Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

uh!! hayo wanaongeaga tu kujifariji ila ukweli wanaujua, sifa ya uanaume imebaki kwa wachache sana nowdays.

Kibaaaaaaa pop it in

Na mmejionea juzi hapa uzushi tu wa panya road wote hawa walijifungia ndani na waliokuwa bar walitimuwa mbio bila hata kuona walichokuwa wanakikimbia. Wanaume wamebaki wachache sana.
 

Attachments

  • 1420697693335.jpg
    1420697693335.jpg
    34.5 KB · Views: 56
Last edited by a moderator:
matumbo@Nkyah@sakni poleni sana km kweli ni me bas mna maisha magumu daah

Unayajua maisha magumu wewe?? Ahahahaha kukimbia majukumu ya kusomesha ndio characteristic ya kwanza ya maisha magumu hahahaha, ya pili ni kukiri hadharani mwanamke wako anakuzidi kipato kisa kazichangachanga akanunua paso hahaha
 
Last edited by a moderator:
Unayajua maisha magumu wewe?? Ahahahaha kukimbia majukumu ya kusomesha ndio characteristic ya kwanza ya maisha magumu hahahaha, ya pili ni kukiri hadharani mwanamke wako anakuzidi kipato kisa kazichangachanga akanunua paso hahaha

Ukiona mtu anajichekesha chekesha kila comment ujue limemgusa so anazuga tu ili kujikosha.
 
Na mmejionea juzi hapa uzushi tu wa panya road wote hawa walijifungia ndani na waliokuwa bar walitimuwa mbio bila hata kuona walichokuwa wanakikimbia. Wanaume wamebaki wachache sana.

hahaaaaa!! eeeh mwenyezi Mungu turehemu.
 
Ikiisha siku sijaangalia hii video huwa siridhiki kabisa. Kiba ana swagga zenye mvuto bhana acheni!

yaani we acha tu, alafu huu wimbo hauchuji jamani kila cku ni mpya, Kiba noma sana
 
Unayajua maisha magumu wewe?? Ahahahaha kukimbia majukumu ya kusomesha ndio characteristic ya kwanza ya maisha magumu hahahaha, ya pili ni kukiri hadharani mwanamke wako anakuzidi kipato kisa kazichangachanga akanunua paso hahaha

kusoma kuelewa kukesha mbwembwe....!!!
 
hahahaaaaa!!! msuli tembo matokeo sisimizi, hebu wakapumulie stress zao huko, watuache na king wetu

Tatizo Matola ni gogo la udi ukilichoma ndio linazidi kunukia.

Haters wanapata stress ukiwauliza sababu watakujibu basi tu.
 
Back
Top Bottom