DIKASHWA JF-Expert Member Joined Aug 2, 2016 Posts 381 Reaction score 980 Jul 6, 2019 #21 Mwanaume unatamani kusifiwa kwa uzuri?seriously?tafuta pesa ndugu,sifa kaumbiwa mwanamke,me hakuna kitu nakichukia kama kuambiwa nimependeza.
Mwanaume unatamani kusifiwa kwa uzuri?seriously?tafuta pesa ndugu,sifa kaumbiwa mwanamke,me hakuna kitu nakichukia kama kuambiwa nimependeza.
Mtukutu wa Nyaigela JF-Expert Member Joined Sep 4, 2018 Posts 8,011 Reaction score 14,348 Jul 6, 2019 #22 Badogo said: mi mtanga ila niliishi Unguja,nikahamia Moro na sasa nipo Dar, kote ndio hivyohivyo Click to expand... Beki hasifiwi
Badogo said: mi mtanga ila niliishi Unguja,nikahamia Moro na sasa nipo Dar, kote ndio hivyohivyo Click to expand... Beki hasifiwi
Naki 12 JF-Expert Member Joined Mar 19, 2016 Posts 1,263 Reaction score 1,307 Jul 6, 2019 #23 tukiwasifia huwa mnapotezea hivi. mfano katoka saluni unamsifia baby umependeza anajibu aah kawaida tu.
tukiwasifia huwa mnapotezea hivi. mfano katoka saluni unamsifia baby umependeza anajibu aah kawaida tu.