Ahahaha! nadhani mmeshamjua.
vp unataka tujaribu kuoanisha nyota nn? Bado sijaoa mkuu
lakn ww ulisema upo upo ila nakusubir ukifika 30 mm nakuja kusain mkataba
mkuu hata mm nawaongelea wale ambao ni selective.
Masharti lukuki utafikir wao hawana kasoro
Teh teh. Ngoja niendelee kusoma mapovu zaidi. Mwenye povu jingi nahisi atakuwa around 34 and up!mkuu mbona povu? Hii ni sawa na kurusha jiwe gizan. Ukisikia wiiiiii! Uju target imetimia
wee umeoa lakini? au na wee unaweka vigezo vikubwa
sawa mkuu hata mimi huwa wananiboa sana hawa. Utadhan wao ni malaika hawana doa mwisho wa siku wakishakuwa wakubwa ndo wanatafta na hawapat maamuz ya mwisho wengne wanachagua kuwa single mumz. Wanakera sana TEAM mavigezolukuki
Du! Nimekoma.Hahaha mkuu uzi utakuwa wa makavu live soon
yani wewe unasema mimi ndiyo nimekataa kuolewa na huyu ,... sijui ni nin na nini?
ndoa ni tatizo duniani na inaleta umaskini na magonjwa mtu unaolewa na miaka 25 ukifikisha 30 upo kama kibibi kilichokosa matunzo nani kasema ndoa ndiyo kila kitu?..... pumbafyu kabisa wanaume wenyewe wa kuoa ni wapi hasa msiojielewa zaidi ya kukojoa tu kukimbia wake zenu a kwenda kwenye michepuko..... wanawake msidanganyike kukimbilia ndoa hawa wanao ongea ongea hawaijui ndoa vizuri...... yani yani natamani ningekuona nikupe maneno ya live
am 30 mtu atakayenioa ni yule aliyekidhi vigezo vyangu na mie nigeze vyake.....hatuoani hivi hivi kama hamna compatibility/chemistry!
Mimi nini mkuu? Kama ni mimi umepatia, kuna mambo meengi yanasababisha mtu kuolewa/kutokuolewa au kuoa/kutokuoa....ukiangalia kwa sababu za juu juu unaweza ukaungana na mkuu Mgirik katika sababu alizotoa.Huu uzi kuna member flani piga ua ni lazma aje apingane na mwanzisha mada.
ngoja nimsubiri aje.
Mkuu bado kuambiwaDu! Nimekoma.
hebu npe vigezo mapema ili nijue kama naingia kwenye competation au la
Life is choice so let girls choose na sio kuwasimanga eti wanatabia mbaya huo ni ujinga