Albadir iliyosomwa Tanga

Albadir iliyosomwa Tanga

Hivi bado tunaamini vitu vya kusadikika? Poor Africans. Sishangai mtu kufa kwa kupuliziwa unga sehemu za siri kwa pamp sababu ya iman za kijinga kama hizi.
Kama ingekuwa inafanya kazi waliyomsomea Trump ingeshatimiza lengo hilo
Kwahiyo unataka kutuambia Trump yuko kamili yule!
 
Waliohusika Kwenye jaribio la kutaka kumuua Tundu A. Lisu kuanzia kupanga hadi utekelezaji wake hawatapata raha wala furaha ya nafsi zao, jambo hili limeumiza waTZ wengi sana na wasio waTZ ! Watu wanaolaani kimoyomoyo ni wengi sana! Kuna Watu wanafedha na madaraka lakini hawana furaha wala raha na amani ktk nafsi zao sasa hayo maisha gani Matendo ya Mungu yatisha kama nini?! Ngoja tumsubiri punde atazidi kuonesha Ukuu wake!
 
Wanao weweseka sio Jerry tu, kuna mwingine yaani haeleweki kabisa siku hizi kila anachoongea ni upupu tu
 
Kweli albadir noma inatisha
Angalia wale wausika kuanzia muagizaji wa mauwaji hadi wale vibaka wa chini wameanza kuchanganyikiwa akiwemo kibaraka wa mkuu wa police kiongozi mkuu ndie albadir imemuingia hadi sasa anatoa matamko kinyume yaani anajisuta na UDINI UKABILA UZADIKI NA CHUKI.



swissme
 
Bashite sasa nsiro anataka kuwapa watanzania shida tu lakini aliyemtolea bastora nape ni mlinzi wa mkuu wa mkoa kwanini NSIRO asiende moja kwa moja kwa BASHITE na kumuhuliza huyo jamaa au NSIRO albadir nayo imeanza mkumtafuna.


MIMI NATAKA albadir IMFANYI YULE KIRANJA MKUU AWE ANAOKOTA MAKOPO PALE MAGOGONI KILA MTU AKIPITA ANAMUONA.


swissme
 
Bashite sasa nsiro anataka kuwapa watanzania shida tu lakini aliyemtolea bastora nape ni mlinzi wa mkuu wa mkoa kwanini NSIRO asiende moja kwa moja kwa BASHITE na kumuhuliza huyo jamaa au NSIRO albadir nayo imeanza mkumtafuna.


MIMI NATAKA albadir IMFANYI YULE KIRANJA MKUU AWE ANAOKOTA MAKOPO PALE MAGOGONI KILA MTU AKIPITA ANAMUONA.


swissme
 
Ss kama ww ni muumini wa ushirikana huwezi kumuelewa anachoandika jerry. Na kama unavyojua ushirikana na ujinga vinaendana pamoja
 
Ss kama ww ni muumini wa ushirikana huwezi kumuelewa anachoandika jerry. Na kama unavyojua ushirikana na ujinga vinaendana pamoja
Ushirikina na ujinga vinaenda pamoja mpaka vimekupa ban maza kafa
 
Inasemekana ndio albadir mbaya zaidi kuwahi kusomwa, maana madhara yake yalikumba hata wasiohusika. Ilisomwa kwa niaba ya Mzee mmoja wa kidigo baada ya kuchoka kuibiwa nazi zake na vijana wa Tanga mjini, na alifikia maamuzi hayo baada ya kutoa onyo na tahadhari!

Albadir ile ilikausha majani ya njia walimopita wezi, visu vilivyotumika vilikatikakatika, punda aliyebeba alikufa, gari ya punda ikiharibika vibaya, wezi wote walikufa wameachama huku nguo za siku ya tukio zikiwa kama zimemwagiwa tindikali, miili yao ilioza kwa kasi ya ajabu hata kabla ya kuzikwa, yeyote alinunua ama kuhusika na zile nazi alipata madhara ya ugonjwa na kifo.....

Inasemekana makaburi ya wale wezi vijana wane, hayakuota majani kwa miaka mingi. Tukio la kushambuliwa TL liliwaumiza na kuwasononesha watu wengi, ndani na nje ya nchi.. Wengi walilichukulia kama uonevu mkubwa

Kitu hicho kikapelekea kuja na wazo la kusoma kisomo cha albadir kwakuwa kulikuwa na hisia kwamba haki haitatendeka...
Visomo husika vilisomwa japo si kwa mafanikio sana kwakuwa zilitumika nguvu kubwa sana kuvizuia lakini vilisomwa kwa siri kwenye baadhi ya maeneo...

Lakini hata kama visingesomwa ile hali tu ya kusononeka kwa watu wengi kwa pamoja na kutajataja visomo, kiroho hali hiyo ilileta athari kwa wahusika (hapa nitapingwa na baadhi ya watu)

Baada ya hapo yameanza kutokea mambo ambayo ukiyatazama kwa jicho la kiroho kisha ukaunganisha dots ni kama vile kuna uhalisia unaoshabihiana na visomo vilivyosomwa....

Athari za visomo vya albadir wakati mwingine si lazima afe mtu, bali hata kuchanganyikiwa na kuharibikiwa kwa mambo pia yaweza kuwa ni matokeo ya kisomo

Visomo vimepingwa na kukosolewa kwa maelezo marefu mengine yakiwa hayaeleweki lakini asikudanganye mtu kisomo ni kisomo tuu. Usijaribu kabisa kukidharau

Jerry Muro kijana aliyechipukia kwenye uandishi wa habari hata kufikia kupata tuzo, ni muwewesekaji namba moja.. Achana na yaliyowahi kumkuta huko nyuma bado alikuwa anaweza kuandika hoja na ikaeleweka....

Lakini sasa inafika mahali unamuonea imani... Haeleweki anaandika nini na kila anachoandika kinakuwa na mapungufu mengi kuliko ya goma langu cocochanel

Najiuliza Jerry anayejivunia kupata degree moja nchi tatu tofauti ana nini na CHADEMA? Ana nini na TL!? Ana nini na akina Nasari na Lema? Ni kisomo kimempata ama kuna asili yenye mizizi mirefu iliyokuja kuzaa chuki kubwa namna hii? Je kuna wakati pengine alitaka kuingia CHADEMA na kutegemea apate nafasi halafu akakosa?

Vyovyote iwavyo Jerry ni mhanga mkubwa wa yanayotokea sasa na yamemjeruhi kwa namna ya kipekee kabisa na ni katikati ya kiwewe hicho anakaribia kuwehuka kabisa na kuropoka hata ambayo hakupaswa kuyasema... Kuna faida katika kuweweseka kwake!

Kuna faida kwenye kuropoka kwake! Anatufunulia mengi ambayo tungetumia muda mwingi na nguvu pia kuyajua. Ni wakati wetu sasa tuvute viti, tukae kimya tuli kabisa tutege masikio, wanaoweweseka wanazidi kuongezeka... Visomo haviendagi bure
Albadiri ya TL ilimkuta ZK kwani mara tu baada ya kusomwa nyumba yake ikaungua
 
Back
Top Bottom