HorsePower
JF-Expert Member
- Aug 22, 2008
- 3,612
- 2,566
Kwa siku za karibuni, tumekuwa tukishuhudia teknolojia ikikuwa kwa kasi ya ajabu na sasa inaonekana kuwaathiri dada zetu kwa kasi ya ajabu sana. Kuna dawa siku hizi zimeingia za kuwanenepesha wadada makalio (kuongeza hipsi), zipo za kupunguza/kuongeza matiti, zipo za kupunguza tumbo na sasa zimeingia sasa za kusimamisha matiti.
Nashawishika kufikiria beyond the box, endapo mi kijana nimepata mchumba mwenye makalio ya bandia (yametengenezwa na mchina/mganga wa kienyeji, matiti katengenezwa hapo sinza (au kwa cosmetic surgery) (machine ya kunyanyua titi yawa gumzo dar-gonga hapa), tumbo limekarabatiwa na Monalisa sliming belt (au dawa za kimasai), rangi ya ngozi ni ya bandia maana imekarabatiwa na cream za dubai/malaysia/china/USA etc! Sasa hapo nina mke kweli?
Swali langu ni je tunaelekewa wapi? Hivi tunajua madhara ya hizo kemikali na hizo sayansi za kubadili maumbile?
Na wanaume tutakuwa tunaoa nini, wadada wa kuchonga? Tutapona kweli na kansa? Na watoto tutakaowazaa je? Hawatakuwa na kasoro?
Nina waheshimu dada zangu sana na kuwapenda na si kusudio langu mada hii ieleweke tofauti, lengo ni kusikia maoni yenu juu ya sayansi hizi za kubadili maumbile na madhara yake kwa watoto wetu tutakaowaza!
Wenu,
HorsePower
Nashawishika kufikiria beyond the box, endapo mi kijana nimepata mchumba mwenye makalio ya bandia (yametengenezwa na mchina/mganga wa kienyeji, matiti katengenezwa hapo sinza (au kwa cosmetic surgery) (machine ya kunyanyua titi yawa gumzo dar-gonga hapa), tumbo limekarabatiwa na Monalisa sliming belt (au dawa za kimasai), rangi ya ngozi ni ya bandia maana imekarabatiwa na cream za dubai/malaysia/china/USA etc! Sasa hapo nina mke kweli?
Swali langu ni je tunaelekewa wapi? Hivi tunajua madhara ya hizo kemikali na hizo sayansi za kubadili maumbile?
Na wanaume tutakuwa tunaoa nini, wadada wa kuchonga? Tutapona kweli na kansa? Na watoto tutakaowazaa je? Hawatakuwa na kasoro?
Nina waheshimu dada zangu sana na kuwapenda na si kusudio langu mada hii ieleweke tofauti, lengo ni kusikia maoni yenu juu ya sayansi hizi za kubadili maumbile na madhara yake kwa watoto wetu tutakaowaza!
Wenu,
HorsePower