Jituoriginal
JF-Expert Member
- Feb 8, 2010
- 349
- 32
Dowans mchezo kama Epa .
Mababu zetu walitawaliwa na makoloni wa kizungu nikajipa moyo kwamba haitatokea tena kwani kizazi cha leo kimesoma cha kushangaza leo tunatawaliwa na Lowasa,chenge ma Rostam watanzania wenzetu ivi hii ni kiama au....elimu tunayo,uelewa tunao sasa tatizo ni nini jamani.....Inabidi tuchapishe mabango kama ya uchaguzi ili kuwaweka hadharani hawa akina ROSTAM,LOWASA NA CHENGE WAO,kwani ni watanzania wachache wanaopata fursa ya kusoma hizi habari hasa humu ndani ya JM, inabidi iwe kampeni kali kuliko ya uchaguzi ili kushinda ufisadi mimi nitatoa million 5 kwakuanzia
Mababu zetu walitawaliwa na makoloni wa kizungu nikajipa moyo kwamba haitatokea tena kwani kizazi cha leo kimesoma cha kushangaza leo tunatawaliwa na Lowasa,chenge ma Rostam watanzania wenzetu ivi hii ni kiama au....elimu tunayo,uelewa tunao sasa tatizo ni nini jamani.....[/QUOTE]
Ni pesa zao chafu na mtaji wa umaskini na njaa kali kwa wanyonge
na jogoo !.... Siombi wafe, la naomba wapoteze nguvu za viungo kama miguu, mikono ...
Grrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr!!!!!!!NATAMANI NIMNYONGE RA KWA MIKONO YANGU KISHA NILE FIGO ZAKE.