Al Huda, Sykes na Siasa za Tanzania

Mimi nawachukia watu wanaoendekeza udini! kwani hapa msikitini au kanisani? nenda kwenye jukwaa la dini mkabishane haya mambo yenu.

Mimi binafsi nachukia sana. aliyokuwa anayakataa Nyerere ndiyo haya mnayaleta ya kuangaliana kwa misingi ya dini zenu na kujadili hoja kwa misingi ya dini zenu.

Iam sorry to say this lakini huwa wakati mwingine ninaona kuna upande una inferiority complex kwasababu ya dini yao. sasa tukijitizama katika hiyo misingi tutachukiana na tutashindwa kufanya kazi pamoja huku tukijiapiza kwamba watu wa dini hii watakuwa juu kuliko wa dini nyingine n.k utafikiri mna nguvu za kimungu.

Hebu jamani tupambane kupigania kuondoa umaskini katika taifa letu badala ya kuwa busy na mambo yasiyokuwa na tija.

Dini zinatusaidia kuishi maisha ya kumpendeza mungu hapa duniani kila mmoja katika imani yake lakini haipaswi kutumika kutugawa kwa misingi ya imani ya mtu.

I wish tungekuwa hatuweki thread za namna hii mahali kama hapa au kama zikiwekwa basi ziwekwe kwenye jukwaa la dini huko.

Labda sijakuelewa vizuri. Una maana kujadili UDINI ni kuendeleza udini?

Inaelekea wale makada wa CCM wanaolalamika kuwa kujadili ufisadi ni kuhatarisha usalama wa nchi, maslahi ya chama na kupoteza muda hawako pekee.

UDINI, UKABILA, UFISADI, UBAGUZI WA RANGI, CHUKI ZA KISIASA ni MAJANGA makubwa ambayo bila ya kujadiliwa kwa uwazi kamwe hayawezi kupigwa vita kwa umakini ambao utamsadia kumuondeleza mtanzania Kiuchumi, kisiasa, kijamii na hata kiimani.

Tatizo linakuja pale tu masuala hayo yanapojadiliwa kwa chuki, kejeli, dharau na usisi na uwao uliojaa prejudices....

Kuhusu huu muono kuwa kuna baadhi ya watanzania wana inferiority complex ni wazi kutakuwa na wenye kugubikwa na superiority arrogance ambao huwaona wengine kama inferior. Lakini pia usishangae kukuta hao unaowaona wana inferiority complex ukweli ni kuwa nao pia wana tatizo la superiority arrogance la kujiona kuwa mradi wao wana imani fulani ambayo wanaamini ndiyo imani iliyo bora na ya kweli basi wengine ambao wana imani tofauti ni lazima wawe inferior na wamepotea. Haya yote ni matokeo ya kimfumo kuanzia ngazi ya famili, jamii na kisiasa ambayo ni muhimu yakajadiliwa kwa uwazi, nidhamu na busara ili KUJISAHIHISHA na kujiepusha mabaya yatokanayo na JANGA kama hii la UDINI.

omarilyas
 
Last edited:
post_old.gif
Yesterday, 10:07 PM Omarilyas This message has been deleted by Omarilyas.
post_old.gif
Yesterday, 10:25 PM Omarilyas This message has been deleted by Omarilyas.

post_old.gif
Yesterday, 11:02 PM Omarilyas This message has been deleted by Omarilyas.

post_old.gif
Yesterday, 11:12 PM Omarilyas This message has been deleted by Omarilyas.

?????????????!!!!!!!!
 
Damn I love Jamii Forums. Hii nchi haina dini period! Sisi ndio tunaoendekeza huo udini. Hasa hawa wanadai haki kila kukicha kuanzia kuvaa hijabu iko siku utakuja sikia mitaala imebadilika. Huu ni mkakati wa muda mrefu na wanapandikizana kweli kweli. Ni afadhali wangekuwa wanatumia usawa na haki kama wengine wao wanakubagua huku ukijiona.
 
Sisi ndio tunaoendekeza huo udini. Hasa hawa wanadai haki kila kukicha kuanzia kuvaa hijabu iko siku utakuja sikia mitaala imebadilika. Huu ni mkakati wa muda mrefu na wanapandikizana kweli kweli..

Umenichanganya kidogo hapa..Sisi, then hawa, wale, wao....

omarilyas
 
Majuva said:
sasa tunapambana na masters na phd, tunazo na bado zinaongezeka kwa kasi endelea kuzungumzia historia enzi ya baba wa taifa, kuwa kuna alharamain na kinondoni muslim tu, propaganda za baba zimepita, waliolalal wameamka!!!!!

Majuva,

..sasa wasomi mnapaswa kugombea uongozi Bakwata, Balukta,misikitini etc.

..hawa viongozi mlionao sasa hivi hawana upeo wa kuongoza ktk karne hii ya SAYANSI na TEKNOLOJIA.

..binafsi naamini kuwa ni jambo jema kama Wakristo na Waislamu wengi zaidi watapata elimu nzuri yenye viwango. kutakuwa na watu wachache wa kuwadanganya na kuwatumia kwa ajenda zisozowahusu kama ilivyo sasa hivi.
 
una list ya mwaka gani?? au unataka upate update? sie hatujitangazi mambo yetu taratibu ukitaka ufahamu angalia idadi waislam vyuo vikuu na waulize mmetokea wapi ndio utajua shule zetu ni za mikiani au la, baki hivyohivyo na list unayoifahamu,

sasa tunapambana na masters na phd, tunazo na bado zinaongezeka kwa kasi endelea kuzungumzia historia enzi ya baba wa taifa, kuwa kuna alharamain na kinondoni muslim tu, propaganda za baba zimepita, waliolalal wameamka!!!!!
ana data za Nyerere za mwaka 1983. hajui hivi sasa ukienda Malaysia,India hadi nchi za ulaya kuna watoto wa waswahili wanakula nondozi.wao wanakwenda ITALY kusoma agano jipya.

Chuo kikuu cha Dodoma wale maprofessor waliopewa dhamana ni waislam tizama chuo kinavyokwenda kwa kasi na kozi wanazotoa. ni chuo cha kwanza kuwa na kitengo cha utafiti.

Mkapa kakaa hakujua jinsi ya kuendeleza elimu kama anavyofanya JK. mikopo ilikuwa hakuna kipindi cha Mkapa hivi sasa hata mwanafunzi wa Tumaini anakula mkopo.
 
Mimi ningependa kuwaomba wazee wangu Ali na Abbas Pamoja na Wahariri wa Al Huda na wasomaji wake, kwamba vita ya ufisadi si dhidi ya Kikwete au dhidi ya uislamu, na ndio maana sisi wengine tukiwa ni wakristo wa kweli au la tunamsema Mkapa , Lowasa na hata Sumaye na wengine walioleteleza nchi kuangamia namna hii etc, hivyo tunaomba tushirikiane pamoja ili tuweze kuishinda hii vita bila kuhusisha ufisadi na Dini, tukigawanyika ndipo mafisadi watakapo pata njia ya kutokea. Ninavyo elewa kuna wakristo/waislamu n wapagani wazuri na vivyo hivyo tunao wabaya.
sasa nia yetu ni ipi kufanya ubaya kwa sababu upande wa pili nao ulifanya ubaya?
nafikiri cha kufanya ni kurekebisha na inapowezekana kuadhibu kwa yule aliye fanya makosa. ili hatimaye tuweze kula hiyo Keki ya taifa vizuri kwa faida ya Vizazi vyetu, vya sasa na vitakavyo kuja.

Dr. V.Kyaruzi ametutoka, tumuulize nani?
 
ana data za Nyerere za mwaka 1983. hajui hivi sasa ukienda Malaysia,India hadi nchi za ulaya kuna watoto wa waswahili wanakula nondozi.wao wanakwenda ITALY kusoma agano jipya.

Chuo kikuu cha Dodoma wale maprofessor waliopewa dhamana ni waislam tizama chuo kinavyokwenda kwa kasi na kozi wanazotoa. ni chuo cha kwanza kuwa na kitengo cha utafiti.

Mkapa kakaa hakujua jinsi ya kuendeleza elimu kama anavyofanya JK. mikopo ilikuwa hakuna kipindi cha Mkapa hivi sasa hata mwanafunzi wa Tumaini anakula mkopo.

duh!kweli madrasat zinaharibu watu,yani Mkapa hakutoa mikopo?mikopo ilianzia kwa Jk?..nyie ndugu zetu ni wakuwahurumia.
 
ana data za Nyerere za mwaka 1983. hajui hivi sasa ukienda Malaysia,India hadi nchi za ulaya kuna watoto wa waswahili wanakula nondozi.wao wanakwenda ITALY kusoma agano jipya.

Chuo kikuu cha Dodoma wale maprofessor waliopewa dhamana ni waislam tizama chuo kinavyokwenda kwa kasi na kozi wanazotoa. ni chuo cha kwanza kuwa na kitengo cha utafiti.

Mkapa kakaa hakujua jinsi ya kuendeleza elimu kama anavyofanya JK. mikopo ilikuwa hakuna kipindi cha Mkapa hivi sasa hata mwanafunzi wa Tumaini anakula mkopo.

Mkuu Kanda2, kinachokufanya ukwame ni kumwaga upu.pu bila ya kuwa na facts.
Na iwapo huu ujiinga uliouandka ndo mtazamo wa Waislam wote, nasikitika mna safari ndefu
 
Katika hali kama hii ukijumlisha na historia ya ALLY HASSAN MWINYI ambaye alifikia hata kuambiwa ameoa mtoto wa shule(JK ameshapewa wake watatu hadi sasa), kila biashara mjini ni ya Mama Sitti (juzi nilikuwa Morogoro nikaonyeshwa hoteli naambiwa ya Mama Salma), mnategemea kutakosa waislamu wenye kushuku nia haswa ya hii vita ya UFISADI (sina uhakika kama ni vita dhidi ya ufisadi).

Haya ndiyo mazingira ambayo Mzee Kingunge anashindwa kuwaeleza wazi anaposita kuingia katika mkumbo wa kucheza na "timu ya ushindi" katika suala la Waraka wa kiuchungaji wa kanisa la katoliki". Sio yaliyomo bali hali ya kisiasa na kijamii haindani na utoaji waraka huo.....Na kwa yeyote mwenye busara na uvumilivu ni rahisi kung'amua hilo.....

omarilyas


Haa hata hili manbisha?
Huyu si alikuw ashemeji yetu tukiwa TAMBAZA?
Na ni mtoto wa Kitwana Kondo na zawadi nadhani ilikuw ani kupewa UENYEKITI BODI YA KOROSHO.
 
Back
Top Bottom