Ali Kamwe: Kuna mchezaji tangu kaenda timu nyingine anajitutumua kuliko alipokuwa kwetu

Ali Kamwe: Kuna mchezaji tangu kaenda timu nyingine anajitutumua kuliko alipokuwa kwetu

Huyu Ali Kamwe ni mpare.Mimi sishangai kwa kauli yake ya uhasidi.Hao wanauza ng'ombe kwa kesi ya kupoteza kuku.Kwa asili yake Ali Kamwe hiyo ni DNA hawezi kuepuka.Anaona tabu watu wakifanikiwa.
 
Ally Kamwe kipindi yupo Azam, alikuwa smart sana, ilikuwa akichambua, unaona kabisa kuna mtu humu...

Sasa sijui imekuwaje siku hizi.

Sema ndivyo waafrica mlivyo. Mnapenda sana kusagiana kunguni
 
Mimi ni Msambaa, na siyo Mpare! Na siungi mkono kumhukumu mtu kwa sababu ya kabila lake. Ni vizuri mkamshambulia Ally Kamwe binafsi! Badala ya kabila lake. Huko ni kukosa hoja za msingi za kushindana na mtu.
 
Huyu Ali Kamwe ni mpare.Mimi sishangai kwa kauli yake ya uhasidi.Hao wanauza ng'ombe kwa kesi ya kupoteza kuku.Kwa asili yake Ali Kamwe hiyo ni DNA hawezi kuepuka.Anaona tabu watu wakifanikiwa.
Hapa utakuwa umemkosea mkuu Mshana Jr
 
Mimi ni Msambaa, na siyo Mpare! Na siungi mkono kumhukumu mtu kwa sababu ya kabila lake. Ni vizuri mkamshambulia Ally Kamwe binafsi! Badala ya kabila lake. Huko ni kukosa hoja za msingi za kushindana na mtu.
Labda ni watani zao bwashee 😅😅 , wasambaa na wapare ni kama jamii moja tu😅
 
Back
Top Bottom