.
African wake up! Kila jambo linaloanzishwa mna kazi yakutafuta reference kwa wenzenu na ndio maana hadi bungeni kila kitu unasikia Ooh wenzetu wa ulaya wanafanya hivi, mara wenzetu hawafanyi hivi.!
No need to reinvent the wheel chifu.
Kama wenzetu wana ideas nzuri kwanini tusizikopi kwa manufaa ya taifa letu.
China, Japan, S. Korea etc. hawaku reivent the wheel, walichofanya ni kukopi some ideas na kuzimould ili kufit mazingira ya nchi hizo.
Mbona hujalalama hiyo Big Results Now kuwa copied kutoka Asia?!? Mnacopy bila kumould hizo ideas zifit mazingira ya TZ!!! Matokeo yake ndiyo hayo sasa.
Better Resign Now
sasa kwa tz imefikia hatua hadi kutoa reference hata kwa nchi za wa Africa wenzetu ambao baadhi ya idea zao hawakukopi/copy kwa mtu.
Unaongea nini arifu? Mbona hulalami kwa bunge letu kuendelea kutumia mfumo wa Commonwealth? Kwa sheria zetu kuwa za mfumo wa Commonwealth?
Hivi kama ZA wanafanya vizuri, TZ ikikopi kutakuwa na ubaya? Unataka kukomaa kuivent ideas ambazo hazina maana!!?
.Nina imani idea ya Prof: Mchome ingekuwa imeanzishwa na wazungu nakuleta manufaa basi ingechukuliwa kama reference kwetu.
Ndiyo maana idea kama hiyo haijaanzishwa na mzungu! Idea kama hiyo haiwezi kuleta manufaa mahala popote hata kwa miaka 1,000!!!
Tukubali new ideas ndio tutakwenda mbele, otherwise tukiendelea hivi hatutafika na tutaendelea kuwa wa mwisho siku zote.
Huwezi kukubali tu kitu eti kwa kuwa kinaitwa new idea!! Itategemea na idea hiyo imetengezwa kwa misingi na malengo gani!!
Idea ya kupunguza alama za ufaulu na kuita daraja ziro kama 'ufaulu usioridhisha' ndiyo unataka tuikubali?!?
.TEMBO WANAKWISHA TZ SABABU YA RIGIDITY OF STAKEHOLDERS,. LOOK" HON KAGASHEK HAS INTRODUSED AN IDEA LEAD AN OPERATION TOKOMEZA UJANGILI , BUT THE PARLIAMENT HAVE INTERVENED. So ukiangalia kwa undani zaidi utagundua kuwa ni regidity.
Kwa hiyo hata kama watu wasio 'majangili' wakiwa harassed na kuuliwa unataka tukubali tu?!?
Operesheni tokomeza ujangili ingefanyika pale wizarani! Ndipo penye majangili! Kagasheki mwenyewe alikiri hivyo mbele ya waandishi wa habari!
Sasa kwenda kuonea wanyonge ndio nini?
Hivi mwananchi wa Ikoma akiua tembo kwa ajili ya pembe, unaamini yeye ndiye anayepeleka pembe hizo Thailand? Zinapita wapi hadi kufika Thailand? Yeye atapata wapi uwezo wa kuwa na mtandao mkubwa wa kusafirisha pembe hizo hadi Thailand?
Majangili wapo wizarani, halmashauri na bandarini. Kagasheki anajua hilo, lakini anaonea wanyonge!!
My fellow tz let join hands with those who dare.
It depends on what do those people dare for!! If they dare to *** our system, then we can't join hands with them!
I would advise you to join hands with those who dare to crash and change the corrupt and failed system!