Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 31,835
- 37,445
kwan lazma iwe hela
Hela ndo kila kitu wewe,
Mtaachwa na wanawake wote, labda uwe na style mpya na ubunifu mpya....mwambie na mwenzio
kwan lazma iwe hela
Unatoa 0713?
Pambo linahitaji kupendezeshwa?? umekariri.
Ukitaka nakupa....ila tafuta kilainisho kiitwacho Glide.
Kwa hiyo ukimuweka mwanamke ndani nani ampendezeshe?
Mtamegewa mpaka akili ziwakae tenge
Mweh, inaonekana uko na eksiperiensi!
Naomba urudie kusoma tena mada yangu ili uone kama nimezungumzia mwanamke uliyenaye kwenye mahusiano.
Konda wa bodaboda.
Nitasoma nikishiba
Hapa utawajua tu..! huyu wa kwanza wa level ya S4 tusubiri wengine mkuu.. Kwel patam hapa..!
gari nayo itamani uduniani aiiii
Jeep liko home tunafugia bata, nataka hiyo
Ukitaka nakupa....ila tafuta kilainisho kiitwacho Glide.
Ukitaka nakupa....ila tafuta kilainisho kiitwacho Glide.
Wape siku mojamoja sio mbaya, ya chips tu lakini. Si unajua viepe ndio nyota yao?
Habari za asubuhi wana MMU. Nimeona nitoe darasa kidogo kwa baadhi ya akina dada wanaopenda vya mteremko.
Ni hivi; kuna wadada(baadhi ila ni wengi wao) wanapenda kuombaomba pesa kwa watu wasiowafahamu vizuri! unakuta anafanya kama anatania kumbe ndio hivyo tena. Hii huwa inanitokea sana, huwa nashangaa mtu sina ukaribu nae wowote anakuja kuniambia nimpe hela akale chips wakati mimi mwenyewe napiga miayo tu, huwa najiuliza hivi hawajui kuwa wengi wetu pesa ni tatizo?
Acheni hiyo tabia.
Mkuu chips tu?sio tatizo wape nizani gari au nyumba kumbe chakula utapata hela nyingi ukitoa chakula
according to Konda wa bodabodaViepe? Duh we r not that cheap loh
Hii huwa inanitokea sana, huwa nashangaa mtu sina ukaribu nae wowote anakuja kuniambia nimpe hela akale chips
Habari za asubuhi wana MMU. Nimeona nitoe darasa kidogo kwa baadhi ya akina dada wanaopenda vya mteremko.
Ni hivi; kuna wadada(baadhi ila ni wengi wao) wanapenda kuombaomba pesa kwa watu wasiowafahamu vizuri! unakuta anafanya kama anatania kumbe ndio hivyo tena. Hii huwa inanitokea sana, huwa nashangaa mtu sina ukaribu nae wowote anakuja kuniambia nimpe hela akale chips wakati mimi mwenyewe napiga miayo tu, huwa najiuliza hivi hawajui kuwa wengi wetu pesa ni tatizo?
Acheni hiyo tabia.