Akina dada mpunguze kuomba omba

Akina dada mpunguze kuomba omba

Habari za asubuhi wana MMU. Nimeona nitoe darasa kidogo kwa baadhi ya akina dada wanaopenda vya mteremko.
Ni hivi; kuna wadada(baadhi ila ni wengi wao) wanapenda kuombaomba pesa kwa watu wasiowafahamu vizuri! unakuta anafanya kama anatania kumbe ndio hivyo tena. Hii huwa inanitokea sana, huwa nashangaa mtu sina ukaribu nae wowote anakuja kuniambia nimpe hela akale chips wakati mimi mwenyewe napiga miayo tu, huwa najiuliza hivi hawajui kuwa wengi wetu pesa ni tatizo?
Acheni hiyo tabia.

Hapa paliniacha hoi last week!

Mrembo nimekutana naye maeneo ya ofisi yake, basi tukabadilishana namba.

Siku ya pili yake nika call na kumpa salamu tu ya kawaida.

Baada ya siku mbili nikapita jirani na ofisi yake, kumbe aliniona kwa mbali. Kilichofuata ni 'ukirudi nipitishie chips na mishikaki miwili'! Nilichoka!

Kiukweli kaumbika! Lakini hii 'first impression' imefanya nifute hadi namba!
 
Hapa paliniacha hoi last week!

Mrembo nimekutana naye maeneo ya ofisi yake, basi tukabadilishana namba.

Siku ya pili yake nika call na kumpa salamu tu ya kawaida.

Baada ya siku mbili nikapita jirani na ofisi yake, kumbe aliniona kwa mbali. Kilichofuata ni 'ukirudi nipitishie chips na mishikaki miwili'! Nilichoka!

Kiukweli kaumbika! Lakini hii 'first impression' imefanya nifute hadi namba!


Kaka ndo posho zenyewe hizo za ofisini, utasubiri sanaa neema kutoka kwa bosi.
 
Hapa paliniacha hoi last week!

Mrembo nimekutana naye maeneo ya ofisi yake, basi tukabadilishana namba.

Siku ya pili yake nika call na kumpa salamu tu ya kawaida.

Baada ya siku mbili nikapita jirani na ofisi yake, kumbe aliniona kwa mbali. Kilichofuata ni 'ukirudi nipitishie chips na mishikaki miwili'! Nilichoka!

Kiukweli kaumbika! Lakini hii 'first impression' imefanya nifute hadi namba!

Je ungeombwa kodi ya nyumba miezi sita na simu ungetupa kabisa! Mi kuombwa sioni taabu maana kutoa si lazima. Kama vile ukimtaka si lazima akubali.
 
Hapa paliniacha hoi last week!

Mrembo nimekutana naye maeneo ya ofisi yake, basi tukabadilishana namba.

Siku ya pili yake nika call na kumpa salamu tu ya kawaida.

Baada ya siku mbili nikapita jirani na ofisi yake, kumbe aliniona kwa mbali. Kilichofuata ni 'ukirudi nipitishie chips na mishikaki miwili'! Nilichoka!

Kiukweli kaumbika! Lakini hii 'first impression' imefanya nifute hadi namba!

Wanatakiwa kujiongeza kidogo! Inaboa sana, wakati fulani wakati wa lunch unamuomba kampani anadakiza "unataka kunipa lunch!" Mfyuuu! Hadi appetite inaisha!
 
hajaeleza mazingira ya kuombwa je alimtongoza au. na kama alimtongoza ina maana anataka FREE P
cc lara 1

Sorry mkuu hii "FREE P" Maana yake nini Maana naona linatumika sana JF... Hapa nimeachwa....
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom