Mgirik
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 13,204
- 13,184
Pita kimya basiAmini unachoweza kuamini. Bado kuna imani feki ujue
Pita kimya basiAmini unachoweza kuamini. Bado kuna imani feki ujue
Kwaakili kama ile alikuwa bado kwenye Kiuno cha Babaake hata kuwa mimba badoMsamehe bure.... Mambo ya miaka hiyo yeye bado anavalishwa nepi
aliposemaje? Zito kila siku ana mpya.Zitto alikuwa sahihi
Leo nimekuelewaaa@rrondo hakuna niliposema nawachukia matajiri ama nauchukia utajiri... Bali nimeelezea njia ya kupita... Hata mimi naupenda utajiri... Anayechekia utajiri au matajiri....! ni mtazamo wake usimhukumu.... Nimependa leo kuweka kumbukumbu sawa... Wakati wengine wakifurahi leo... Wengine wanatoneshwa makovu ya vidonda vilivyosababishwa na matokeo ya ubinafsi choyo na udhalimu
Asante sana brother unatukumbusha,kuna vitu vinatokea Leo kwaajili yakulipia mabaya yetu ya jana.
Nakumbuka ilikuwa miaka ya tisini na kampuni husika ndio huyu alipatikana bila mikwaruzo tena walidondoka karibu watu wanne wa ofisi ya mkemia.
Kwamba hii familia inahusika na kufo cha Dr fupi?
nimepata kituKampuni husika wakati huo iliwapoteza wafanyakazi wake wengi tu, wengine walifanyiwa unyama na ukatili wa kutisha na kutosha...
Kwenye maghala yake ya kuhifadhia nafaka wamiliki waliweka mbwa wengi sana kwa ajili ya ulinzi... Mbwa hawa walikuwa wakijisaidia kubwa na ndogo juu ya nafaka na hivyo kuzifanya nafanya kuharibika haraka kutokana na kinyesi kuoza na kutoa funza, haja ndogo kusababisha unyevu nknk.... Mfanyakazi aliyejaribu kutoa siri nje ndio ilikuwa kwaheri kubwa...! ama mwandishi wa habari aliyejaribu kufuatilia ilikuwa ama zake....
Tunapoungana na wengine kushangilia mafanikio yao ni vema tutafakari na njia walizopitia... But who cares!!!! After all the end justifies means
Haiwezi kupatikana, wakati ile watu hawakuwa makini kuweka kumbukumbuHakuna aliyethubutu kulifuatilia hilo jambo tena... Lakini siku ripoti ya marehemu Dr Fupi ikipatikana... Tutajua mengi mno pengine na hata ongezeko la saratani za ngozi nk
watakatifu sana... Watafika mbinguniKwahyo watekaji tayar wamelamba chaoView attachment 904462
Mkuu nimekuelwa vizuri mno, ni kweli kabisa siku hizi kumekuwa na changamoto nyingi sana za kiafya mfano ongezeko la watu kupooza, saratani, kuishiwa nguvu za kiume(jambo linalopelekea ndoa/mahusiano kuvurugika) , kisukari mara matezi dume.Madhara yatokanayo na vyakula huwa hayajitokezi haraka haraka kama madhara mengine
Huumiza taratibu na kwa style tofauti tofauti kati ya mtu na mtu.
Pia kumbuka huo mchele haukuuzwa kwa wakazi wa Tandale tu! Uliuzwa pembe zote za Tanzania, kuanzia mjini hadi vijijini, kwa mama lishe hadi kwa mwenyekiti wa kijiji!
Madhara ya chakula kisichofaa kwa binadamu kina uwezo wa kukudhuru wewe mlaji hadi atakayezaliwa kutokana na mbegu au yai lako!
Tatizo wabongo wengi tunachukulia poa Mambo haya na hatuyapi uzito stahiki! Ni sawa na tunavyochekelea mfumo mbovu wa elimu yetu sasa kwa sababu madhara yake hatutayaona leo wala kesho,ila baada ya miaka majibu yatakuwa hadharani
Magonjwa yanayotusumbua watanzania wengi,who knows kama sio hayo ma Michele ya kipindi hicho?
Hakuna sehemu salamamzee dewji kapiga matukio mengi sana ya kuteka, kutesa na kuuwa watu.
utajiri wa familia ya mzee dewji umegubikwa na umwagaji damu.
Unahusishwa kutekwa kwa MO na hayo yaAisee asante kwa kutufahamisha tulikuwa wadogo!
Nimejifunza kuacha kudandia mambo Na kusikitika pasipo kujua jambo kiundani!
Dunia ina mengi ya kutisha kwa kweli
Huyajui pia?Sasa baada ya mchele kuidhinishwa kuwa unafaa na wananchi kuutumia je madhara ambayo yalidhaniwa kutokea yalitokea?
Kwamba mkubwa kabisa wa geshi letu alijua MO alipokuwepo kilichofanyika usiku wa Jana ni play and Plug kwamaaana baada ya blah blah zake kupingwa wakaenda kumtoaaliposemaje? Zito kila siku ana mpya.
Sawa ila message umeipata dogoPita kimya basi