Al Huda, Sykes na Siasa za Tanzania

Kwa hiyo Mtandao kwa kutumia vyombo vya habari ulikuwa unawaonea wakristo? Kama jibu ni ndio, mbona kuna mchanganyiko wa dini kwa victims wa mtandao?

Acha kukurupuka, kwani Salim, Kitine na wengineo ambao sikuwataja ni wakristo?

omarilyas
 
Siku zote watawala wana mbinu nyingi. Wanajaribu kuwatumia baadi ya watu katika jamii navyombo vya kahabari ili kuwagawa wantawaliwa ili waendelee kuwala. Simple rule like colonialists: "DIVIDE AND RULE"
 
Siamini kuwa Mzee Sykes amemnyoshea kidole Nyerere waziwazi hivyo. Hata hivyo itakuwa ni makosa kama kila mtu asiyekubaliana na UMASIHA wa kina Anna Kilango, Mengi, Kimaro, Mwakyembe and company basi ataonekana mpuuzi, mjinga, fisadi nk na wanaokubaliana nao ndio wazalendo na watu wema.
Kwa nini hauamini? Mbona ametajwa kama source ya historia kamili ya jinsi Nyerere alivyowadhulumu waislamu haki zao. Kuanzia kumpiku Abdulwahid, kuiua East African Muslim Welfare Society (EAMWS), kuwabambikia Bakwata n.k. Au wote hao wanamsingizia?

Kinachopingwa si kuukataa umasiha wa hao uliowataja bali kuingiza kipengele kuwa wanafanya hivyo kwa sababu hawawapendi waislamu! Huo ndio upuuzi, ujinga,ufisadi n.k.

Namuheshimu sana Mama Maria kwani ni wazi ndio anabaki kuwa alama pekee iliyobaki ya UTANZANIA ambao wengi tupo mbioni kuuvuruga. Hata hivyo amefanya makosa makubwa kujiingiza katika kundi la kina Mama Kilango na Mengi. Ingelikuwa vyema akatoa maoni yake sehemu nyingine na katika hadhira tofauti na aliyokuwepo.
Lakini haouoni kuwa unamnyang'anya haki yake ya kikatiba ya kusema atakalo na kushirikiana na kundi lolote atakalo ili mradi havunji sheria? Labda utuambia ni kwa namna gani kushirikiana na hao uliowataja kunavuruga UTANZANIA. Na huo UTANZANIA unapimwaje?

Kuhusu haya ya kuwa waislamu naamini waliokuwa wengi kuamini kuwa kelele za UFISADI na Waraka wa WAKATOLIKI ni mbinu za kumchafua KIKWETE hatupaswi kuzidharau na wala kuzikejeli hata kama zinaweza kuwa zisiwe za kweli lakini zimo miongoni mwa waislamu walio wengi na ni sehemu kubwa ya watanzania
Hatuzizadharau ndiyo maana tunazipinga kwa sauti kubwa. Na kama kweli waislamu wengi ndivyo wanavyoamini basi ni wajibu wetu sote tunaolitakia mema taifa letu kufanya hivyo, wamisheni na waislamu.

Ni wajibu kwa wanaona tofauti kujaribu kuelewa ni kwanini baadhi ama walio wengi miongoni mwa waislamu hapa nchini wafikirie hivyo. Ina maana wao hawalioni tatizo la UFISADI? Ina maana wao wanapendelea UFISADI uendelee. La hasha. Ni historia.
Historia ipi? Historia ya kugandamizwa na kutotendewa haki waislamu na wakristu? Hauoni huko ndiko kuandika upya historia ambako kutatupeleka pabaya. Niambie ni wapi ambapo waislamu kama jumuia hawakutendewa haki na uongozi wa kikristu! Kama dhulma, tulitendewa wote. Waislamu, wamisheni, wahindu n.k.

Ndiyo,hawalioni tatizo la ufisadi kama ni hivyo wanavyoamini. Ufisadi kwao basi ni neno linaloambatana na wamisheni. Wakina Benjamin, Edward, Basil, Daniel na sio wakina Jakaya, Mustafa, Ali na wengine. Ndivyo wanavyotaka tuelewe.


Kama ambavyo siasa za ubaguzi na kutumia vyombo vya habari walizotumia mtandao dhidi ya Salim, Malecela, Kitine, Sumaye na wengine zikakarudia na ndivyo ambavyo siasa za KUMMALIZA Ally Hassan Mwinyi wakati ule zinawala wale ambao wanapambana na UFISADI wa enzi hili. Kwa waislamu walio wengi ni vigumu kuona nia njema katika mapambano ya ANNA, ALOYCE, MWAKYEMBE, MAPUNDA, METHOD na wengine wanapopambana na UFISADI ambao ukweli ulishamiri sana wakati wa BENJAMINI ambaye sio tu hawakumpigia kelele enzi hizo lakini hata alipoondoka wakamfanyia sherehe maalumu za kuutangazia umma kuwa ni "mwenzetu". Hivi mmeshasahau misa iliyoongozwa na Mhashamu Pengo na familia ya MKAPA pale St Peters na baadaye ule uzinduzi wa kitabu cha mke wa LOWASSA miezi michache baada ya Lowassa kusimikwa rasmi ufalme wa UFISADI ndani ya bunge "tukufu".
Huu ndiyo uongo ambao ni hatari. Corruption haikuanza na Kikwete wala Mwinyi wala Nyerere. Bila shaka hata wakati wa ukoloni palikuwa na corruption. Tofauti ni scale. Kudai kuwa watanzania walikuwa corrupt wakati wa Julius halafu wakasafishika wakati wa Ali halafu wakarudi tena wakati wa Benjamin na kusafishika wakati wa Jakaya ni upuuzi. Neno ruksa Mwinyi hakupewa bure. Mawaziri wake kama Marehemu Kighoma Malima hawakuwa safi. Mahoteli kama Sea Cliff, White Sands, Golden Tulip (kibali kilitoka wakati wa Mwinyi), Sheraton n.k. yalijengwa kwa kupimda sheria na palikuwa na kila dalili ya corruption. Watu kama wakina Gulamali, Premji walikuwa wakitamba kwa mikataba iliyotia shaka.

Hivi mbona wanaotajwa sana kuhusu ufisadi sasa hivi ni wakina BENJAMIN,EDWARD, BASIL, DANIEL, ANDREW and company? Mbona wakina DAUDI na IDRIS watu wanakaa kimya? Tuseme hii ni conspiracy ya kuwachafua wamisheni? La hasha.

Ni wapi ambapo wakina Benjamin na wenzake wamepatikana na hatia ya hayo wanayoshutumiwa? Na hata kama wakipatikana na hatia, kanisa halimtengi mwanakondoo aliyepotea. Ni haki ya Kanisa kuwapongeza waumini wake. Na ni taratibu zinazokubalika kwa wamisheni kufanya misa ya kumshukuru Mungu kwa fadhila zake. tatizo liko wapi basi kwa Benjamin na familia yake kufanya misa ya kushukuru kukamilisha kazi aliyopewa na watanzania salama? Kama alivurunda wakati huo, hilo ni swala lingine. lakini alikamilisha na kukabidhi iliyo na amani kwa anaemfuata. Si viongozi wengi wa kiafrika wameweza kufanya hivyo. Kama Ali Hassan alitoa sadaka alipokamilisha n'gwe yake hakuna atakaemlaumu. Ndiyo taratibu za imani yao na huko tusiwaingilie.


Katika hali kama hii ukijumlisha na historia ya ALLY HASSAN MWINYI ambaye alifikia hata kuambiwa ameoa mtoto wa shule(JK ameshapewa wake watatu hadi sasa), kila biashara mjini ni ya Mama Sitti (juzi nilikuwa Morogoro nikaonyeshwa hoteli naambiwa ya Mama Salma), mnategemea kutakosa waislamu wenye kushuku nia haswa ya hii vita ya UFISADI (sina uhakika kama ni vita dhidi ya ufisadi).
Mbona mengi yamesemwa kuhusu ma gelifrendi wa Mkapa bila ushahidi wowote? Hawa ni viongozi na mengi yatasemwa. Sio yote yatakuwa kweli.

Ulihakikisha kuwa hiyo hoteli SIYO ya MAMA Salma? Kwani kosa kuwa na hoteli? Kwani hiyo miradi wanayodai Anna Mkapa amehodhi, una hakika kuwa kweli ni ya kwake?

Kama kigezo ni waislamu wasiguswe, basi kweli wataiona hii ni vita ya UFISADI. Lakini watakuwa wamekosea. Au na wewe unaamini kuwa kuna ajenda ya siri iliyotungwa na Vatican dhidi ya rais wetu muislamu?


Haya ndiyo mazingira ambayo Mzee Kingunge anashindwa kuwaeleza wazi anaposita kuingia katika mkumbo wa kucheza na "timu ya ushindi" katika suala la Waraka wa kiuchungaji wa kanisa la katoliki". Sio yaliyomo bali hali ya kisiasa na kijamii haindani na utoaji waraka huo.....Na kwa yeyote mwenye busara na uvumilivu ni rahisi kung'amua hilo.....
Kwa nini ashindwe kuyaweka wazi? Lakini mbona hamtaki kusema tatizo la waraka liko wapi? Kwamba kila ambacho mapadili watakachokifanya ni lazima waangalie wasiwaumize waislamu? Hata kama ni kwa maslahi ya waumini wao na hawavunji sheria? Wenye busara na uvumilivu wangeuangalia huu waraka kama ulivyo. Waraka kwa waumini wao kuwaongoza katika kupata kiongozi bora bila kuangalia dini yake. Au waraka unasema lazima awe mkatoliki? Au mnaamini kuwa asiye mkatoliki hawezi kutimiza vigezo vilivyomo kwenye waraka huo. Msitake kutupeleka kubaya.Hii nchi ni yetu sote, wamisheni, waislamu, wahindu, mabudha, wabaha'i, rasta, wanaofuata tamaduni, wasio na dini, wasio amini Mungu n.k. Hakuna mwenye haki zaidi ya mwenzie.

Amandla......
 
Hivi SYKES tukimtundika URAIA kama walivyofanya kwa Jenerali atatoka kweli? Jina lake sijawahi kulisikia kokote Tz hii. Halafu, Mwalimu alistaafu Urais miaka 24 iliyopita, akafariki takribani miaka 10 iliyopita. Bado kuna watu/makundi ya watu wanalia naye?
 
Hivi SYKES tukimtundika URAIA kama walivyofanya kwa Jenerali atatoka kweli? Jina lake sijawahi kulisikia kokote Tz hii. Halafu, Mwalimu alistaafu Urais miaka 24 iliyopita, akafariki takribani miaka 10 iliyopita. Bado kuna watu/makundi ya watu wanalia naye?

Bora umesema wewe!! Inashangaza...mtu kaishi miaka kibao watu kimya!
 
Bora umesema wewe!! Inashangaza...mtu kaishi miaka kibao watu kimya!
hakuna aliyekuwa kimya. walimwambia mchana kweupe na kumnyooshea vidole, haikutosha akatungiwa vitabu akiwa hai na kukabidhiwa abishe kama ni uongo! akakaa kimya.
 
jamani mi lazima tukubali kuwa kila mtu ana uhuru wa kutoa mawazo bila kuvunja sheria.
Nimesoma makala hiyo ila sikuona chochote zaidi ya maono yake kuhusu mustakabali wa Taifa la Tanzania hususan issue ya udini na ufisadi. na vile vile kama kuna mtu anamgusa au ametajwa jina na kudhalilishwa ana haki kamili ya kujibu au hata kufungua mashtaka kwenye vyombo vya sheria.

Tuheshimu uhuru wa habari jamaa
 
jamani mi lazima tukubali kuwa kila mtu ana uhuru wa kutoa mawazo bila kuvunja sheria.
Nimesoma makala hiyo ila sikuona chochote zaidi ya maono yake kuhusu mustakabali wa Taifa la Tanzania hususan issue ya udini na ufisadi. na vile vile kama kuna mtu anamgusa au ametajwa jina na kudhalilishwa ana haki kamili ya kujibu au hata kufungua mashtaka kwenye vyombo vya sheria.

Tuheshimu uhuru wa habari jamaa
Tatizo lao wakiambiwa ukweli wanapayuka payuka tu, akili zao zimetekwa na "utakatifu" wa Nyerere, macho yao yamezibwa na "Ubaba wa Taifa" wanaouwona kama "utume" kwa hiyo Nyerere hana wala hakuwa na dhambi, masikio yao ndo kabisa hayasikii sauti za maumivu za hata wale walioumizwa na Nyerere kwa mkono wake na kwa amri zake, ambao hawakupata nafasi siku hizo za kutoa ukelele wa maumivu wala bega la kuwanyamazisha vilio vyao, leo watu wapo huru wanasema kilichotokea wanaonekana eti wanamsema "baba wa TaIFA" au wanavyomuona wao kama "Mungu Mtu". Labda niwakumbushe kuwa imesemwa na wenye busara zao na khofu kwa Mungu wao kuwa "zambi haifi, wema hauwozi na kama utakavyokopesha(tenda) ndivyo utakavyolipwa(tendewa)". Kama inakubalika kukumbuka mazuri ya Nyerere, ili tujigeze nayo, basi na mabaya yake yakumbukwe na yakumbushwe ili tujiepushe nayo, kwa kuwa hakuna binaadamu mkamilifu asiye na dhambi. Nyerere alikuwa na mazuri na mabaya yake, watu wala wasione vibaya yanaposemwa yote muhimu ni ukweli tu na si kuzusha.
 
Tatizo la waislamu ni inferiority complex, walalamikaji na wanafiki! Sasa hivi wanauona uzuri wa Kikwete kwa sababu ya mambo ya Kadhi na OIC na wamemsahau Mkapa kwa kuwapa wavivu hawa chuo cha umma kuwa chuo kikuu cha waislamu Morogoro! Hawaoni kabisa ufisadi wa JK aliposaini mikataba mibovu ya madini alipokuwa waziri wa Nishati na Madini. Hawaoni ubovu wa uongozi wa JK uliojaa migawanyiko ya kidini, ukabila, ukanda, uzanzibari, uzanzibara, walio nacho na wasio nacho, nk. Mambo haya yote JK hana ubavu wa kuyakemea-woga/usanii umezidi! Hatujagusa ahadi hewa za JK ambazo ni ndoto kuzitimiza! Wananchi baadaye wakichoka hawatakurushia mawe tu, hata mabomu, endelea kulea visasi na kuwagawa watanzania kwa kutumia WANAMTANDAO!
 
Tatizo la waislamu ni inferiority complex, walalamikaji na wanafiki! Sasa hivi wanauona uzuri wa Kikwete kwa sababu ya mambo ya Kadhi na OIC na wamemsahau Mkapa kwa kuwapa wavivu hawa chuo cha umma kuwa chuo kikuu cha waislamu Morogoro! Hawaoni kabisa ufisadi wa JK aliposaini mikataba mibovu ya madini alipokuwa waziri wa Nishati na Madini. Hawaoni ubovu wa uongozi wa JK uliojaa migawanyiko ya kidini, ukabila, ukanda, uzanzibari, uzanzibara, walio nacho na wasio nacho, nk. Mambo haya yote JK hana ubavu wa kuyakemea-woga/usanii umezidi! Hatujagusa ahadi hewa za JK ambazo ni ndoto kuzitimiza! Wananchi baadaye wakichoka hawatakurushia mawe tu, hata mabomu, endelea kulea visasi na kuwagawa watanzania kwa kutumia WANAMTANDAO!
.

sasa hii ni kashfa kwa kiongozi wa Tanzania aliyechaguliwa na kula nyingi za watanzania.

Kila kiongozi ana zama zake na ndani ya zama zake mengi yanatokea mazuri na mabaya.
haya tumueleze ili kumsaidia kurekebisha mabaya yake na kuzidi kudumisha mazuri yake.
BUCHANAN,

Mimi naona wewe ni Mkatoliki, kwani hakika wakatoliki hawazidi 20% ya watanzania wote .Lakini hawa ni wale waliotokea kudekezwa na kubebwa na JKN na ndio mpaka leo wanaoleta chokochoko huko Tanzania. Wametoa waraka huko makanisani kwa nia ya kupandikiza chuki kwa kiongozi aliyechaguliwa na watu na ndo wao WANAOJIFANYA WASEMAJI WAKUU WA WATANZANIA.

MIMI NASHANGAA KWANINI WASIANZISHE CHAMA CHA SIASA NA KUWEKA KIONGOZI AU VIONGOZI WENYE SIFA WALIZOTAJA KWENYE WARAKA WAO TUONE. ACHENI UNAFIKI WA KUTAKA KUENDESHA NCHI KWA REMOTE CONTROL.

MLIZOEA KUDEKEZWA NA JKN. SASA KIJASHO KITAWATOKA. KAZENI BUTI
 
.

sasa hii ni kashfa kwa kiongozi wa Tanzania aliyechaguliwa na kula nyingi za watanzania.

Kila kiongozi ana zama zake na ndani ya zama zake mengi yanatokea mazuri na mabaya.
haya tumueleze ili kumsaidia kurekebisha mabaya yake na kuzidi kudumisha mazuri yake.
BUCHANAN,

Mimi naona wewe ni Mkatoliki, kwani hakika wakatoliki hawazidi 20% ya watanzania wote .Lakini hawa ni wale waliotokea kudekezwa na kubebwa na JKN na ndio mpaka leo wanaoleta chokochoko huko Tanzania. Wametoa waraka huko makanisani kwa nia ya kupandikiza chuki kwa kiongozi aliyechaguliwa na watu na ndo wao WANAOJIFANYA WASEMAJI WAKUU WA WATANZANIA.

MIMI NASHANGAA KWANINI WASIANZISHE CHAMA CHA SIASA NA KUWEKA KIONGOZI AU VIONGOZI WENYE SIFA WALIZOTAJA KWENYE WARAKA WAO TUONE. ACHENI UNAFIKI WA KUTAKA KUENDESHA NCHI KWA REMOTE CONTROL.

MLIZOEA KUDEKEZWA NA JKN. SASA KIJASHO KITAWATOKA. KAZENI BUTI

Kama kila kiongozi na zama zake mbona Waislamu wanafiki wanamwona Kikwete kama malaika wakati ameacha nchi inajiendea yenyewe? Mambo mengi yanayoendelea hasemi chochote, hata hotuba za mwisho wa mwezi amezikimbia siku hizi! Kama kweli JK amedhamiria kutokuufumbia macho ufisadi aguse suala la Meremeta (aache propaganda za usalama wa nchi ambao umeonekana ndio kichaka cha kufanya ufisadi) na ampeleke Mkapa mahakamani kwa ufisadi alioufanya na kuacha kumkingia kifua (eti mzee aachwe apumzike)! Huyu fisadi Mkapa anatakiwa akapumzikie jela na si vinginevyo! No one is above the law! Kikubwa ambacho JK atawaachia watz ni migawanyiko na visasi! Amewagawanya mno watanzania na sio wamoja tena kidini, kikanda, walio nacho na wasio nacho (ukiwa huna chochote mfukoni siku hizi sahau kuingia kwenye uongozi)! Alichukulia for granted kwamba amani ya Tanzania imejileta yenyewe, kumbe ilitengenezwa!
 
Kama kila kiongozi na zama zake mbona Waislamu wanafiki wanamwona Kikwete kama malaika wakati ameacha nchi inajiendea yenyewe? Mambo mengi yanayoendelea hasemi chochote, hata hotuba za mwisho wa mwezi amezikimbia siku hizi! Kama kweli JK amedhamiria kutokuufumbia macho ufisadi aguse suala la Meremeta (aache propaganda za usalama wa nchi ambao umeonekana ndio kichaka cha kufanya ufisadi) na ampeleke Mkapa mahakamani kwa ufisadi alioufanya na kuacha kumkingia kifua (eti mzee aachwe apumzike)! Huyu fisadi Mkapa anatakiwa akapumzikie jela na si vinginevyo! No one is above the law! Kikubwa ambacho JK atawaachia watz ni migawanyiko na visasi! Amewagawanya mno watanzania na sio wamoja tena kidini, kikanda, walio nacho na wasio nacho (ukiwa huna chochote mfukoni siku hizi sahau kuingia kwenye uongozi)! Alichukulia for granted kwamba amani ya Tanzania imejileta yenyewe, kumbe ilitengenezwa!


Buchanan,

ndugu yangu inaelekea wewe hujui historia ya uongozi wa tanzania. Ngoja nikupe japo kiduchu.

JK Nyerere na awamu ya kwanza.
Hakika JKN aliachiwa nchi ikiwa shwari kabisa hakukuwa na vita wala nini. Chakula kilikuwa kingi sana na nchi ilikuwa na maendeleo makubwa kiuchumi. yeye aliifilisi nchi kwa kujifanya mwema sama kusaidia nchi nyingine za majirani kupata uhuru. Aliumia rasilimali nyingi za nchi kwenye ukombozi wa Afrika.

hakika mpaka anakimbia madarakani nchi ilikuwa mufilisi. hakuna pesa hakuna vitu madukani kuanzia nguo mpaka vyakula vilukuwa kwa foleni. yeye ndie aliyekuwa muasisi wa ulanguzi.

Alhaj Mwinyi,

Huyu alikuwa na kazi kubwa ya kurudisha imani za wananchi kwenye nchi yao. Alifungua mipaka ya RUKSA kila kitu. hapo mitumba, vyakula na mahitaji yakawa mengi sana na nchi ikawa powa kabisa na ndipo waTZ wakaanza kuonekana wasafi na wenye mvuto kwa jamii.

MKAPA,

yeye falsafa yake ni uwazi na ukweli. hakika huyu mwana taaluma mwenzangu alileta suala la kugawa mashirika ya umma kwa wachache na kufanikiwa kuasisi UFISADI.

JM Kikwete,

Awamu yake ameanza na mengi ikiwa pamoja na Udini ikiwa pamoja na kuondoa magugu ya ufisadi uliopandwa na wanzake.

Mimi naona ana nafasi kubwa sana kama ataamua kuondoa mambo hayo na kuiweka TZ kuwa maisha bora kwa kila mtu,
 
jamani mi lazima tukubali kuwa kila mtu ana uhuru wa kutoa mawazo bila kuvunja sheria.
Nimesoma makala hiyo ila sikuona chochote zaidi ya maono yake kuhusu mustakabali wa Taifa la Tanzania hususan issue ya udini na ufisadi. na vile vile kama kuna mtu anamgusa au ametajwa jina na kudhalilishwa ana haki kamili ya kujibu au hata kufungua mashtaka kwenye vyombo vya sheria.

Tuheshimu uhuru wa habari jamaa
Mwe mnafikiria vitu vingine kabla hamjaanza kudonyoa keys zenu. Marehemu ataweza kwenda mahakamani?

Tatizo lao wakiambiwa ukweli wanapayuka payuka tu, akili zao zimetekwa na "utakatifu" wa Nyerere, macho yao yamezibwa na "Ubaba wa Taifa" wanaouwona kama "utume" kwa hiyo Nyerere hana wala hakuwa na dhambi, masikio yao ndo kabisa hayasikii sauti za maumivu za hata wale walioumizwa na Nyerere kwa mkono wake na kwa amri zake, ambao hawakupata nafasi siku hizo za kutoa ukelele wa maumivu wala bega la kuwanyamazisha vilio vyao, leo watu wapo huru wanasema kilichotokea wanaonekana eti wanamsema "baba wa TaIFA" au wanavyomuona wao kama "Mungu Mtu". Labda niwakumbushe kuwa imesemwa na wenye busara zao na khofu kwa Mungu wao kuwa "zambi haifi, wema hauwozi na kama utakavyokopesha(tenda) ndivyo utakavyolipwa(tendewa)". Kama inakubalika kukumbuka mazuri ya Nyerere, ili tujigeze nayo, basi na mabaya yake yakumbukwe na yakumbushwe ili tujiepushe nayo, kwa kuwa hakuna binaadamu mkamilifu asiye na dhambi. Nyerere alikuwa na mazuri na mabaya yake, watu wala wasione vibaya yanaposemwa yote muhimu ni ukweli tu na si kuzusha.

.

sasa hii ni kashfa kwa kiongozi wa Tanzania aliyechaguliwa na kula nyingi za watanzania.

Kila kiongozi ana zama zake na ndani ya zama zake mengi yanatokea mazuri na mabaya.
haya tumueleze ili kumsaidia kurekebisha mabaya yake na kuzidi kudumisha mazuri yake.
BUCHANAN,

Mimi naona wewe ni Mkatoliki, kwani hakika wakatoliki hawazidi 20% ya watanzania wote .Lakini hawa ni wale waliotokea kudekezwa na kubebwa na JKN na ndio mpaka leo wanaoleta chokochoko huko Tanzania. Wametoa waraka huko makanisani kwa nia ya kupandikiza chuki kwa kiongozi aliyechaguliwa na watu na ndo wao WANAOJIFANYA WASEMAJI WAKUU WA WATANZANIA.

MIMI NASHANGAA KWANINI WASIANZISHE CHAMA CHA SIASA NA KUWEKA KIONGOZI AU VIONGOZI WENYE SIFA WALIZOTAJA KWENYE WARAKA WAO TUONE. ACHENI UNAFIKI WA KUTAKA KUENDESHA NCHI KWA REMOTE CONTROL.

MLIZOEA KUDEKEZWA NA JKN. SASA KIJASHO KITAWATOKA. KAZENI BUTI

Hii kwangu mimi hawa watu hapo juu ndio sababu ya msingi ya kuvunja muungano. Hawa wazanzibara ni sumu mbaya sana kwenye taifa hili. Inakuwa vigumu sana kupata maendeleo ukiwa umezungukukwa na mafisadi halafu wakaongezeka na wa dini kama hawa jama hapo juu.
 
Hawa waislamu ni wa kuwachinja kama kuku, wapotee katika uso wa dunia.

kashindwa BUSH ataweza nani?
nashukuru wengi sasa wanaujua uislam, kwani kila penye nia mbaya basi unaleta kheri upande mwingine.

HAKIKA BATILI HAIWEZI KUISHINDA HAKI
 
HAKIKA BATILI HAIWEZI KUISHINDA HAKI
Yes!kumbe unafahamu kuwa dini yako ni batili, huwezi kupata haki, haki yako yako ni kuchinjwa tuu!
Ninyi ni dini ya shetani, mnachafua hali ya hewa duniani, rudini nyumbani kwenu jehanamu kwa shetani.
 
kashindwa BUSH ataweza nani?
Duuh!huna hata haya.
The Bush?Bush kawashindwa waswahili?mmmhhh!!
I respect Bush kwa kuwatolea uvivu, amewanyongeni kama mmelala usingizi wa pono,mfano mzuri tuu ni jinsi alivyomtia kitanzi sADAMU hUSSEINI, ORODHA NINDEEEEFU....
 
Back
Top Bottom