Akina Dada eti Hili lina Ukweli?

Akina Dada eti Hili lina Ukweli?

Mapigo1

JF-Expert Member
Joined
Oct 14, 2013
Posts
256
Reaction score
90
....Mdomoni watasema wanataka
mwanaume aliyetulia, mpole,
mrefu, handsome...lakini ukweli
wanajisikia salama wakiwa katika
mikono ya watu wagumu,
wasioleweka, wasiotabirika, walio
rafu kiaina.......lakini usisahau pia
na zile karatasi zinazopigwa saini
na Benno Ndulu..
 
Wa kiumeni tukae mbali na post hii tukodoe tu mimacho
 
Na WHAT DO MEN REALLY WANT? Tuangalie pande 2 za shillingi ati!
 
....Mdomoni watasema wanataka
mwanaume aliyetulia, mpole,
mrefu, handsome...lakini ukweli
wanajisikia salama wakiwa katika
mikono ya watu wagumu,
wasioleweka, wasiotabirika, walio
rafu kiaina.......lakini usisahau pia
na zile karatasi zinazopigwa saini
na Benno Ndulu..

eti Tu ukiitumia niuongo tayari..
 
So sisi ma-handsome unatuponda kiaina au???
 
....Mdomoni watasema wanataka
mwanaume aliyetulia, mpole,
mrefu, handsome...lakini ukweli
wanajisikia salama wakiwa katika
mikono ya watu wagumu,
wasioleweka, wasiotabirika, walio
rafu kiaina.......lakini usisahau pia
na zile karatasi zinazopigwa saini
na Benno Ndulu..


Sifa hizo anzia na karatasi za Benno Ndulu harafu rudi kinyumenyume!
 
Mbona mkioa mnapewa kutwa mara 3 kama dozi. BUREEEEEEEE na bado hamridhiki?

Ukifika kwenye kilele cha kilima ndio unagundua kuna milima mingine ya kupanda! Sio mimi jamani alikuwa ni mzee Madiba mwenyewe.
 
faithfulness, loyalty and respect
Really? I bet all them hoes are the most loyal and faithful subjects of yours of all time! And them wives are the most DISRESPECTFUL livin w7th ya broke a.ss for eternity! I cant agree more!
 
Ukifika kwenye kilele cha kilima ndio unagundua kuna milima mingine ya kupanda! Sio mimi jamani alikuwa ni mzee Madiba mwenyewe.
Blame it on everything except you! I couldnt be more understanding!
 
Really? I bet all them hoes are the most loyal and faithful subjects of yours of all time! And them wives are the most DISRESPECTFUL livin w7th ya broke a.ss for eternity! I cant agree more!
lost in translation ...
 
Back
Top Bottom