Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Haha haaaaa Matola leo umenichekesha kuliko siku zote na huyo mbebez wa ukwe'he....

Wish ya all the best guys katika Le Project lenu hilo.

Le project just begins tonight.

Thanks for ur compliments, utamjuwa tu kwa wakati muhafaka.
 
Last edited by a moderator:
Le project just begins tonight.

Thanks for ur compliments, utamjuwa tu kwa wakati muhafaka.

Ajajajajajaaaaaaa

Nitashukuru sana kumjua aunt angu kwa ankal angu Matola....
 
Last edited by a moderator:
Huu ni mwanzo wa mwaka vipi ada ushalipa?? Au ndio umemwachia mamake anayekuzidi kipato??

Matola nipe account number nikutumie milioni 1 umlipe mwanao ada ya shule.... wote humu ndani muwe MASHAHIDI

Nye siyo wanaume,mtakuwa Volkswagen magari yenye injini nyuma,wanaume waliokamilika hawawezi kuwa na tabia za kimombasa
 
Last edited by a moderator:
Matola nipe account number nikutumie milioni 1 umlipe mwanao ada ya shule.... wote humu ndani muwe MASHAHIDI

Nyie si mnamfahamu Matola as tapeli? Na mwanae pia mwamfahamu, kwanini msimpelekee hizo hela huyo mtoto moja kwa moja hasa ukizingatia mlishasema ametelekezwa?

Loh watu mkishakuwa na hela ya kubadili mboga basi ndo mnataka kusumbua mtaa, hapo ukute ndugu zenu wenyewe wana maisha magumu ila kwakuwa mnatafuta kick mtalaza mpaka wake zenu njaa. Hovyoooooo!!! Kazi kuchafua wenzenu tu utadhani nyie hamnaga ya ajabu myafanyayo huko kwenu.

Matola Matola.....kama nyie wanaume kweli mfuateni huko kitaani kwake na si kuja kutuharibia uzi. Mxiiiiiuuuuuuuuuuu
 
Last edited by a moderator:
Matola nipe account number nikutumie milioni 1 umlipe mwanao ada ya shule.... wote humu ndani muwe MASHAHIDI

Mwanamke wake anamzidi kipato.. Kanunua paso hahaha.. Hapa anamfurahia mbebezz kumfata PM.. Ahahaha, anamiliki Hotel inayofanyia mikutano ya CCM kila mwaka ahahaha huyo ndo matola wa JF
 
Last edited by a moderator:
Nye siyo wanaume,mtakuwa Volkswagen magari yenye injini nyuma,wanaume waliokamilika hawawezi kuwa na tabia za kimombasa

Wanadai wanamfahamu Matola ila cha ajabu wanaogopa kumfuata huko kwake na badala yake wamebaki tu kupanua pua zao humu jamvini.
Shame on them coward men!!!

Ama kweli ndevu sio ukubwa.
 
Last edited by a moderator:
N UK sio AFRICA endeleeni kusema video mbaya haters
 

Attachments

  • 1420666700175.jpg
    1420666700175.jpg
    37 KB · Views: 84
Choko ni dingi yako mzazi papa wewe!

Hizi ndio tabia zenu halisi na inaonesha wazi mmezaliwa familia za aina gani.

Mlimtukana blindly mama yake Davido na akawajibu she is in heaven na leo mnakuja na yale yale kutukana wazazi wa watu msiojuwa hata status zao, hili halikubaliki nitahakikisha tunafundishana adabu na kuheshimu utu wa wengine.

Stay tune.
 
Dingi yangu hawezi kukaa meza moja na wewe. Hana muda wa kupoteza kukaa anachokonoa maisha ya watu kama nyie.

Life likimgonga anatulia tuliii kama ananyolewa na si kumalizia stress zake za maisha kwa wengine.

Come down please, there is new option ya kudeal na watu wanaogeuza hapa ndio kijiwe cha kuleta stress na failure zao za maisha.
 
Morning Good people!!Yani humu ndani kumefanywa kama ndo sebule ya Matola!?Nashauri wanaomfahamu na utapeli wake waje wamkamate akafunguliwe mashtaka,utapeli ni kosa la jinai,so as kumterekeza mtoto pia wakaanzie ustawi wa jamii!!Kumfedhehesha humu na kutukana kila mtu anayewashangaa wala haipunguzi na kuongeza loloteee!!
 
Last edited by a moderator:
Dingi yangu hawezi kukaa meza moja na wewe. Hana muda wa kupoteza kukaa anachokonoa maisha ya watu kama nyie.

Life likimgonga anatulia tuliii kama ananyolewa na si kumalizia stress zake za maisha kwa wengine.
My dear,achana nao!!Kabisa yani!It will never knock to their senses kuwa they manlyhood is questionable!
 
Umeona eeh?Halafu ukiwakuta wanavyojidai eti adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzie yao hawayaoni.

Kuhusu King ni mwendo wa pop it in...

uh!! hayo wanaongeaga tu kujifariji ila ukweli wanaujua, sifa ya uanaume imebaki kwa wachache sana nowdays.

Kibaaaaaaa pop it in
 
Back
Top Bottom