Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,409
- 82,301
Hata sikumbuki kitu....
Last edited by a moderator:
hahaaaaa!!! yaani nilipoona kuwa ushaquote nikacheka kwa nguvuuu, alafu mwenyewe ulivyoitamka kwa mbwembwe sasa!!!
Happy new year kiba fan's nmewamiss sana jaman lol.😛
waza yaliyo mema mpenzi na muombe sana Mungu awapiganie, love conquers all u know.
Uwiiiiiii!Hebu tuambie kwanza ulijificha kwenye pango gani maana ni hatariiii
Miss you vibaya mnoooo
Kwani ilikua nini tena?
Yaan acha tu mpnz majukumu haya yanatunyima uhuru wengne bt kiroho.nilikuwa nanyi. Niliimiss sana hii timu wallah
Haha haaaa,nitakua sikuamini tena...
Mamaa ya tango pori...lol
Yaan acha tu mpnz majukumu haya yanatunyima uhuru wengne bt kiroho.nilikuwa nanyi. Niliimiss sana hii timu wallah
hata mm nimesahau aisee
hahaaaaa!!! hapana bwana niamini tu, si unajua tena furaha ilizidi nikawa natyp kwa kimuhemuhe nikajikuta mekosea, chezea le King wewe?
inabidi Abou Saydou aje atukumbushe
Usijali mumy,ni utani tu..
Le King Kiba ni mwendo wa Bampa to Bampa....aisee imekaa safi sana hii.
Aimeeeeen!!!
happy new year dearest, ulipotelea wapi?? wellcome back
we Abou Saydou hebu ukuje dogo utukumbushe
Jamani nilipita hapa though late night!
#Bampa2Bampa eyooooooooo!