Akili za wanawake...

Akili za wanawake...

Nyinyi wavulana wa mikoani acheni kutuletea frustration zenu, hayo mambo yanatamalaki huko huko mikoani, sisi tunaowaoa ni ma girl friends zetu, tumesoma nao, tunawajua ata wakivaa chupi na bra peke yake tunajua huwezi kuwabandua, lazima uwe umeoga kwanza maji ya ruvu na kupaka deodorant. Acheni mambo ya kishamba, waacheni akina mama wapumue.
Kama ni staili ya kuomba namba mkuu ibadili aseee

Unajifanya unasifia weeeeeeee kumbe mwishowe unaomba namba kwa mtu fulani.

Mbona wanaume wa dar hamtaki kuamka pamoja na kuwa dar ishaamka??

Kweli vae chupi na bra...tuu uoe??
.naanza kuelewa kwa nini nyinyi mko hivi
 
Mi nakubaliana na ulichosema kabisa,lakini jamani hizi za mada za wanawake mbona zimekuwa nyingi sana!? Utadhani duniani wanaishi pekee yao,siku moja moja jamani tupeni break tupumue!
Hivi hujui kwa nini??

Tunechoshwa na ubachela bhana, vutanda vyetu kugeuka makabati ya nguo, hakuna anaekujali, hakuna wa kukuweka smart, hakuna wa kukukosoa
Kwa sababu moja tuu
Kila ukimtafuta huoni malighafi za mke unakutana na mali ghafi za kahaba, sasa wewe unafikiri sisi wanaume tumependa kuishi peke yetu?? Tunahitaji kukamilika lakini spea ya kutukamili ni ninyi na mshakuwa hivo tifanyeje??
.unategemea malalamiko haya tuwapeleke nani mbuzi??
Ukitaka kununua spea za bajaji huendi kuulizia kwenye takirishi mpakato.
 
Kama ni staili ya kuomba namba mkuu ibadili aseee

Unajifanya unasifia weeeeeeee kumbe mwishowe unaomba namba kwa mtu fulani.

Mbona wanaume wa dar hamtaki kuamka pamoja na kuwa dar ishaamka??

Kweli vae chupi na bra...tuu uoe??
.naanza kuelewa kwa nini nyinyi mko hivi
afadhali hawa wanajifunika kidogo bibi yako kabla ya kuja mzungu si ndiyo ilikua aibu, vibwaya na matiti nje, embu acheni upuuzi
 
Mi nakubaliana na ulichosema kabisa,lakini jamani hizi za mada za wanawake mbona zimekuwa nyingi sana!? Utadhani duniani wanaishi pekee yao,siku moja moja jamani tupeni break tupumue!
Hahahahhahaha! sasa mkuu si ndio hot issue jamani, si ndio hayo mambo mnatufanya tutegeke sasa tusiseme?
 
Mkuu um
Mwanaume akikusifia kwa kutembea nyonyo nje, nyie mnaita boobs na makalio yakishika nguo uliyovaa ukisema unaenda na wakati huwa na nia moja tu, kukumega, kukuchapa, na kukushikisha adabu kitandani, na sifa zitaishia hapo.

Hakuna mwanaume siriaz anayeweza kukubali kuoa mwanamke asiye siriaz. Mwanamke anayeweza kuacha nje mali ambazo ni fahari ya mumewe zionwe na kila mwanaume. Nionyeshe mwanamke mwenye tabia hizi za hovyo aliyeolewa na mwanaume serious.

Wanaume sio wajinga kama wanavyoonekana usoni. Mpaka akupe pete yake lazima awe na uhakika level ya ujinga kwenye akili yako ni ziro maana anaoa kiongozi wa familia na sio muuza mwili.

Shkamooni wote mnao-boost nyonyo na kubana kalio, kumegwa na kuachwa kwako ni guarantee. Hatuoi ujinga!

Sent using jamii forums mobile app
Mkuu umepiga nyundo ya tani tano.
Mali anaziona kila mtu hadi teja,chizi ,jambazi,halafu baadaye mwanaume unaenda kifurahia.

Kweli kuolewa wanaweza kuolewa ila siyo ma wanaume welevu.

Wataendelea kusafisha nyota mpaka wazeeke
 
Mavazi ni part and parcel.

Mavazi ndio sebuleni mtunaingiapo nyumbani unaanza kuiona.

Mavazi yapo reception.

Mavazi yanakueleza wewe ni nani hata kabla hujajieleza kwa maneno yako.

Mavazi yanakuelezea nini unawaza na unataka vile watu wakuchukulie?

Mfano. Malaya anajua atavaa nini ili wateja wampate kirahisi.

Jinsi unavyovaa ndivyo ulivyo..

Tabia zote zinajadiliwa pale zinapokua hadharani. Ila ukizisitiri hakuna atakae ku judge tabia yako kama mavazi yamfanyavyo mtu.

Ni kweli tunao marafiki zetu wakiume baadhi huku mitaani tunawahurumia kwa aina ya wanawake waliowachukua ambapo wanawake zao ni wanavaa kama makahaba.

Toka nje ya Box ujue wanaume wengi tunawazA nini.

Ukijiheshimu utaheshimika and viceversa is true.




Sent using Jamii Forums mobile app
Hii imwsimama mkuu. big up
 
Uyasemayo ni kweeeli kabisaa... Lakini nyie ndo mnaofanya wazidi kuzivaa, acha unafiki mkuu.... Mngekuwa mnapinga kwa kumaanisha wala wasingevaa, tatizo nyie ndo wa kwanza kuwasifia....
Sakayo, wale wanaowasifia wanawasifia huku wanawalamba visogo vyao. halafu si unajua midege John ukiisifia tu mule mule, mataptap husifiwa na wanywa mataptap
 
Back
Top Bottom