Alhaji Mussa Salum: Mwezi haujaonekana

Alhaji Mussa Salum: Mwezi haujaonekana

Kila mtu anasema mwezi umeonekana Kondoa.. Bahati mbaya hakuna anayesema mwezi NIMEUONA kondoa!
 
Jamani nimeshindwa kwenda kazini mpaka sasa nipo kitandani,naomba mniambie hyo idd ipo leo au haipo.

Mkuu yaani ww kama mm tuuu... Sikukuu zao always zinakuwa za ku assume... Mm najua leo sikukuu nimelala mpaka sasa,, kumbe holaaaa,, sasa huo mwezi usipoonekana na leo heheh patamu hapo...
 
Mkuu yaani ww kama mm tuuu... Sikukuu zao always zinakuwa za ku assume... Mm najua leo sikukuu nimelala mpaka sasa,, kumbe holaaaa,, sasa huo mwezi usipoonekana na leo heheh patamu hapo...

Ukitazama Aljazeera Sasa Hivi Wanasema Most Of Muslim Countries Celebrates Eid El Fitr On Friday, Nadhani Bakwata Wamekosa Moral Authority Ya Kuamua Mambo Ya Waislam...Wapo Very Conservative
 
Tupo waislam wengi tu ambao Leo tumejumuika kufurahia eid na waislam wenzetu wengi duniani, Leo ni eid na mwezi wa ramadhani uliisha Jana Leo ni mwezi shawal tarehe moja. Bakwataccm inawafungisha watu nje ya mwezi was ramadhani
 
TUVUMILIANE..
wapo waliosimika hata maaskofu mashoga(a k a mabwabwa) eti wanaendana na wakati.
TUVUMILIANE kwenye taratibu.
Dini ni taratibu.Huwezi kubadilisha taratibu halali za dini nyengine kwa sababu tu huzipendi,wewe ni mjinga.
HATA YESU LICHA YA MAZURI MENGI ALIYOYATENDA,BADO HAWAKUMVUMILIA na hatimae WALIMSULUBU.
tuvumiliane tuishi kwa amani.
Kama unaona mwenzako ananuka mdomo basi ujue wewe unanuka kikwapa au miguu.
TUVUMILIANE.
"SIRI YA AMANI SI KURIDHISHANA BALI KUVUMILIANA"
 
Bakwata wanajijipa slogan za kisayansi " eti kama wao hawajauona vibarazani kwao basi haujaoneka" mpaka wauone wao ndio wakubali
Ndio maana suna walikuwa wanapinga suala la kazi kuanzishwa coz walijua ulitakiwa chini ha bakwataccm na ingekuwa ni Sheidaaaa!!!
 
Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Alhaji Musa Salum,kwa niaba ya Kaimu Mufti wa Tanzania Sheikh Abubakar Zubeir,amesema kuwa mwezi haujaonekana na hivyo Waislam wataendelea na mfungo kesho.

Alhaji Salum amesema swala ya Eid itafanyika Jumamosi tarehe 18 na kimkoa itakuwa katika Viwanja vya Mnazi Mmoja na kitaifa ni mkoani Geita.

Chanzo: East Africa Radio

kutokana na kawaida yake hiki chombo BAKWATA kuwa kimya kwenye mas'ala ya waislam. lakini itakuwa ni ajabu kutoisikia BAKWATA kwenye hili la kufunga na kufungua Ramadan kwa waislam wa Tannganyika ikijitutumua kujionyesha kuwa IPO. LKN kumbe mioyoni mwa waislam HAIPO.
TUMEISIKIA JANA KWENYE VYOMBO VYA HABARI IKIJITUTUMUA NA KUSHADADIA KUHUSU MUANDAMO MWEZI. bakwata kwahili ndio tunawasikia na kuwatambua kuwa kumbeee MPOOO!!! HONGERNI SANA!!
Lakin kwenye mas'ala mengineyo haswa ya kila siku hususan kushughulikia suala la KAADH na MAHKAMA YA WAISLAM kwa hili hatuwaoni mkijitoa kimasomaso kama manavyoshupalia kuugawa mwezi eti mwezi wa kitaifa na Mwezi wa KIMATAIFA!!! kah!!!
hivii ni wapi pameandikwa au kulezewa kuwa hapa duniani kuna miezi TAIFA na MIEZI KIMATAIFA???
BAKWATA JICHUNGENI SANA.
HAYA!! JANA ALHAD MUSSA amesema swaum inaendelea na IDD itakuwa ni kesho j1. napata shida sana hapa mfano jirani zetu KENYA, UGANDA ambao yeye mwenyewe na shehe wake jana katika tv chanel10 wametueleza kuwa wanasali IDD leo hii IJUMAA. najiuliza! jee mikoa jirani mfano MWANZA, BUKOBA, KIGOMA wakisema wafuate taarifa za nchi jirani watakuwa wamekosea wakitoa taarifa kuwa jirani zetu wanasali SALA YA IDD leo IJUMAA?

Haya! kama issue ni kauli ya quraan inaposema kuwaambia waislam.. FUNGENI KWA KUUONA MWEZI NA FUNGUENI KWA KUUONA.
SWALI: huyu maamuma mlemavu wa MACHO aka KIPOFU anapataje taarifa ya kufunga kufungua iwapo yeye ni kipofu haoni kabsaaa!! hapa inakuwaje?
jibu: kwa vyovyote vile mlemavu huyu atatekeleza ibada ya kufunga baada ya kupewa au kupata taarifa kutoka kwa waliouona mwezi. je hatuoni kuwa hapa linaingia suala la kupata taarifa bila kuuona?

mtume muhamamad SAW Mtume Mtukufu amepokelewa akisema, ''Tafuteni elimu hata kama ni kutoka China.” Hadithi hiyo kama zilivyo hadithi nyinginezo,
inasisitizia umuhimu wa elimu katika Uislamu. Sisitizo na ushawishi huo, kuhusiana na elimu, ndivyo vimewafanya Waislamu kutilia umuhimu na kufanya juhudi kubwa za kutafua elimu duniani. ili waweze kuwaelimisha maamuma wasiokuwa na uelewa huswusan katika hili la MFUNGO WA RAMADAN.

TUSIWAPUUZE HAWA WANAZUONI WANAOJITOLEA KUTUFUMBUA MACHO NA MASKIO ILI TUWEZE KUELIMIKA KUTOKANA NA WANAYOJIFUNZA.
TUAMKE WAISLAM WA TANGANYIKA.
Assalaam alaykum warahmatul llah wabarakatuh
 
Hawana dalili wao kuburuza tu, na wataburuzwa wasiotaka kusoma dini, wanajua dini ni kaswida,maulid na dua

ila sasa wanakimbiwa na waumini , Leo hii Tanzania nzima imefungua..Eid Mubarak .....
 
Tupo waislam wengi tu ambao Leo tumejumuika kufurahia eid na waislam wenzetu wengi duniani, Leo ni eid na mwezi wa ramadhani uliisha Jana Leo ni mwezi shawal tarehe moja. Bakwataccm inawafungisha watu nje ya mwezi was ramadhani

Dini ilikuwepo before BAKWATA.Kama umekula eid leo ni jambo jema ila pia kwa watakaokula kesho ni jambo jema,uislam upo palepale hauhusiani na BAKWATA
 
TUVUMILIANE..
wapo waliosimika hata maaskofu mashoga(a k a mabwabwa) eti wanaendana na wakati.
TUVUMILIANE kwenye taratibu.
Dini ni taratibu.Huwezi kubadilisha taratibu halali za dini nyengine kwa sababu tu huzipendi,wewe ni mjinga.
HATA YESU LICHA YA MAZURI MENGI ALIYOYATENDA,BADO HAWAKUMVUMILIA na hatimae WALIMSULUBU.
tuvumiliane tuishi kwa amani.
Kama unaona mwenzako ananuka mdomo basi ujue wewe unanuka kikwapa au miguu.
TUVUMILIANE.
"SIRI YA AMANI SI KURIDHISHANA BALI KUVUMILIANA"

Well said
 
huamini? leo mwezi waislam wa kondoa wameuona na waislam wa tandahimba wameuona bakwata hawajautangaza hushangai hapo?

Haiwezekani kondoa uone mwezi halafu Dsm na Z'bar wasiuone!!
Kwa sababu wao wako mashariki zaidi.
 
kutokana na kawaida yake hiki chombo BAKWATA kuwa kimya kwenye mas'ala ya waislam. lakini itakuwa ni ajabu kutoisikia BAKWATA kwenye hili la kufunga na kufungua Ramadan kwa waislam wa Tannganyika ikijitutumua kujionyesha kuwa IPO. LKN kumbe mioyoni mwa waislam HAIPO.
TUMEISIKIA JANA KWENYE VYOMBO VYA HABARI IKIJITUTUMUA NA KUSHADADIA KUHUSU MUANDAMO MWEZI. bakwata kwahili ndio tunawasikia na kuwatambua kuwa kumbeee MPOOO!!! HONGERNI SANA!!
Lakin kwenye mas'ala mengineyo haswa ya kila siku hususan kushughulikia suala la KAADH na MAHKAMA YA WAISLAM kwa hili hatuwaoni mkijitoa kimasomaso kama manavyoshupalia kuugawa mwezi eti mwezi wa kitaifa na Mwezi wa KIMATAIFA!!! kah!!!
hivii ni wapi pameandikwa au kulezewa kuwa hapa duniani kuna miezi TAIFA na MIEZI KIMATAIFA???
BAKWATA JICHUNGENI SANA.
HAYA!! JANA ALHAD MUSSA amesema swaum inaendelea na IDD itakuwa ni kesho j1. napata shida sana hapa mfano jirani zetu KENYA, UGANDA ambao yeye mwenyewe na shehe wake jana katika tv chanel10 wametueleza kuwa wanasali IDD leo hii IJUMAA. najiuliza! jee mikoa jirani mfano MWANZA, BUKOBA, KIGOMA wakisema wafuate taarifa za nchi jirani watakuwa wamekosea wakitoa taarifa kuwa jirani zetu wanasali SALA YA IDD leo IJUMAA?

Haya! kama issue ni kauli ya quraan inaposema kuwaambia waislam.. FUNGENI KWA KUUONA MWEZI NA FUNGUENI KWA KUUONA.
SWALI: huyu maamuma mlemavu wa MACHO aka KIPOFU anapataje taarifa ya kufunga kufungua iwapo yeye ni kipofu haoni kabsaaa!! hapa inakuwaje?
jibu: kwa vyovyote vile mlemavu huyu atatekeleza ibada ya kufunga baada ya kupewa au kupata taarifa kutoka kwa waliouona mwezi. je hatuoni kuwa hapa linaingia suala la kupata taarifa bila kuuona?

mtume muhamamad SAW Mtume Mtukufu amepokelewa akisema, ''Tafuteni elimu hata kama ni kutoka China.” Hadithi hiyo kama zilivyo hadithi nyinginezo,
inasisitizia umuhimu wa elimu katika Uislamu. Sisitizo na ushawishi huo, kuhusiana na elimu, ndivyo vimewafanya Waislamu kutilia umuhimu na kufanya juhudi kubwa za kutafua elimu duniani. ili waweze kuwaelimisha maamuma wasiokuwa na uelewa huswusan katika hili la MFUNGO WA RAMADAN.

TUSIWAPUUZE HAWA WANAZUONI WANAOJITOLEA KUTUFUMBUA MACHO NA MASKIO ILI TUWEZE KUELIMIKA KUTOKANA NA WANAYOJIFUNZA.
TUAMKE WAISLAM WA TANGANYIKA.
Assalaam alaykum warahmatul llah wabarakatuh

BAKWATA haimsimamii muislam kufunga,kula idi au kusali.Uislam ulishuka na miongozo yake,usidhan hizi ni siasa au kanuni za watu.
 
MImi nimemsikia kwa macho yangu ITVHabari saa mbili usiku wajana. Aliponishangaza kwenye kauli yake ni pale aliposema kwamba mwezi haujaonekana kwa hiyo leo Ijumaa si sikukuu, bali sikukuu itakuwa Jumamosi. Ana hakika gani Jumamosi kitakuwa kimeelewa ikiwa jambo lenyewe linatemegea mwandamo wa mwezi
 
Alhad!
Ndivyo wanavyomuadress daily...huwa najiuliza tofauti ya Alhaj na Alhad ni nini?
Pia sijawahi kusikia mwingine awaye yote akiitwa Alhad...ila yeye tu.

Naomba wajuvi wa haya mambo wanitoe tongotongo katika hili.. FaizaFoxy, Gang Chomba na wengine tafadhali.

alhad ndo lake jina kama unavyoitwa wewe gwamahala
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom