Tangawizi
JF-Expert Member
- Jun 25, 2009
- 5,177
- 3,899
Waandishi wa habari Tanzania wengi wanatafuta penye maslahi, kama tetemeko la ardhi Kagera walishindwa ndio waweze kuandaa documentary ya kuhamia Dom?
Wenzetu mbele wameendelea, waandishi wao wanajua wanachokifanya. Huku kuna redio na TV hazizingatii taaluma bali tantalila zako tu na kujulikana.
Unategemea wamchukue mtu km Gigy Money akaandae documentary?
Kweli inasikitisha. Sio waandishi wa habari tu, tumekosa umakini karibu kila upande. Unfortunately!!! Ni kama hatujitambui