss
 
Back
Top Bottom