Akina dada mpunguze kuomba omba

Akina dada mpunguze kuomba omba

Lengo ni kununua gari.

Mkuu!
Sasa unapoomba huwa hauangalii uwezo wa mtu anaye ombwa?Anajua kabisa hata mshahara wangu nichange miezi 6 siwezi pata Milion 2 na anajua kabisa ninavyo bangaiza hapa mjini lkn bado anaomba Milion 2!!

Swali langu huwa Je ina maana hawezi waza na kupambanua kuwa mm siwezi pata Milion 2?
 
Wewe nakuonga lift tu inakutosha.

Nyooo lift bongo lift yako mi insaidie nn labda sna enterest na vilift kwa taarfa yako ka waga washobokewa kisa lift ni hao malimbuken wenzio tena ukome kunicompea na videmu vyako kwanza vichafu kuoga afu mnakuja kutufananisha na sie ma.v weee
 
Mkuu!
Sasa unapoomba huwa hauangalii uwezo wa mtu anaye ombwa?Anajua kabisa hata mshahara wangu nichange miezi 6 siwezi pata Milion 2 na anajua kabisa ninavyo bangaiza hapa mjini lkn bado anaomba Milion 2!!

Swali langu huwa Je ina maana hawezi waza na kupambanua kuwa mm siwezi pata Milion 2?

Ukiuchuna tu anapata akili ya kupambanua.
 
Nyooo lift bongo lift yako mi insaidie nn labda sna enterest na vilift kwa taarfa yako ka waga washobokewa kisa lift ni hao malimbuken wenzio tena ukome kunicompea na videmu vyako kwanza vichafu kuoga afu mnakuja kutufananisha na sie ma.v weee

mmmmmmm.......
 
Nyooo lift bongo lift yako mi insaidie nn labda sna enterest na vilift kwa taarfa yako ka waga washobokewa kisa lift ni hao malimbuken wenzio tena ukome kunicompea na videmu vyako kwanza vichafu kuoga afu mnakuja kutufananisha na sie ma.v weee

Daaah!Lift ina ubaya gani dada ukipewa bure na ww ukitoa papuchi bure?
 
Mwambie huyo, anaona aibu kupewa lift kwenye bodoboda wakati kwao hata spoku ya baiskeli hawana.

Unazan kila mtu limbuken kama ww sio.....sio kila mvaa koti jeupe daktar wengne wauza nyama p.....u
 
Last edited by a moderator:
tumboo niandikie # yako PM nikupigie bana!Nipo Ukonga hapa kwenye bar ya Magereza napiga kitu ya baridi mweeee

Kwaiyo wataka tuje saidiana ivo vitu vya barid....ila mi namalzaga klet sjui utanimudu kwa hiloo
 
Last edited by a moderator:
Kwaiyo wataka tuje saidiana ivo vitu vya barid....ila mi namalzaga klet sjui utanimudu kwa hiloo

Dada tunarudi kule kule sasa eheheheh!Mm uwezo wangu ni savanah 2 na ukizidisha hapo nitashindwa kwa kweli!Kazi yangu hailipi vyema tumboo lkn hiyo hainizuii kukaa na warembo bar kunywa tubia 2 tuagane lol
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom