wote nyie ni vilaza! kimya hamna sentensi wala tenzi,kojoeni kabla ya kulala msije mkakojoa kitandani maana akili zenu ni fupi kama mnavyofikiria.
Lengo lenu sio kukomboa nchi ila ni kukomba nchi...
Eti ni mwanachama wa Chadema.
Nyang'anya Kadi hyo.Sijui viongozi wa Kanda ya Kaskazini wanafanya nini hawaoni huu utovu wa Nidhamu wa huyu anayejiita Diwani wa Chadema.
JF,
Issue sio Msando Albert ni nani au kwa nini anatetea.
Issue ni rahisi natetea nini na utetezi wangu uko based kwenye nini.
1. Utaratibu wa kumvua Zitto nyadhifa haukufuatwa.
2. Sababu zilizotolewa ni circumstantial. Hazijitoshelezi. Zote zinatokana na waraka wa Mwigamba.
Kabla ya kutukana, kudharau na kukejeli yajadiliwe ninayoyasema na sio mimi.
Kama kijana, mwanachadema mwenye taaluma ya Sheria nina wajibu kusema haya. Sasa nikosolewe makosa yangu kwa nafasi hizo tatu na sio vinginevyo.
Mpaka sasa hakuna mahali ambapo hoja inatolewa ya wapi sistahili kusemea. Jazba hazijengi wala kuelekeza njia sahihi kama lengo ni kujenga.
Ila kama nia ni kupiga story tu kumaliza siku ni sawa pia.
Ben:
1. Ni nini ambacho nimepotosha?
2. Ni kashfa gani nimetoa dhidi ya chama?
3. Ni uzushi gani nimefanya dhidi ya chama?
Bora msukule unaweza tumwa sehemu kuliko chuma chakavu lisilofaa kwa matumizi zaidi ya kurejeshwa kiwandani kutengenezwa product nyingine"wewe ni chuma chakavu"
kachumbari haikamiliki bila kutia mbwembwe zote ulizizitaja hapo
why are you taking it public kama wewe ni mwanachama na mbali ya hapo ni diwani hujui taratibu za chama kweli? Serena hotel imekuwa sehemu ya mamlaka za chama hadi ujitokeze kila siku kwenye hadhara
unaonekana mtoto kweli aisee
John Mnyika na Tundu Lissu walikuwa wanaongelea wapi?
Amefanya vyema kueleza umma jinsi chadema wanavyo kihuka katiba yao.
Hapa ndio kazi imeanza.
Tuna subiri tamko la lissu na mnyika.
Albert Msando kamgaragaza vibaya Tundu Lissu kwenye ulingo wa siasa
mkuu,
tangu msando alipomaliza press conference yake mpaka sasa zimeshaanzishwa thread kama tano hivi. Zote ni za kumshambulia msando na kumtisha kuwa atavuliwa uanachama.
Wengine wanasema hajaonekana kwenye kata yake mwaka mzima, wengine wanasema ni mtu wa starehe tu, wengine wanahoji anapata wapi pesa. Yaani ni chuki zisizokuwa na msingi kabisa
watu kama hawa hawafai kukabidhiwa nchi. Watawafanya vibaya watu wenye mawazo tofauti nao.
haqhahahahahhah!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!111111
lait mngevuviwa nia ya kweli ya kuongoza hiuli taifa mngekuwa bora kweli...............katika maadui wakubwa niwaonao kwa sasa kwenye hii nchi CDM ni mmoja wapo.
kajipangen upya ila hata wa upinzani nwenzenu wanakerwa na mienendon yenu
waambie hao.... naona ego za ujana zinawafanya wawe myopic
kila mtu ameshajua chadema watafanya kila njia hili kumfukuza msando na msanso asirudi nyuma.
Chadema kuambiwa ukweli kwao ni kama kumkataza Dr.W.Slaa kukopa.
Ishu inayonisumbua mimi ni kwamba hivi kwann nyie CDM mnataka kubrainwash watu?? yaani mwez wote huu ishu ni CDM na zitto wake basi, huyu akiita waandish wa habari huyu atakuja na slaa kapokelewa mara mbowe kasema hivi. Hivi tanzania hatuna mambo mengine ya kujadili badala ya kujadili kataaasisi kama ka CDM ambako kwanza mfumo wake tu wa kuiongoza hautofautian na mfumo wa kuongoza familia??
yaani inaboa sana kila saa cdm cdm bora hata dua la Nyani Ngabu lifike kwamba mpotee wote kwenye uso wa dunia kisha mrudi mkiwa na akili tofauti kidogo