Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,633
- 697,791
- Thread starter
- #41
Hakuna aliyethubutu kulifuatilia hilo jambo tena... Lakini siku ripoti ya marehemu Dr Fupi ikipatikana... Tutajua mengi mno pengine na hata ongezeko la saratani za ngozi nkSasa baada ya mchele kuidhinishwa kuwa unafaa na wananchi kuutumia je madhara ambayo yalidhaniwa kutokea yalitokea?