Ndugu zangu, tusisahau wadanganyika
ooops sorry, I mean Watanganyika..hah..sorry again.. I meant.. Watanzania.. wote Tumelogwa.. yaani Ingawa uwezo wetu wa kufikiri ni mkubwa..lakini jamaa aliyetuloga ameufanya uwe unafikiri katika
Reverse order.. yaani kinyumenyume..
Kwa mfano
- mwandishi wa habari ambaye ni mzuri katika investigative journalism badala ya kutumia ujuzi wake kufanya kazi kama hiyo ya Aljazeera basi in Tanzania atatumia ujuzi huo kwa reverse order na kufuatilia kina Kanumba na Uwoya na kuandika habari kwenye gazeti la uwazi au atajifanya mpelelezi na kutuletea habari za majungu hapa JF
- Polisi mahiri badala ya kufuatilia majambazi atapoteza muda wake kwa reverse order na kukimbizana na Chadema
- Mwanasiasa mahiri badala ya kutetea wananchi na taifa lake ata reverse order na kutetea posho ya tumbo lake na changudoa kule dodoma..
- Askari Traffic badala ya kufuatilia uvunjaji wa sheria atapoteza muda kufuatilia kama gari lina Jack, sticker za usalama barabara na Vibabaji
- Na mwisho baadhi ya viongozi wetu.. badala ya kuongoza .. kwenda mbele.. wataongoza in Reverse order
Yaani wao ndio watasubiri kuongozwa na mafisadi