tinna cute
JF-Expert Member
- Sep 22, 2013
- 4,630
- 2,310
Say no to Free p in lara's voice
Viepe wapelekeeni wanafunzi, mie nipeni Samsung Galaxy S5
Habari za asubuhi wana MMU. Nimeona nitoe darasa kidogo kwa baadhi ya akina dada wanaopenda vya mteremko.
Ni hivi; kuna wadada(baadhi ila ni wengi wao) wanapenda kuombaomba pesa kwa watu wasiowafahamu vizuri! unakuta anafanya kama anatania kumbe ndio hivyo tena. Hii huwa inanitokea sana, huwa nashangaa mtu sina ukaribu nae wowote anakuja kuniambia nimpe hela akale chips wakati mimi mwenyewe napiga miayo tu, huwa najiuliza hivi hawajui kuwa wengi wetu pesa ni tatizo?
Acheni hiyo tabia.
Na wewe mnyime kama unatania tania hivi, hapo mtakuwa mmefika kwenye equilibrium..
Acha ubahili...sisi wanawake ni mapambo ya dunia.
.....mtupendezeshe
Konda wa bodaboda jamani pole ukiombwa sema sina
Nikinunua chako kwani nitakuta kuna jipya au ni yale yale.!
Naona unajihami
kula mzigo bila gharama[/QUO
Free tress pass..... Hakuna gate....
Say no to Free p in lara's voice
Tena naanza na wewe kabisaaa, kuwa Konda wa bodaboda sina hela.
Konda wa bodaboda lazima una pesa za kumsaidia dada chakula - hajaomba makubwa - ni cha tumbo tu.
Mie bado nasoma id yako tu
Tafuta hela bwana acha ubahili
kula mzigo bila gharama[/QUO
Free tress pass..... Hakuna gate....
Mweh, kumbe kuna wanaolipia?
Za kulipia si zinauzwa pale Corner Bar ama zimesambaa kila pahala these days?
Cc: lara1
'Free P' ndio nini? Nahisi sikuepo siku ya kuzaliwa hilo jina
Nikinunua chako kwani nitakuta kuna jipya au ni yale yale.!