Akina dada msijidanganye

Akina dada msijidanganye

Wana Haki ya kuchagua tena with confidence! Big up kwa MadameA ukweli unauma mamameA.
huyu Mgirik nahisi aliongozwa na hisia zaid kuliko uhalisia.
 
Na mimi nikulize swali lingine. Hivi usipoolewa ni lazima uwe mzinzi? Hakuna maisha bila uzinzi?

Maisha ya kutoolewa na bado ukawa sio mzinzi yanawezekana tu kwa watu wanaojua Mungu vizuri, wanaofunga na kufanya ibada kikamilifu kwa watu imani ya kikatoliki viongozi wake wa dini kama mapdri, masista, maaskofu, huwa hawaoi na sio wazinzi lakini kwa mwanamke wa kawaida ambaye sio mtawa(sista wa kikatoliki) hakiishi maisha mazuri ya ucha Mungu hawezi akafikisha miaka 30 yupo nyumbani atakuwa amekwishaolewa.
 
Maisha ya kutoolewa na bado ukawa sio mzinzi yanawezekana tu kwa watu wanaojua Mungu vizuri, wanaofunga na kufanya ibada kikamilifu kwa watu imani ya kikatoliki viongozi wake wa dini kama mapdri, masista, maaskofu, huwa hawaoi na sio wazinzi lakini kwa mwanamke wa kawaida ambaye sio mtawa(sista wa kikatoliki) hakiishi maisha mazuri ya ucha Mungu hawezi akafikisha miaka 30 yupo nyumbani atakuwa amekwishaolewa.

Hivi wewe hujawaona wadada wako wacha Mungu wazuri kabisa tena wengine mabikra kabisa na hawajaolewa?
 
Hivi wewe hujawaona wadada wako wacha Mungu wazuri kabisa tena wengine mabikra kabisa na hawajaolewa?

Huyo dada mume wake yupo njiani, Mungu anamuandalia mwanamme atakayeendana naye!!!!!!! Unajua kwamba subira yavuta heri.
 
Huyo dada mume wake yupo njiani, Mungu anamuandalia mwanamme atakayeendana naye!!!!!!! Unajua kwamba subira yavuta heri.

Ndo ufute kauli yako sasa kwamba mtu ambae hajaolewa ni mzinzi
 
Ndo ufute kauli yako sasa kwamba mtu ambae hajaolewa ni mzinzi

Haukunielewa
Ndo ufute kauli yako sasa kwamba mtu ambae hajaolewa ni mzinzi

Haukunielewa khantwe, kwa wanawake ambao hawajaolewa kuna makundi mawili kundi la kwanja wale ambao hawajaolewa na hakuna dalili zozote za yeye kuolewa na kundi la pili ni wale ambao hawajaolewa lakini wanaonekana watu wanaofaa kuitwa wake za watu, hivyo kuna uwezekano wa wao kuolewa.Kauli yangu iliwalenga wale wa kundi la kwanza.
 
Back
Top Bottom