lord atkin
Senior Member
- Sep 30, 2018
- 197
- 683
Maneno anayotumia wakili Albert Msando kusapoti mkataba wa DP World ni maneno ya dharau na karaha huku akiwashambulia mawakili wenzake na kuwadharau kuwa wanaopinga mkataba wa DP World ni mawakili wa sheria za ndoa na mirathi hivyo hawaelewi kitu kuhusu mkataba wa bandari.
Hiki anachokifanya ni kinyume na maadili ya mawakili cha kujiuliza ni kwanini Albert Msando yeye hajashitakiwa kwenye kamati ya nidhamu ya mawakili kama ambavyo Wakili Boniface Mwabukusi ameshitakiwa? Ina maana Mwanasheria mkuu wa serikali haoni jinsi Albert Msando anavyokiuka kanuni za maadili za mawakili?
Hiki anachokifanya ni kinyume na maadili ya mawakili cha kujiuliza ni kwanini Albert Msando yeye hajashitakiwa kwenye kamati ya nidhamu ya mawakili kama ambavyo Wakili Boniface Mwabukusi ameshitakiwa? Ina maana Mwanasheria mkuu wa serikali haoni jinsi Albert Msando anavyokiuka kanuni za maadili za mawakili?