Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,942
- 18,691
Mi hata simjui uyo. Naonaga tu vipost hata sivisomi
Mtemba... Ubaloziniiiiialbadir inaanza kupenya - taratibu tu watatajana kina mmoja kwa namna yake!! wacha nivute kigoda changu, niwashe mtemba wangu maana movi linakaribia kuanza, ni suala la muda tu.
Wazee wa Tanga.....mpoo....?? Majibu yanaanza huku.
Na pia mahakama ndiyo chombo chenye kusema ni nani ana hatia na nani hana.Hata wauaji ni haki yao kuwa na wakili
Nimekupata mkuu.Vita ile ya kagera nilikuwa nakunywa uji wa bulga
Huyo tayari ameshakuwa chizi.Huyo muro mimi naona hata kumjadili naona ni kumpa heshima isiyo stahili, huyo ni wa kupuuzwa
Yaani huyu mtu ni kichaa kabisa.