AL JAZEERA NAIROBI? why not DAR ES SALAAM?

AL JAZEERA NAIROBI? why not DAR ES SALAAM?

Bongolander

JF-Expert Member
Joined
Jul 10, 2007
Posts
5,067
Reaction score
2,220
Wakuu nilipost thread kule kwenye jamii intelligence naona imefinywa. Ilikuwa ni kuuliza ni kwanini mashirika karibu yote yanafungua ofisi zake Nairobi na sio Mwanza, Arusha au hapa Dar es salaam? Je TISS wanakuwa na taarifa in advance kuwa jamaa wanataka kufungua ofisi hizo? wana lobby ili jamaa wafungue ofisi hizo Tanzania? Ofisi hizo ni mzingo kwa nchi au ni advantage? Najua kuna watu hapa wenye uelewa kuhusu issue hii, ni vizuri tukiwa na TISS inayendana na wakati na sio inayfanya kazi kama za miaka ya karne ya 19
 
Wakuu nilipost thread kule kwenye jamii intelligence naona imefinywa. Ilikuwa ni kuuliza ni kwanini mashirika karibu yote yanafungua ofisi zake Nairobi na sio Mwanza, Arusha au hapa Dar es salaam? Je TISS wanakuwa na taarifa in advance kuwa jamaa wanataka kufungua ofisi hizo? wana lobby ili jamaa wafungue ofisi hizo Tanzania? Ofisi hizo ni mzingo kwa nchi au ni advantage? Najua kuna watu hapa wenye uelewa kuhusu issue hii, ni vizuri tukiwa na TISS inayendana na wakati na sio inayfanya kazi kama za miaka ya karne ya 19

Kama lobbysts wa kibongo ama wahusika serikalini wamelala usingizi na ni bongolala unategemea nini?
 
Kenya have well educated work force besides speaking better English and writing fine Kiswahili.
 
DAR SI JIJI LA KUFANANISHA NA NAIROBI....

Tanzania bado tupo nyuma sana.. tutakujwa kuachwa na Rwanda hivihivi...
 
Issue ni umeme tu, haiwezekani mkategemea investors wanaokuja kwa ajili ya tax holiday pekeyake, watu wako focused wanataka wapige kazi wapate faida huku wakilipa kodi. Si tutaendelea kupokea wasanii. Ila NRB SIO MBALI
 
Watatumia hela nyingi sana kununua mafuta ya jenereta.


Kubwa zaidi kampuni ni yao na wao wanaangalia sehemu gani inafaa kuweka tawi lao.
 
Wakuu nilipost thread kule kwenye jamii intelligence naona imefinywa. Ilikuwa ni kuuliza ni kwanini mashirika karibu yote yanafungua ofisi zake Nairobi na sio Mwanza, Arusha au hapa Dar es salaam? Je TISS wanakuwa na taarifa in advance kuwa jamaa wanataka kufungua ofisi hizo? wana lobby ili jamaa wafungue ofisi hizo Tanzania? Ofisi hizo ni mzingo kwa nchi au ni advantage? Najua kuna watu hapa wenye uelewa kuhusu issue hii, ni vizuri tukiwa na TISS inayendana na wakati na sio inayfanya kazi kama za miaka ya karne ya 19

Nairobi is now one of the most prominent cities in Africa politically and financially.[SUP][8][/SUP] Home to thousands of Kenyan businesses and over 100 major international companies and organisations, including the United Nations Environment Programme (UNEP) and the main coordinating and headquarters for the UN in Africa & Middle East, the United Nations Office in Nairobi (UNON), Nairobi is an established hub for business and culture. The Nairobi Stock Exchange (NSE) is one of the largest in Africa and second oldest exchange.It is ranked 4th in terms of trading volume and capable of making 10 million trades a day.[SUP][9][/SUP] The Globalization and World Cities Study Group and Network (GaWC) defines Nairobi as a prominent social centre.[SUP][citation neededNairobi - Wikipedia, the free encyclopedia][/SUP]
 
Kenyans are so aggressive in attracting foreign investors. Furthermore, Obama is purpoted to be one of top Al Jazeera share holders. It's not astonishing that they have decided to station their Swahili TV channel in Nairobi.
 
Wakuu nilipost thread kule kwenye jamii intelligence naona imefinywa. Ilikuwa ni kuuliza ni kwanini mashirika karibu yote yanafungua ofisi zake Nairobi na sio Mwanza, Arusha au hapa Dar es salaam? Je TISS wanakuwa na taarifa in advance kuwa jamaa wanataka kufungua ofisi hizo? wana lobby ili jamaa wafungue ofisi hizo Tanzania? Ofisi hizo ni mzingo kwa nchi au ni advantage? Najua kuna watu hapa wenye uelewa kuhusu issue hii, ni vizuri tukiwa na TISS inayendana na wakati na sio inayfanya kazi kama za miaka ya karne ya 19

kijana wacha kusema ofisi hizo ni hatari kwa chama tawala kwani zikiwa hapa nchi itamulikwa na habari mpaka za vijijini zitajulikana duniani kote uoni walimfukuza tido tbc sasa yakija mashirika makubw si ndio basi tena wananchi wote watajua nini kinaendelea
 
We Borne Identity Jason wanajamiiforums tuna akili kweli lajini swali ni..Je jukwaa hili pekee lawezashauri nini tufanye ili tuwe kama Kenya. BINAFSI sitamani kabisa kuwa mkenya...aaaaghf..ukabila..life ngumu mpaka wanakimbilia kujibanza huku..bungeni ngumi..jambo ambalo ni final decision ya wanyama..na ushenzi mwingi tu..hv u ever been in Kenya...which part and for how long anyway...shuka vitu ili watu waipende kama wewe...Usiweke tu mapazia ya kenyan flags dirishani kwako ni aibu baba...cha mtu mavi enzi chako. I hate ukabila..udini...uchawi..etc
 
Nairobi is now one of the most prominent cities in Africa politically and financially.[SUP][8][/SUP] Home to thousands of Kenyan businesses and over 100 major international companies and organisations, including the United Nations Environment Programme (UNEP) and the main coordinating and headquarters for the UN in Africa & Middle East, the United Nations Office in Nairobi (UNON), Nairobi is an established hub for business and culture. The Nairobi Stock Exchange (NSE) is one of the largest in Africa and second oldest exchange.It is ranked 4th in terms of trading volume and capable of making 10 million trades a day.[SUP][9][/SUP] The Globalization and World Cities Study Group and Network (GaWC) defines Nairobi as a prominent social centre.[SUP][citation neededNairobi - Wikipedia, the free encyclopedia][/SUP]

Hivi kuna mtu ana figures za DSE wana process trades ngapi/ za thamani gani daily? Nilikuwa nasoma kwenye "The Economist" ya wiki takriban mbili nyuma wanakwambia kuna stock markets kama za Mozambique unaweza kuchukua miezi 6 kumaliza trade moja, na baada ya miaka 15 ya Dar-es-salaam Stock Exchange ina kampuni 16 na market cap of $ bn 3.7 ( figures by African Securities Exchange Association)
 
Wakuu nilipost thread kule kwenye jamii intelligence naona imefinywa. Ilikuwa ni kuuliza ni kwanini mashirika karibu yote yanafungua ofisi zake Nairobi na sio Mwanza, Arusha au hapa Dar es salaam? Je TISS wanakuwa na taarifa in advance kuwa jamaa wanataka kufungua ofisi hizo? wana lobby ili jamaa wafungue ofisi hizo Tanzania? Ofisi hizo ni mzingo kwa nchi au ni advantage? Najua kuna watu hapa wenye uelewa kuhusu issue hii, ni vizuri tukiwa na TISS inayendana na wakati na sio inayfanya kazi kama za miaka ya karne ya 19
<br />
<br />

Tatizi 10 pasent kwa mabosi/waheshimiwa
 
Nairobi emerging as IT innovation hub and beneficiary BOP.
 
Nairobi emerging as IT innovation hub and beneficiary of BOP.
 
DAR SI JIJI LA KUFANANISHA NA NAIROBI.... <br />
<br />
Tanzania bado tupo nyuma sana.. tutakujwa kuachwa na Rwanda hivihivi...
Kwani si washatuacha!tutakuwa wa mwisho kabisa na sera zetu mbovu na serikali yetu legelege
 
CCM haitaki vyombo huru vya habari Tanzania, angalia marumbano yanayoendelea kati ya serikali na magazeti makini kama vile mwanahalisi, Raia mwema na Mwananchi, lakini pia kumbuka kilichotokea kwa Tido Mhando alipotaka kuifanya TBC1 kuwa the real national tellevision.
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Back
Top Bottom