NIFEDIPINE
JF-Expert Member
- Aug 16, 2013
- 216
- 225
Siku zote tunapoingiza siasa kwa mambo ambayo si ya kisiasa tunaharibu saaaaaaana. Viongozi wetu wengi hawako committed na kazi zao. Big result kamwe haiwezekani kwa kuwa hatukujiandaa ktk sekta mbalimbali ikiwepo ya elimu kupata hizo big results. Hatuwez pata big results from no where. Sekta ya elimu ni moja ya zilizosahauliwa ktk nchi yetu.bajeti finyu.walimu hawatimiziwi maslahi yao.shule hazina vifaaa vya kutosha. Bila kutatua mambo haya hata tukishisha A ikaanzia 50% bado failure watakuwa kama bahari. Tuanzie kwenye mizizi ya matatizo kwwnza ilo kuweza kupata hizo big results