The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,320
- 117,612
I was being sarcastic! Kama mnavotaka ni hivo why kuchepukaring?
Hilo somo la kuchepuka tulisha jadili humu mno iko namna hii kwa mwanaume wa kiafrika just three generations back babu zetu walikuwa wanaoa not mmoja au wawili but even ten women...so in our subconscious wala hatu feel tuna chepuka..we simply feel its okay....since haturuhusiwi tena kuoa hata wawili.....iko inherited consciously ..we are polygamous trying so hard not to be.....so kuchepuka ndo maana is a non issue kwa wanaume wakiwa alone...tunakemea unafiki mbele ya wanawake but tukiwa wanaume watupu its boys being boys...