Alaa! Kumbe wamiliki wa DOWANS ndo hawa!?

Alaa! Kumbe wamiliki wa DOWANS ndo hawa!?

Kiburi mtindo mmoja!!!! :angry: Kuna haja gani basi ya kumuajiri huyu na kumlipa mshahara na marupurupu chungu nzima ikiwa hawezi hata kutwambia Watanzania kile tunachotaka kukijua ndani ya Wizara yake. Hivi kila Mtanzania ambaye anafuatilia kwa karibu hili sakata la Richmond/Dowans akiamua kwenda kule Brela ili kujua hao wamiliki wa Dowans ni akina nani si itakuwa kasheshe ya hali ya juu? Kama kazi imemshinda huyu Ngeleja ni bora abwage manyanga na siyo kuonyesha kiburi kwa walipa kodi wanaolipa mshahara wake.
 
Hapo ndo utajua kuna watu hawashikiki Bongo hata ufanye tena chini ya CCM ndo kabisaaaaaaaaaaa, sasa kutaja majina tu hoi je kuwaface mahakamani itakuwaje?
 
Kama kawaida yetu watanzania Soon This will be Yesterdays News, na watu watasahau until another Dowans comes along.... Kuna siku tutaamka na kushtukia we dont even own the country
 
Mr. Guy Picard (Managing Director) - Dowans Tanzania Limited
 
Kama kawaida yetu watanzania Soon This will be Yesterdays News, na watu watasahau until another Dowans comes along.... Kuna siku tutaamka na kushtukia we dont even own the country

umeona eeh! Yaani tutauzwa mazima mazima. Tutalipishwa madeni na mafidia hadi tuishiwe kabisa tuuzwe jumla.
 
Mimi nibakishie moyo wake maana ndiko uovu wake wote ulipo. Nitauchoma niupake pilipili na chumvi halafu nile na kachumbari. Pumbafu zake.

mmh! Kama unayoyasema yanatoka moyoni........
 
Kwani kule bank hela za kwenye magunia zilipelekwa wapi na gari ya ofisi ipi? Rostam,Lowosa,Mkono na wengine wale walitumwa tu, mwenyewe yuko kimyaaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom