sixgates
JF-Expert Member
- Mar 19, 2011
- 3,979
- 1,667
Kwa nini mnakomalia product badala ya process????!!!!
Kwa nini focus iwe standard za kuchuja na sio standard za kufundishia na vitendea kazi pamoja na mazingira husika?????
Mkuu..msikilize sifuni mchome. Hayo mabadiliko yanakwenda sambamba na kuboresha mazingira ya ufundishaji.
Ndio maana ya kuwepo kwa BIG RESULT NOW. Wapo wanaoikejeli lakini siku zote kama u have best policy, you have best people, you have resources then huoni kama policy zinafanikiwa wewe unafanyaje? Sasa kwenye hii BRN ndio kuna hayo mambo unayosema kutengeneza best teachers, kupeleka facilities mashuleni, kuboresha maslahi ya walimu.
Serikali kw sasa mwarobaini uliobakia ni hii BRN na wakiipuuza tumekwenda na maji, na ikifuatwa soon tutakuwa at next height.