Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 29,515
- 42,646
Hii kali. Asante kwa elimu Mkuu
Alhaji ni mtu aliyekwenda hija nakubali...
ila jamaa jina lake ni Alhadi Mussa Salum
so kama unataka kumwita hivyo ungesema Alhaji Alhadi Mussa Salum....
Namaanisha jamaa jina lake ni Alhadi ila wengi wanachanganya wakidhani anaitwa Alhaji ....
Tafuta habari zaidi zinazomhusu utaamini nisemacho....