Kweli wewe kilaza,nimesoma ule waraka hakuna mahali wamesema watampindua mbowe,ila waliandaa mtu ili agombee pindi uchaguzi utakapoitishwa.
Hilo ni Kundi la Waasi kama kundi la M23 la Kongo.
Poleni mlivyopata kipigo cha Mbwamwizi
Kweli wewe kilaza,nimesoma ule waraka hakuna mahali wamesema watampindua mbowe,ila waliandaa mtu ili agombee pindi uchaguzi utakapoitishwa.
Imekuwa kama mashindano ya kujipatia publicity.
Leo hicho kiwakili Msando kimeitisha presser...hamna lolote la maana kilichozungumzia. Hakuna jipya zaidi ya kutafuta kiki.
Kesho ama keshokutwa akina Mnyika nao wataitisha presser. Hamna ya maana watakayoongea.
Ili mradi ni vurugu tu na nani anapata airtime.
I'm so sick of them.
Mlivyo vilaza mnadhani kila anayepingana au kuwakosoa ni msaliti. Hizi ndio tabia za kiCCM na mnafanya usaliti bila nyie kujua. Badala ya kujibu mnakimbilia kumuita mtu msaliti. fxxxx.
Press conference/ briefing.
CDM bwana eti na wewe ni kichwa katika chama mwisho wenu utashangaza sana..
Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
huyu naye afanyiwe kazi...
Kwi kwi Kwi....Mfamaji wa Lumumba.
Vijana wa UVCCM jana walikuwa Imara kulinda mkutano Serena.
Huyu ni mchaga mwenzao hawawezi kumfukuza
How do you and I know,maybe it's anew style of publicizing and promulgating the part.Wamekuwa kama vi-teenybopper vya junior high school vinavyogombania vivulana.
Shameful. Hivi na huyo Msando kakosa vijikesi vingine huko uraiani?
Chama kinakufa upinzani ushakufa.. Kwisha
Katiba ya chadema haiangalii wlanayeadhibiwa ni kabila gani au dini gani. Haiangalii pia ni jinsia gani.
Yeyote atakayevunja kanuni ni lazima ashughulikiwe!
Mawazo yenu nyie maccm lazima muwaze ukabila na udini kwakuwa akili zenu zimedumaa!!! pole
Mbona Ben bado yuko wakati wenzake wote walifukuzwa? Nyie wachaga mnapendeleana bana.Katiba ya chadema haiangalii wlanayeadhibiwa ni kabila gani au dini gani. Haiangalii pia ni jinsia gani.
Yeyote atakayevunja kanuni ni lazima ashughulikiwe!
Mawazo yenu nyie maccm lazima muwaze ukabila na udini kwakuwa akili zenu zimedumaa!!! pole
Imekuwa kama mashindano ya kujipatia publicity.
Leo hicho kiwakili Msando kimeitisha presser...hamna lolote la maana kilichozungumzia. Hakuna jipya zaidi ya kutafuta kiki.
Kesho ama keshokutwa akina Mnyika nao wataitisha presser. Hamna ya maana watakayoongea.
Ili mradi ni vurugu tu na nani anapata airtime.
I'm so sick of them.
Wanajiua wenyewe kwa tamaa na uroho. Wako radhi chama kife lakini wasiruhusu demokrasia ichukue nafasi yake!
we rukaruka tu lakini mwisho wa siku utamjua zitto kuwa ni nani kwenye hii dunia na chadema kwa ujumla.