Dr Matola PhD
Platinum Member
- Oct 18, 2010
- 61,429
- 108,580
- Thread starter
- #6,561
uh!! hayo wanaongeaga tu kujifariji ila ukweli wanaujua, sifa ya uanaume imebaki kwa wachache sana nowdays.
Kibaaaaaaa pop it in
Na mmejionea juzi hapa uzushi tu wa panya road wote hawa walijifungia ndani na waliokuwa bar walitimuwa mbio bila hata kuona walichokuwa wanakikimbia. Wanaume wamebaki wachache sana.