Mkuu unamshauri nani hapo WABONGO!!!!!?? unapoteza muda kiingereza kwao ni ukoloni bila kujua kwamba hiyo lugha ni ya dunia na huwezi ukaikwepa,hapa ni unafiki tu.Tujitahidi kujikaza kuongea kiingereza kinachoeleweka hatuna ujanja kwani hii ni lugha ya dunia. Nashauri viongozi wa haswa serikali hii wafanyiwe brush up ya miezi sita ya kuongea kiingereza. Tusipoangalia tutashindwa kufanya argument kubwa kwenye mijadala mikubwa inayohitaji uwezo wetu wa kushawishi jumuhiya na mashirika ya kimataifa