AL JAZEERA NAIROBI? why not DAR ES SALAAM?

Hatuko pro-active in anything. Tumelala tu bado usingizi wa pono ambao kuamka kwake ni ngumu. Tunachojua ni siasa tu ambazo nazo ni za ubabaishaji. Si rahisi makampuni makubwa yaje hapa kuwekeza kama Aljazeera umeme wenyewe wa kuombea mvua inyeshe ili mabwawa yajae maji. Si Dar tu kwani hata Arusha panafaa lakini sera zetu mbovu, rushwa. Yani we still have a long way to go even after 50 yrs of independence kupata kama Aljazeera iweke mitambo yake hapa kwetu.
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Investors can setup bussiness and takeup best minds from EA region withought having to undergo hassles of workpermit processing.
 
kwa kweli, pamoja na mapungufu yote tuliyonayo hapa dsm, na kushindwa kuwavutia investors, still idhaa ya kiswahili BBC inasikilizwa zaidi na watanzania kuliko kenya, hata hii al jazeera itakuwa ivo ivo.. nadhani ni wakati muafaka sasa watanzania tukasusia kusikiliza hizi idhaa za kiswahili za nje mpaka waje TZ. Hata Kenya mgao upo...labda weather ikiwa kigezo..hapo naweza kukubaliana nao. But tusikubali kusikiliza idhaa hizi..wakitaka watangazie huko huko kama ilivyo Dautch Weller(DW), na Voice of America (VoA)..
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Kenya have well educated work force besides speaking better English and writing fine Kiswahili.

... even recently there was a debate in the Parliarment about using Kiswahili as a medium of instruction at all levels; kindergarten to PhD! If currently English is the main language yet our proficiency is so poor; I fail to imagine what the situation will be if Kiswahili replaces English entirely.
 
kwa kweli, pamoja na mapungufu yote tuliyonayo hapa dsm, na kushindwa kuwavutia investors, still idhaa ya kiswahili BBC inasikilizwa zaidi na watanzania kuliko kenya, hata hii al jazeera itakuwa ivo ivo.. nadhani ni wakati muafaka sasa watanzania tukasusia kusikiliza hizi idhaa za kiswahili za nje mpaka waje TZ. Hata Kenya mgao upo...labda weather ikiwa kigezo..hapo naweza kukubaliana nao. But tusikubali kusikiliza idhaa hizi..wakitaka watangazie huko huko kama ilivyo Dautch Weller(DW), na Voice of America (VoA)..

Kwa sababu uongozi wetu mbovu na hatuna an investor friendly environment na investors wanavutiwa zaidi na jirani zetu, tuwasusie investors na kushusha zaidi level ya investor friendliness.

That is what is called "locking yourself in a funk"

Shakespeare aliandika

Cassius:"The fault, dear Brutus, is not in our stars,
But in ourselves, that we are underlings."

Julius Caesar (I, ii, 140-141)

Usitake kuleta victimhood mentality, kwamba tunaonewa, hatuko serious na watu makini wanaona hilo.
 
Kampuni ninalo fanya kazi, wana mpango kufungua branch Afrika Mashariki, kwenye hili sina uzalendo wa kushauri kuwekeza Tanzania. Sababu kubwa ni tatizo la umeme.
 
Kama sio Nairobi hiyo idhaa ya kiswahili ingefunguliwa Adis Ababa . Dar Es Sala haina chance. Sisi tumekalia kwenye siasa tu. Nairobi and Adis ndio Hub huu ukanda wa east and horn of africa .

Technically Logistic na mambo kama ya nishati yanaiweka Dar kuwa choice ya mwisho.

Lakini ukisikia hatujui kuingia mikataba na kujadiliana ndio matokeao yake haya .Tungeweza kutumia strength yetu pamoja na mapungufu tuliyonayo.

Mfano kwa kuwa tumewauzia wanayama wetu na tumewauzia mbuga zetu kwa bei cheee basi investment zao Tanzania iwe option ya Kwanza. Kifupi Hawa jamaa wa aljazeera( Nchi yao) wana historia na tazanaia zaidi kuliko kenya. Ni kwamba tumezubaa tu. Uliza role ya Ofisi zetu za kibalozi katika masuaa kama haya .......... zeroooooo
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Tanzaania inatia kinyaa, kila mtu anawaza kukubia na kukuacha wee ukiwa kapuku. Kenya wanakuibia huku wanakuzalishia zaidi ya unachoibiwa
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Kwa Swahili service kuanzishwa Nairobi na sio Tanzania ni total humiliation kwa nchi yetu na dhahiri hawa wanaimba wimbo wa kuvutia wawekezaji ama hawajui ni kitu gani mwekezaji anaangalia au wanatafuta wamachinga wa kichina. Sote tunajuwa kiswahili cha Kenya kiko upside-down na Tanzania iko karibu kabisa na Kenya. Yaani ni kama kuanzisha English Ajzeera based in France! Hapo conclusion itakuwa straight-foward - mazingira ya uwekezeji Britain hayavutii kama ya France. Kwa hiyo TIC wanatakiwa waseme ni kwa nini Aljazeera wameenda Nairobi na sio Dar es Salaam?
 
Wakuu nilipost thread kule kwenye jamii intelligence naona imefinywa. Ilikuwa ni kuuliza ni kwanini mashirika karibu yote yanafungua ofisi zake Nairobi na sio Mwanza, Arusha au hapa Dar es salaam? Je TISS wanakuwa na taarifa in advance kuwa jamaa wanataka kufungua ofisi hizo? wana lobby ili jamaa wafungue ofisi hizo Tanzania? Ofisi hizo ni mzingo kwa nchi au ni advantage? Najua kuna watu hapa wenye uelewa kuhusu issue hii, ni vizuri tukiwa na TISS inayendana na wakati na sio inayfanya kazi kama za miaka ya karne ya 19
<br />
<br />
Wanasisa wetu wanaombga mshiko mrefu kuna kampuni ya communication waliomb wa $3 million wakaanza. Wamewekeza nairobi
 
Kama sio Nairobi hiyo idhaa ya kiswahili ingefunguliwa Adis Ababa . Dar Es Sala haina chance. Sisi tumekalia kwenye siasa tu. Nairobi and Adis ndio Hub huu ukanda wa east and horn of africa .

Technically Logistic na mambo kama ya nishati yanaiweka Dar kuwa choice ya mwisho.

Lakini ukisikia hatujui kuingia mikataba na kujadiliana ndio matokeao yake haya .Tungeweza kutumia strength yetu pamoja na mapungufu tuliyonayo.

Mfano kwa kuwa tumewauzia wanayama wetu na tumewauzia mbuga zetu kwa bei cheee basi investment zao Tanzania iwe option ya Kwanza. Kifupi Hawa jamaa wa aljazeera( Nchi yao) wana historia na tazanaia zaidi kuliko kenya. Ni kwamba tumezubaa tu. Uliza role ya Ofisi zetu za kibalozi katika masuaa kama haya .......... zeroooooo

Mkubwa, you are right on the money, soma hii article kuhusu Ethiopia "Ethiopia to Sell Electircity to East Africa"
 
We should get our house organized first before calling investors to come. hatuna umeme, maji ni shida, TRA wanatoza kodi jinsi wanavyojisikia na waawaumiza vichwa wawekezaji etc etc
Haya mambo yanawaogopesha sana watu serious kuwekeza mitaji yao hapa kwetu
 
Inawezekana ni vikwazo vya serikali ya Tanzania dhidi ya vyombo vya habari vya nje!
Mbona BBC kuna kipindi walikuwa na ofisi Mogadishu Somalia
 
Tatizo letu ni politics nyiiingi.Wenzetu wako very sharp kwenye suala la marketing.Angalia suala la mlima kilimanjaro ulimwengu unajua(sijui kama wameshabadilika) kuwa uko Kenya,Route za kwenda Samunge na mbuga za wanyama zilikuwa zinatokea Nairobi zaidi kuliko Arusha au Dar,Port ya Mombasa wanapata kazi zaidi kuliko Dar port.Sisi tunachojua ni kuhonga bajeti feki ili zipite na kulinda watuhumiwa wa ufisadi.Rwanda watatupita muda si mrefu na possible Sudan kusini watatupita pia.Tushirikiane kuwaondoa viongozi wasiokuwa na vision.
IT WILL TAKE YEARS BEFORE WE REACH WHERE OUR NEIGHBOUR ARE, UNLESS WE CHANGE THE PILOT.
 
Kwa ninavyo fahamu sheria za tanzania haziruhusu mgeni kumiliki chombo cha habari kwa 100% nafikiri ni moja ya sababu, ndio maana hata BBC Idhaa ya kiswahili na idhaa ya kiswahili ya china wana studio zao nairobi. Na kuna siku mkuu wa idhaa ya kiswahili wa china alikuwa nasema wao walitaka kuweka studio zao nchini lakini sheria ya vyombo vya habari iliwabana.
 
no brainier there

mimi ningekuwa AL JAZ ningeenda huko huko Nairobi

Dar hakuna umeme sasa why waste time and resources?
 
Kwa ninavyo fahamu sheria za tanzania haziruhusu mgeni kumiliki chombo cha habari kwa 100% nafikiri ni moja ya sababu, ndio maana hata BBC Idhaa ya kiswahili na idhaa ya kiswahili ya china wana studio zao nairobi. Na kuna siku mkuu wa idhaa ya kiswahili wa china alikuwa nasema wao walitaka kuweka studio zao nchini lakini sheria ya vyombo vya habari iliwabana.
<br />
HII NDIYO SABABU KUBWA KABISA!
 
Back
Top Bottom