Naanza kuwaza kwamba Ndoa sio kitu nimepangiwa

Macbook pro

JF-Expert Member
Jul 15, 2020
665
902
Habarini za wakati huu ndugu wana-MMU,

Hongereni kwa Majukumu na kwa Changamoto mnazopitia kwani hizo ndio Maisha menyewe. Ni muda umepita toka niweke post yangu hapa MMU.

Mimi ni kijana (31), asili yangu ni kanda ya Ziwa nikimaanisha Geita ila naishi Musoma kwa sasa. Katika maisha yangu ya utotoni nilibahatika kuona maisha waliyokuwa wakiishi wazazi wangu. Hivyo nimekua hivyo mpaka nafikia utu uzima ndipo nikawa nimeanza mambo ya mahusiano.

Nirudi nyuma kidogo, nimewahi kulelewa na Babu yangu mzaa Baba na mimeona mengi kwenye maisha yao ya ndoa. Babu yangu alikuwa ni mtu kupenda wanawake sana (Womaniser) lakini hii haikuwahi kuleta mgogoro nyumbani kwani Bibi hakuwahi mfuma ila sisi wajukuu tulikuwa nmtunaona harakati za Babu yetu.

Na hata mzee wangu naye vivyo hivyo naye alikuwa mtu wa kupenda wanawake, yaani kusema tu ukweli ni kwamba wazee wangu karibu wote waliwahi kuoa zaidi ya mke mmoja (Polygamists) lakini mwisho wa siku hao wake wa pili walikuwa wanaondoka mke wa kwanza anabakia na ndio wako nao hadi sasa. Nikiwa nakua nilikuwa nachukia ishu za wazee wangu kuoa mke wa pili, Nilikua nashangaa mnoo kwanini wanashindwa kubaki na mke mmoja tu. Imeisha hiyo.

Nirudi kwangu, Baada ya kuanza ku date nilikuwa mwaminifu hapo mwanzoni ila baadae nilikuwa natamani wasichana wengine. Nikawa najitahidi nisifukuzie ili tu nisiwe nao. Nikiwa kwenye early 20's nilibahatika kupata msichana ambaye baadae alinicheat na jamaa mmoja alikuwa Fundi radio na niliumia sana ila baada ya hapo sikukoma nikadaka mrembo mwingine huyu hatukukaa sana akaanza ingiza iahu za dini tukawa tumeachana, kwani tulikuwa imanj tofauti.

Nimefika chuo nikapata mdada hivi nikawa naye kwenye mahusiano na hiki kipindi sikua na pesa sana hivyo sikua napenda kuwa na mademu wengi. Nilipomaliza chuo tu nikabahatika nikapata kazi, shughuli ikaanza.

Nilikua na mrembo mmoja wa kingoni, alinipenda sana yule dada niseme ukweli ila mimi nilikua sio saana. Ila baadae nikampenda sana tu lakini hapo hapo nikaona kadada kengine kazuri tu kakiiraki nikawa na date nako hapo wapo wawili sasa .

Sasa hiyo hali ya kutokuaridhika na mwanamke mmoja imenitawala hadi sasa. Nimeoa juzi juzi tu ni miezi kadhaa ila tayari nina mchepuko ambaye huwa napiga mara kwa mara huyu ni Single mother. Ila kuna muda naamua kabisa kuachana naye ila ndio hivyo nikinuniwa huku na wife namuwaza huyu mrembo naye hana shida ananipa ushirikiano kwani huwa namjali pia pale anapokuwa na changamoto. Sasa nikipata ki trip cha kutoka huwa inakua kama fungulia mbwa yaani naweza Chapa hata mademu watatu au wanne mpaka narudi (ila natumia mpira).

Kuhusu mke wangu, aliwahi fuma meseji za mdada namsifia sifia na kumtongoza ukaibuka ugomvi ila baadae niliacha kuwasiliana na yule dada nikawa kama nimetulia ila sasa hivi tena kimewaka tena hamu ya kuchepuka ipo juu sana. Na nikishapiga hata ile hali ya kujutia sina tena. Na huyu mwanamke wa tatu kayi ya wale ambao nimewahi kuwa nao kwenye mahusiano na wote tuliachana kwa sababu yangu kucheat. Sasa hata hii ndoa siku nikifumwa nahisi tena tunaachana.

Ndio napata hili wazo kwamba labda ndoa sio kitu nilipangiwa, maana wanawake watatu niliwahi kukaa nao (ile sogea tuishi) wote waliniacha baada ya ishu za kucheat maana ugomvi ulikuwa mwingi sana. Nakuja kwenu nataka mnisaidie nifanyeje labda huenda nikatulia au hii hali ikatulia au namimi natakiwa nijiunge tu na Chama cha KATAA NDOA??

Naombeni msaada wa mawazo, chochote ambacho unaweza nishauri. Mind you, nimefanya sana kuomba kwa Mungu anisaidie hadi sasa wapi penyewe nina mtoto mmoja wa Nje ndoa daah . Ila Namshukuru Mungu mama wa mtoto hana matatizo na mimi nahudumia mwanangu kama inavyotakiwa.

20230307_102520.jpg
 
Unasema umeomba sana Mungu lakni nakwambia hujaomba kwa kumaanisha, hebu simama kwa kumaanisha, Fanya Toba ya kweli, sio yako tu hadi ya ukoo maana hicho kinachokusumbua wewe chimbuko lake ni kwenye ukoo, na kuna watu wengi sana maisha yao yameharibika kwasababu ya vitu ambavyo vilifanywa na mababu au mabibi enzi na enzi vikatembea mpaka kwenye kizazi kilichopo. Na ndio maana kwa sisi wapentekoste unapookoka lazima ufanye maombi ya ukombozi na kuvunja maagano, vifungo na laana za ukoo la sivyo utaomba na kuomba lakini hutakaa uone matokeo.

Tafuta kanisa zuri la kilokole ongea na mchungaji A to Z, atajua jinsi ya kukusaidia, in the meantime na wewe uendelee kujiombea na kumaanisha, Neno linasema;

Yak 4:7-10​

Basi mtiini Mungu. Mpingeni Shetani, naye atawakimbia. Mkaribieni Mungu, naye atawakaribia ninyi. Itakaseni mikono yenu, enyi wenye dhambi, na kuisafisha mioyo yenu, enyi wenye nia mbili. Huzunikeni na kuomboleza na kulia. Kucheka kwenu na kugeuzwe kuwa kuomboleza, na furaha yenu kuwa hamu. Jidhilini mbele za Bwana, naye atawakuza.
 
Habarini za wakati huu ndugu wana-MMU,

Hongereni kwa Majukumu na kwa Changamoto mnazopitia kwani hizo ndio Maisha menyewe. Ni muda umepita toka niweke post yangu hapa MMU.

Mimi ni kijana (31), asili yangu ni kanda ya Ziwa nikimaanisha Geita ila naishi Musoma kwa sasa. Katika maisha yangu ya utotoni nilibahatika kuona maisha waliyokuwa wakiishi wazazi wangu. Hivyo nimekua hivyo mpaka nafikia utu uzima ndipo nikawa nimeanza mambo ya mahusiano.

Nirudi nyuma kidogo, nimewahi kulelewa na Babu yangu mzaa Baba na mimeona mengi kwenye maisha yao ya ndoa. Babu yangu alikuwa ni mtu kupenda wanawake sana (Womaniser) lakini hii haikuwahi kuleta mgogoro nyumbani kwani Bibi hakuwahi mfuma ila sisi wajukuu tulikuwa nmtunaona harakati za Babu yetu.

Na hata mzee wangu naye vivyo hivyo naye alikuwa mtu wa kupenda wanawake, yaani kusema tu ukweli ni kwamba wazee wangu karibu wote waliwahi kuoa zaidi ya mke mmoja (Polygamists) lakini mwisho wa siku hao wake wa pili walikuwa wanaondoka mke wa kwanza anabakia na ndio wako nao hadi sasa. Nikiwa nakua nilikuwa nachukia ishu za wazee wangu kuoa mke wa pili, Nilikua nashangaa mnoo kwanini wanashindwa kubaki na mke mmoja tu. Imeisha hiyo.

Nirudi kwangu, Baada ya kuanza ku date nilikuwa mwaminifu hapo mwanzoni ila baadae nilikuwa natamani wasichana wengine. Nikawa najitahidi nisifukuzie ili tu nisiwe nao. Nikiwa kwenye early 20's nilibahatika kupata msichana ambaye baadae alinicheat na jamaa mmoja alikuwa Fundi radio na niliumia sana ila baada ya hapo sikukoma nikadaka mrembo mwingine huyu hatukukaa sana akaanza ingiza iahu za dini tukawa tumeachana, kwani tulikuwa imanj tofauti.

Nimefika chuo nikapata mdada hivi nikawa naye kwenye mahusiano na hiki kipindi sikua na pesa sana hivyo sikua napenda kuwa na mademu wengi. Nilipomaliza chuo tu nikabahatika nikapata kazi, shughuli ikaanza.

Nilikua na mrembo mmoja wa kingoni, alinipenda sana yule dada niseme ukweli ila mimi nilikua sio saana. Ila baadae nikampenda sana tu lakini hapo hapo nikaona kadada kengine kazuri tu kakiiraki nikawa na date nako hapo wapo wawili sasa .

Sasa hiyo hali ya kutokuaridhika na mwanamke mmoja imenitawala hadi sasa. Nimeoa juzi juzi tu ni miezi kadhaa ila tayari nina mchepuko ambaye huwa napiga mara kwa mara huyu ni Single mother. Ila kuna muda naamua kabisa kuachana naye ila ndio hivyo nikinuniwa huku na wife namuwaza huyu mrembo naye hana shida ananipa ushirikiano kwani huwa namjali pia pale anapokuwa na changamoto. Sasa nikipata ki trip cha kutoka huwa inakua kama fungulia mbwa yaani naweza Chapa hata mademu watatu au wanne mpaka narudi (ila natumia mpira).

Kuhusu mke wangu, aliwahi fuma meseji za mdada namsifia sifia na kumtongoza ukaibuka ugomvi ila baadae niliacha kuwasiliana na yule dada nikawa kama nimetulia ila sasa hivi tena kimewaka tena hamu ya kuchepuka ipo juu sana. Na nikishapiga hata ile hali ya kujutia sina tena. Na huyu mwanamke wa tatu kayi ya wale ambao nimewahi kuwa nao kwenye mahusiano na wote tuliachana kwa sababu yangu kucheat. Sasa hata hii ndoa siku nikifumwa nahisi tena tunaachana.

Ndio napata hili wazo kwamba labda ndoa sio kitu nilipangiwa, maana wanawake watatu niliwahi kukaa nao (ile sogea tuishi) wote waliniacha baada ya ishu za kucheat maana ugomvi ulikuwa mwingi sana. Nakuja kwenu nataka mnisaidie nifanyeje labda huenda nikatulia au hii hali ikatulia au namimi natakiwa nijiunge tu na Chama cha KATAA NDOA??

Naombeni msaada wa mawazo, chochote ambacho unaweza nishauri. Mind you, nimefanya sana kuomba kwa Mungu anisaidie hadi sasa wapi penyewe nina mtoto mmoja wa Nje ndoa daah . Ila Namshukuru Mungu mama wa mtoto hana matatizo na mimi nahudumia mwanangu kama inavyotakiwa.
Majibu yapo huko kwa Mungu. Endelea kuomba kwa bidii. Usikate tamaa
 
Your Weakness.
1. Hauna Msimamo wa kiume.

2. Unaendeshwa na hisia. Bado hujakua, na hio ni ishara huwezi kumuongoza Mwanamke.

3. Bado unafikiri kulala wanawake wengi ndio kutafanya ujione Mwanaume. au kutakamilisha uwanaume wako.

SOLUTION.
1. Ngono ni tendo linaunganisha Nafsi, hivyo unapaswa kuanza kuitakasa, Otherwise Maisha yako yataharibika.

2. Jifunze kuwa Mwanaume(Msimamo).

Note: Huwezi kuwa kichwa cha familia kama bado ni Mtumwa wa hisia zako.

Be a Man. know your Boundaries & Respect yourself.
 
Unasema umeomba sana Mungu lakni nakwambia hujaomba kwa kumaanisha, hebu simama kwa kumaanisha, Fanya Toba ya kweli, sio yako tu hadi ya ukoo maana hicho kinachokusumbua wewe chimbuko lake ni kwenye ukoo, na kuna watu wengi sana maisha yao yameharibika kwasababu ya vitu ambavyo vilifanywa na mababu au mabibi enzi na enzi vikatembea mpaka kwenye kizazi kilichopo. Na ndio maana kwa sisi wapentekoste unapookoka lazima ufanye maombi ya ukombozi na kuvunja maagano, vifungo na laana za ukoo la sivyo utaomba na kuomba lakini hutakaa uone matokeo.

Tafuta kanisa zuri la kilokole ongea na mchungaji A to Z, atajua jinsi ya kukusaidia, in the meantime na wewe uendelee kujiombea na kumaanisha, Neno linasema;

Yak 4:7-10​

Basi mtiini Mungu. Mpingeni Shetani, naye atawakimbia. Mkaribieni Mungu, naye atawakaribia ninyi. Itakaseni mikono yenu, enyi wenye dhambi, na kuisafisha mioyo yenu, enyi wenye nia mbili. Huzunikeni na kuomboleza na kulia. Kucheka kwenu na kugeuzwe kuwa kuomboleza, na furaha yenu kuwa hamu. Jidhilini mbele za Bwana, naye atawakuza.
Nashukuru sana kiongozi kwa ushauri wako. Nitaufanyia kazi
 
Yaani kinachokutokea ndo hicho hicho kinanitokea mimi kwenye fegi.
Wait a minute, kumbe ni nje ya mada?
Haya mkuu. Kutomba nje sio kama kupiga kwikwi, ni maamuzi binafsi.
Kama mkeo sio kipengele ndani ya nyumba, jitahidi sana uwe makini kama ikiwezekana tuliza mbupu.
But kama ni ngumu, we ongeza idadi ya watoto na mke wako. Wakishakua wengi humo ndani, hata hamu ya kula msosi itaisha.
 
Habarini za wakati huu ndugu wana-MMU,

Hongereni kwa Majukumu na kwa Changamoto mnazopitia kwani hizo ndio Maisha menyewe. Ni muda umepita toka niweke post yangu hapa MMU.

Mimi ni kijana (31), asili yangu ni kanda ya Ziwa nikimaanisha Geita ila naishi Musoma kwa sasa. Katika maisha yangu ya utotoni nilibahatika kuona maisha waliyokuwa wakiishi wazazi wangu. Hivyo nimekua hivyo mpaka nafikia utu uzima ndipo nikawa nimeanza mambo ya mahusiano.

Nirudi nyuma kidogo, nimewahi kulelewa na Babu yangu mzaa Baba na mimeona mengi kwenye maisha yao ya ndoa. Babu yangu alikuwa ni mtu kupenda wanawake sana (Womaniser) lakini hii haikuwahi kuleta mgogoro nyumbani kwani Bibi hakuwahi mfuma ila sisi wajukuu tulikuwa nmtunaona harakati za Babu yetu.

Na hata mzee wangu naye vivyo hivyo naye alikuwa mtu wa kupenda wanawake, yaani kusema tu ukweli ni kwamba wazee wangu karibu wote waliwahi kuoa zaidi ya mke mmoja (Polygamists) lakini mwisho wa siku hao wake wa pili walikuwa wanaondoka mke wa kwanza anabakia na ndio wako nao hadi sasa. Nikiwa nakua nilikuwa nachukia ishu za wazee wangu kuoa mke wa pili, Nilikua nashangaa mnoo kwanini wanashindwa kubaki na mke mmoja tu. Imeisha hiyo.

Nirudi kwangu, Baada ya kuanza ku date nilikuwa mwaminifu hapo mwanzoni ila baadae nilikuwa natamani wasichana wengine. Nikawa najitahidi nisifukuzie ili tu nisiwe nao. Nikiwa kwenye early 20's nilibahatika kupata msichana ambaye baadae alinicheat na jamaa mmoja alikuwa Fundi radio na niliumia sana ila baada ya hapo sikukoma nikadaka mrembo mwingine huyu hatukukaa sana akaanza ingiza iahu za dini tukawa tumeachana, kwani tulikuwa imanj tofauti.

Nimefika chuo nikapata mdada hivi nikawa naye kwenye mahusiano na hiki kipindi sikua na pesa sana hivyo sikua napenda kuwa na mademu wengi. Nilipomaliza chuo tu nikabahatika nikapata kazi, shughuli ikaanza.

Nilikua na mrembo mmoja wa kingoni, alinipenda sana yule dada niseme ukweli ila mimi nilikua sio saana. Ila baadae nikampenda sana tu lakini hapo hapo nikaona kadada kengine kazuri tu kakiiraki nikawa na date nako hapo wapo wawili sasa .

Sasa hiyo hali ya kutokuaridhika na mwanamke mmoja imenitawala hadi sasa. Nimeoa juzi juzi tu ni miezi kadhaa ila tayari nina mchepuko ambaye huwa napiga mara kwa mara huyu ni Single mother. Ila kuna muda naamua kabisa kuachana naye ila ndio hivyo nikinuniwa huku na wife namuwaza huyu mrembo naye hana shida ananipa ushirikiano kwani huwa namjali pia pale anapokuwa na changamoto. Sasa nikipata ki trip cha kutoka huwa inakua kama fungulia mbwa yaani naweza Chapa hata mademu watatu au wanne mpaka narudi (ila natumia mpira).

Kuhusu mke wangu, aliwahi fuma meseji za mdada namsifia sifia na kumtongoza ukaibuka ugomvi ila baadae niliacha kuwasiliana na yule dada nikawa kama nimetulia ila sasa hivi tena kimewaka tena hamu ya kuchepuka ipo juu sana. Na nikishapiga hata ile hali ya kujutia sina tena. Na huyu mwanamke wa tatu kayi ya wale ambao nimewahi kuwa nao kwenye mahusiano na wote tuliachana kwa sababu yangu kucheat. Sasa hata hii ndoa siku nikifumwa nahisi tena tunaachana.

Ndio napata hili wazo kwamba labda ndoa sio kitu nilipangiwa, maana wanawake watatu niliwahi kukaa nao (ile sogea tuishi) wote waliniacha baada ya ishu za kucheat maana ugomvi ulikuwa mwingi sana. Nakuja kwenu nataka mnisaidie nifanyeje labda huenda nikatulia au hii hali ikatulia au namimi natakiwa nijiunge tu na Chama cha KATAA NDOA??

Naombeni msaada wa mawazo, chochote ambacho unaweza nishauri. Mind you, nimefanya sana kuomba kwa Mungu anisaidie hadi sasa wapi penyewe nina mtoto mmoja wa Nje ndoa daah . Ila Namshukuru Mungu mama wa mtoto hana matatizo na mimi nahudumia mwanangu kama inavyotakiwa.
Mkuu wewe 2021 kwenye ile thread ya kuomba ushauri wa kumsaliti mchumba mtarajiwa ulisema una miaka 32, sasa Leo 2023 una miaka 31…. Hii miaka yako vipi tena? Au wewe siku zinavoenda unazidi kuwa mdogo?
 
Hizo ni roho za ukoo zinakufuatilia yaani Babu, baba, Wewe pengine na mtoto wako sasa cha kufanya omba rehema yaani toba

Tubu kwa ajili ya babu yako, baba yako na wewe mwenyewe kisha omba damu ya Yesu ikutenge na hizo roho za ukoo yaani umeshikiliwa hapa tu.
 
Hizo ni roho za ukoo zinakufuatilia yaani Babu, baba, Wewe pengine na mtoto wako sasa cha kufanya omba rehema yaani toba

Tubu kwa ajili ya babu yako, baba yako na wewe mwenyewe kisha omba damu ya Yesu ikutenge na hizo roho za ukoo yaani umeshikiliwa hapa tu.
Niliwahi kwenda kwa Wataalamu na haikua nia yangu kuuliza kuhusu hilo ila nachoshangaa yule jamaa akataja na ishu ya mimi kuwa na nyota ya kutokutulia kwenye ndoa.
 
Mkuu wewe 2021 kwenye ile thread ya kuomba ushauri wa kumsaliti mchumba mtarajiwa ulisema una miaka 32, sasa Leo 2023 una miaka 31…. Hii miaka yako vipi tena? Au wewe siku zinavoenda unazidi kuwa mdogo?
Age yangu ni kwenye 30 ila hizo age huwa naweka kwa ajili ya kumpoteza yeyote anayetaka kunijua nje ya JF
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom