Ali Kiba Fans' Special Thread...

Mhhh,itabidi unifundishe na mimi nisijeipata aibu kwa kudance mbele za watu kwa maconfidence yote kumbe naonekana hamnazo kwa wanaojua..lol

Wala usitie shaka, wewe tena! Nitakufundisha zote hadi uzielewe. lol
Ova
 
Kwa jona LA YESU NATANGAZQ PEPO TOKAAAA TOLAAA TOMATOLAAAA RAKASHABA SHUKIRIMANDANOLA
 
Mpwa nimeso a gazetinkauliza machoyangu ama unajua vileviuno anavyokata vilinishtua sanasikumoja nkahoso yulenanio wa wema uwiiii pepooo tokaaaaaaa shikaramdmatolaaaaaaaaaa mungu amrehemu ila waangalie na backgroundyafamilia unawezakuta kuna mmojawao akiwautotoni walimwonka aka walimwonja....akagoma kuendelea
 
Hujamjua tu?uwiiiii Ms.Lincoln hufai mpenzi!
Hata hivyo siwezi kukuambia hapa nisijemponza kaka wa watu!Naogopa lawama sana.
Hujanigundua mie leo akili ni kama imepigwa ganzi,nimechoka nisaidie kuwazua bwana!
 
Last edited by a moderator:
Kanisa LA pdidy sad aka ahesabu matola tutalisimalisha kanisa kweliii haaaaahaaaaq mpwaukowapi naelekea calabash

Mbavu zangu jamaniiii!!ha ha ha ha!!pepo ashindweee! Matola amepotelea wapi sijui...
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…