Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Tatizo Matola ni gogo la udi ukilichoma ndio linazidi kunukia.

Haters wanapata stress ukiwauliza sababu watakujibu basi tu.

Peleka mtoto shule acha kukimbia majukumu.. Mwenzio le mutuz anatumaga school fees hata kama mzazi mwenzake anamzidi kipato
 
Tatizo Matola ni gogo la udi ukilichoma ndio linazidi kunukia.

Haters wanapata stress ukiwauliza sababu watakujibu basi tu.

chuki zingine bwana!!! utafikiri wake wenza!! na ndio chuki walizonazo mpaka kwa kiba na kila anayemshabikia, mwehu sio lazima aokote makopo
 
chuki zingine bwana!!! utafikiri wake wenza!! na ndio chuki walizonazo mpaka kwa kiba na kila anayemshabikia, mwehu sio lazima aokote makopo

Kanuni yangu ya mwaka huu 2015 sitaki ban bali wajinga wote nawaweka lockup for good forever.
 

Attachments

  • 1420705936416.jpg
    1420705936416.jpg
    44.5 KB · Views: 90
Teh teh ubuyu mtamu sana huuu ngoja nizihifadhi hizo screen shots for further use
 
Unayajua maisha magumu wewe?? Ahahahaha kukimbia majukumu ya kusomesha ndio characteristic ya kwanza ya maisha magumu hahahaha, ya pili ni kukiri hadharani mwanamke wako anakuzidi kipato kisa kazichangachanga akanunua paso hahaha

mkuu we ni jinsia gani?
 
Back
Top Bottom