Alama mpya za ufaulu zapingwa

Alama mpya za ufaulu zapingwa

Kwa nini mnakomalia product badala ya process????!!!!
Kwa nini focus iwe standard za kuchuja na sio standard za kufundishia na vitendea kazi pamoja na mazingira husika?????

Mkuu..msikilize sifuni mchome. Hayo mabadiliko yanakwenda sambamba na kuboresha mazingira ya ufundishaji.

Ndio maana ya kuwepo kwa BIG RESULT NOW. Wapo wanaoikejeli lakini siku zote kama u have best policy, you have best people, you have resources then huoni kama policy zinafanikiwa wewe unafanyaje? Sasa kwenye hii BRN ndio kuna hayo mambo unayosema kutengeneza best teachers, kupeleka facilities mashuleni, kuboresha maslahi ya walimu.

Serikali kw sasa mwarobaini uliobakia ni hii BRN na wakiipuuza tumekwenda na maji, na ikifuatwa soon tutakuwa at next height.
 
Mkuu kwani hayo mabadiliko ni kuchakachuliwa? Wizara imekusanya maoni kwa wadau mbali mbali eg kutoka vyuo vikuu, waalimu, wanasiasa, mashirika yasiyo ya kiserikali, na wanafunzi. Mf zamani A km ilianzia 81 na sasa inaanzia 75 sio kuchakachua huko ni kupanga viwango ambavyo vinatengeneza stahiki halisi. Eg mitihani ile waliyofanya wanafunzi form four walipewa walimu wao wakafeli sana..hiyo unaitafsiri vipi? Na pia kupanga viwango vya madaraja haimaanishi ndio maboresho ya elimu yamesimama, bado ripoti inaelezea maslahi ya walimu, studying facilities etc.

Hivi kuna hoja kweli mtu unasoma form one hadi form iv then mtihani wa mwisho unapata 18 f katka masomo saba then unaambiwa umepata div ziro, ina mantiki? Hii ina tafsiri mbaya kabisa kwmba umefeli miserably lakini kuwepo kw continuous assesment, na kusema mtihan wa mwisho utacarry 60 percent ni sahihi. Huwezi kumpima mtoto aliekaa darasan kw miaka minne kwa mtihan wa masaa matatu na ukaconclude. Hata nchi za ulaya wanatumia huu mfumo.

Watz bado hatupendi kuridhia mabadiliko kwa sababu tunaogopa mabadiliko yatatudhuru. Vyuoni grade za ufaulu ndio hizi hizi lakini watu hawasemi


My last question sir!!!!!!

Kwa hiyo wadau mapendekezo yao ndio yalionesha kipaumbele kwa sasa ni kubadili jinsi ya kutoa madaraja kwanza i mean as a first and fore most priority??????!!!!!!!!

Hilo la methodology ya kukusanya maoni ndio kabisa tutakesha!!!!!
 
Inasikitisha sana wasomi wa Tanzania, ndiyo maana kenya, uganda na rwanda wametugundua kama cc ni vimeo kielimu hatuwezi kwenda nao sambamba.Ungekuwa mpanga wa EA wa pamoja kuhusu elimu hakuna nchi kati ya hizo ingekubali umatonya wa aina hiyo
 
Halafu tukishawaondoa hao wanaokuja wana mkakati juu ya elimu? weka sera zao kuhusu elimu tuzisome!

Mkuu bila shaka umesoma sehemu ya pili ya hoja yangu .Hata hivyo sera za vyama vingine kuhusu elimu ziko kwenye ilani zao za uchaguzi na vitabu vyao vya kisera na mengine wamekuwa wakiyani kwenye majukwaa.Fuatria.HOJA N I KWAMBA CCM WAMESHINDWA NA HAWAKO TAYARI KUBADILIKA.
 
Mkuu..msikilize sifuni mchome. Hayo mabadiliko yanakwenda sambamba na kuboresha mazingira ya ufundishaji.

Ndio maana ya kuwepo kwa BIG RESULT NOW. Wapo wanaoikejeli lakini siku zote kama u have best policy, you have best people, you have resources then huoni kama policy zinafanikiwa wewe unafanyaje? Sasa kwenye hii BRN ndio kuna hayo mambo unayosema kutengeneza best teachers, kupeleka facilities mashuleni, kuboresha maslahi ya walimu.

Serikali kw sasa mwarobaini uliobakia ni hii BRN na wakiipuuza tumekwenda na maji, na ikifuatwa soon tutakuwa at next height.

Huanzi kusafisha show case ya kuuzia mikate wakati bakery haina ngano ,hamira,mafuta ya kupikia na gesi!!!!!!!

Wapishi na waandazi hujui hali zao wala morality ya kazi,na wala hujakaa nao kujua kama wako tayari kwa dhati ya mioyo yao kuoka kwa taste unayoitaka,achilia mbali madai yao kabla ya mikate kuungua!!!!!!

It is a matter of time mwenye bakery atagundua tu showcase ni ya mwisho kwenye vipaumbele vya kuendesha mradi wake wa uokaji!!!!!
 
Nina Mashaka na uwezo wa Rais na watu wake kufikiri. Zaman watu tumeenda kwa madaraja yale.. Leo yanafelisha. Huu ni uhuni na Ujuha wa CCM kutokubali kuwa wameshindwa kusimamia ubora wa Elimu. Matokeo makubwa kwa kugawa Marks inawezekana. Nitaacha ualimu
 
My last question sir!!!!!!

Kwa hiyo wadau mapendekezo yao ndio yalionesha kipaumbele kwa sasa ni kubadili jinsi ya kutoa madaraja kwanza i mean as a first and fore most priority??????!!!!!!!!

Hilo la methodology ya kukusanya maoni ndio kabisa tutakesha!!!!!

Hahahaaa, mkuu hilo la methodology usiwe na wasiwasi nalo. Lazma wewe utakuwa umefanya research/thesis una uelewa na methodology. Nakubaliana na wew japo hujasema kama methodology iliyotumika katika huu utafiti ni mbaya basi haya matokeo yake ni mabaya pia. Mimi ni muumini wa methodology. Hata wangekuja wakanionesha tu methodology nkaikubali nisingetaka kuona majibu nkiamini yatakuwa sahihi. Lakini ule ushirikishwaji wa wadau kutoka vyuo vikuu, NGOs, waalimu, baraza la mitihani na wanafunzi linatoa taswira kuwa wamejitahidi kuselect appropriate pipo.

Kuhusu kipaumbele chao cha kubadili madaraja ya ufaulu. Niseme hivi, sababu ya kutangaza haya mabadiliko ya madaraja ya ufauli ni kwa one reason, its a new thing, na lazma liwekwe wazi kw wananchi.

Kuhusu kuboresha mazingira ya elimu, maslahi ya waalimu, lipo kwene sera, limezungumzwa sana katika ilani ya chama tawala, limezungumzwa kwenye BIG RESULT NOW, na hata katika hotuba ya waziri (katk bunge la bajeti kalizungumzia sana) so hapakuwa na sababu ya kulizungumzia, halina upya however BRN inalitaja kama priority ya kuboresha elimu.

So kama ukisoma maoni ya kamati utakuta kilakitu mule, hili la madaraja ni kama wameli indorse kw wananchi so they had to do that.
 
Huanzi kusafisha show case ya kuuzia mikate wakati bakery haina ngano ,hamira,mafuta ya kupikia na gesi!!!!!!!

Wapishi na waandazi hujui hali zao wala morality ya kazi,na wala hujakaa nao kujua kama wako tayari kwa dhati ya mioyo yao kuoka kwa taste unayoitaka,achilia mbali madai yao kabla ya mikate kuungua!!!!!!

It is a matter of time mwenye bakery atagundua tu showcase ni ya mwisho kwenye vipaumbele vya kuendesha mradi wake wa uokaji!!!!!

Mkuu umeisoma BIG RESULT NOW na umeielewa? Tuanzie hapo.
 
Halafu ukitaka kujua kuwa watanzania walio wengi hata hawajui kilichoongelewa wala kinachoendelea angalia kila mmoja kanyamaza like kwamba mzizi wa tatizo umepatikana!

Eti madaraja ya A na B ni nusu ya maksi zote 100%?!! jaman tuliona wapi hiki kitu?!

Eti kwamba pamoja na kushusha maksi katika madaraja bado zile division zikaongezwa upana pia ili kulazimisha 'ufaulu'!!

Nashangaa maprofesa ndio waliotangaza hilo, kweli hawaoni kuwa tumeongeza upana wa goli ili kulazimisha matokeo?!

Mungu atusaidie tu! Naanza kuamini kuwa wasomi ndio walioifikisha hii nchi hapa ilipo, kimatendo ama kwa maneno potofu nao kukaa kimya ama kwa kutotimiza vyema wajibu!

Bila ya kuwavunjia heshima, ila nadhani mtu kuwa profesa sio automatically kuwa anaweza kutoa suluhu ya matatizo!!!!!!

Kwenye hili nashawishika kuwaza kuwa kama hawafanyi makusudi basi hawana uwezo nje ya fani zao walizosomea!!!!!!

Sidhani kama profesa wa elimu angeweza kuja na huu mtazamo!!!!!

Wataalamu wa elimu tunaomba michango yenu juu ya hili!!!!!
 
Nina Mashaka na uwezo wa Rais na watu wake kufikiri. Zaman watu tumeenda kwa madaraja yale.. Leo yanafelisha. Huu ni uhuni na Ujuha wa CCM kutokubali kuwa wameshindwa kusimamia ubora wa Elimu. Matokeo makubwa kwa kugawa Marks inawezekana. Nitaacha ualimu

Kwani umeambiwa madaraja ndiyo yanatengeneza ubora? Kwani haya madaraja si ndio haya haya yanayotumika vyuoni?
 
Bila ya kuwavunjia heshima, ila nadhani mtu kuwa profesa sio automatically kuwa anaweza kutoa suluhu ya matatizo!!!!!!

Kwenye hili nashawishika kuwaza kuwa kama hawafanyi makusudi basi hawana uwezo nje ya fani zao walizosomea!!!!!!

Sidhani kama profesa wa elimu angeweza kuja na huu mtazamo!!!!!

Wataalamu wa elimu tunaomba michango yenu juu ya hili!!!!!

Mkuu mbona wadau wa elimu waliotoa haya maoni ni vitivyo vya elimu? Labda unieleze huu mfumo mpya unafaulishaje?
 
Mkuu umeisoma BIG RESULT NOW na umeielewa? Tuanzie hapo.

Haihitaji kusoma kila modal inayokuja humu,mkurabita,mkukuta,mkuza na kadhalika, millenium goals,vision 2025,achilia mbali ilani ya uchaguzi na sera ya elimu Tanzania!!!!!!!

Anyways,what is new in there?????!!!!
Highlight please!!!

NB; Modals sio panacea inahitaji ingredients ambazo zina varry accordingly!!!!!
 
Mkuu mbona wadau wa elimu waliotoa haya maoni ni vitivyo vya elimu? Labda unieleze huu mfumo mpya unafaulishaje?

Kuna mdau anasema maoni yamekusanywa juzi tu kwenye semina ya kusimamia mitihani!!???Hilo lina ukweli??!!!!
 
Mkuu mbona wadau wa elimu waliotoa haya maoni ni vitivyo vya elimu? Labda unieleze huu mfumo mpya unafaulishaje?

B kuanzia 50%!
div 2 kuishia 24!!
div 3 kuishia 31 sikumbuki vzr!!

Mtu akipata masomo 7 maksi 50% tu kila moja anakua na ufaulu wa division 1 point 14?! Kweli huoni bado kuwa hapa viwango wameviweka ili kudanganya watu kwa ufaulu wa kuchonga?!

Inahitaj bidii kidogo tu kufanya hilo!

Kweli hapo huoni ni kulazimisha matokeo?!
BRN ni siasa tu, huwezi kupata matokeo haraka bila kutengeneza means ambazo zinatatua tatizo!! Eti unadeal na matokeo ili kupata matokeo mazuri kwa haraka?! Badala ya kutatua mzizi wa tatizo?!

Mungu atupe maisha mkuu utagundua ninalosema! Elimu yetu imeharibiwa na walichofanya hawa watu!
 
Mkuu mbona wadau wa elimu waliotoa haya maoni ni vitivyo vya elimu? Labda unieleze huu mfumo mpya unafaulishaje?


Unafaulisha kwa mfano huu!!!!

Kama ng'ombe akiwa na uzito wa kilo 50-100 huuzwa shiling 100,0000 halafu ukasema ushushe lower boundary mpaka 35kgs na bei ibaki ile ile maana yake ni kuwa ng'ombe wengi zaid wataenda mnadani kweli lakini hawatakuwa na uzito unaohitajika kwa matumizi ya wengi!!!!

Yaani mechi ngumu sasa umetanua goal post ili timu ishinde na kufuzu wakati mashindano ya kimataifa magoli ni yake madogo!!!!!!
 
Haihitaji kusoma kila modal inayokuja humu,mkurabita,mkukuta,mkuza na kadhalika, millenium goals,vision 2025,achilia mbali ilani ya uchaguzi na sera ya elimu Tanzania!!!!!!!

Anyways,what is new in there?????!!!!
Highlight please!!!

NB; Modals sio panacea inahitaji ingredients ambazo zina varry accordingly!!!!!

Nashukuru umetaja mkukuta, mkurabita,vision 2025.

Kwenye nchi zilizoendelea wana "think tank" kwa tanzania hapa ipo "tume ya mipango" inaongozwa na dr philip mipango.(Lakini sijui wamefanya lipi jipya)

Siku zote unapokuwa na best policies, (tunazo), you got best people (which we alread have), yu got resources (tunazo).. Unapogundua bado hufikii malengo kutokana na policy ulizo nazo unafanyaje???? Unaziondoa?? Ndio maana ya serikali kuja na hii BIG RESULT NOW coz inagusa yale maeneo sensitive ili ku enforce hizi policies ziweze kuwa implemented.

Moja ya maeneo ambayo BRN inayapa kipaumbele ni elimu ya watoto wetu so usifikiri mabadiliko ni kwenye madaraja ya ufaulu tuu bali hata kwenye kuboresha mazingira ya elimu nchini.
 
Kuna mdau anasema maoni yamekusanywa juzi tu kwenye semina ya kusimamia mitihani!!???Hilo lina ukweli??!!!!

Mkuu hilo halina ukweli kabisa, si unajua watanzania wamekuwa wakibeza kila kitu.

Pia kuna hii tabia, mtoto akipata sifuri, sio tuu serikali imeshindwa bali hata wazazi nao wameshindwa. Mzee Mwanakijiji kalizungumzia vizuri sana.

Mkuu standard hizi mpya ni mpya kwa tanzania, lakini nchi za wenzetu hata watoto wa nursery anajua b plus inaanzia ngap
 
Last edited by a moderator:
Nashukuru umetaja mkukuta, mkurabita,vision 2025.

Kwenye nchi zilizoendelea wana "think tank" kwa tanzania hapa ipo "tume ya mipango" inaongozwa na dr philip mipango.(Lakini sijui wamefanya lipi jipya)

Siku zote unapokuwa na best policies, (tunazo), you got best people (which we alread have), yu got resources (tunazo).. Unapogundua bado hufikii malengo kutokana na policy ulizo nazo unafanyaje???? Unaziondoa?? Ndio maana ya serikali kuja na hii BIG RESULT NOW coz inagusa yale maeneo sensitive ili ku enforce hizi policies ziweze kuwa implemented.

Moja ya maeneo ambayo BRN inayapa kipaumbele ni elimu ya watoto wetu so usifikiri mabadiliko ni kwenye madaraja ya ufaulu tuu bali hata kwenye kuboresha mazingira ya elimu nchini.

Kwa mfano wewe ungekua ndiyo serikali ungeanza na kipi kati ya kuboresha mazingira ya elimu nchini au kushusha madaraja ya ufaulu?
 
Hahahaaa, mkuu hilo la methodology usiwe na wasiwasi nalo. Lazma wewe utakuwa umefanya research/thesis una uelewa na methodology. Nakubaliana na wew japo hujasema kama methodology iliyotumika katika huu utafiti ni mbaya basi haya matokeo yake ni mabaya pia. Mimi ni muumini wa methodology. Hata wangekuja wakanionesha tu methodology nkaikubali nisingetaka kuona majibu nkiamini yatakuwa sahihi. Lakini ule ushirikishwaji wa wadau kutoka vyuo vikuu, NGOs, waalimu, baraza la mitihani na wanafunzi linatoa taswira kuwa wamejitahidi kuselect appropriate pipo.

Kuhusu kipaumbele chao cha kubadili madaraja ya ufaulu. Niseme hivi, sababu ya kutangaza haya mabadiliko ya madaraja ya ufauli ni kwa one reason, its a new thing, na lazma liwekwe wazi kw wananchi.

Kuhusu kuboresha mazingira ya elimu, maslahi ya waalimu, lipo kwene sera, limezungumzwa sana katika ilani ya chama tawala, limezungumzwa kwenye BIG RESULT NOW, na hata katika hotuba ya waziri (katk bunge la bajeti kalizungumzia sana) so hapakuwa na sababu ya kulizungumzia, halina upya however BRN inalitaja kama priority ya kuboresha elimu.

So kama ukisoma maoni ya kamati utakuta kilakitu mule, hili la madaraja ni kama wameli indorse kw wananchi so they had to do that.


Hizo cluster zilizotajwa ni one thing na walochaguliwa kutoka humo ni kitu kingine(validity and reliability) tusiingie sana huko sababu tutaufunga huu mjadala sasa hivi!!!!

Mimi nashawishika kusema kuwa wamefanya hivi ili kuonesha kuwa wana implement BRN kwa vitendo huku wakiujua ukweli kuwa the basic pre requisites haziko tayari kuleta matokeo hayo!!!!!
 
Back
Top Bottom