Bry N
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 729
- 859
Hakika na kuambia, kuoa hakukimbiwiHv bado kuna mambo za kuoana..
Mm najua Eat and Run/Dump
Hapo hawakashifiwi mkuu, embu nwnda nje ya box utaelewa mtoa maada alimanisha niniHivi hakuna vingine mtakavyoandika zaidi ya kukashifu jinsia KE?
Ninyi mbona mna mapungufu mnoo lakini?!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ni staili ya kuomba namba mkuu ibadili aseeeNyinyi wavulana wa mikoani acheni kutuletea frustration zenu, hayo mambo yanatamalaki huko huko mikoani, sisi tunaowaoa ni ma girl friends zetu, tumesoma nao, tunawajua ata wakivaa chupi na bra peke yake tunajua huwezi kuwabandua, lazima uwe umeoga kwanza maji ya ruvu na kupaka deodorant. Acheni mambo ya kishamba, waacheni akina mama wapumue.
Hivi hujui kwa nini??Mi nakubaliana na ulichosema kabisa,lakini jamani hizi za mada za wanawake mbona zimekuwa nyingi sana!? Utadhani duniani wanaishi pekee yao,siku moja moja jamani tupeni break tupumue!
Tatizo mapungufu eanayoyatoa ni yale ya kikahabaSI MUANDIKE MAPUNGUFU YETU NA NYIE KWANI MMEKATAZWA MAMA?
Mh.Mimi naamini mavazi hayamfanyi mtu aolewe.......nashukuru Mungu my boy ni muelewa sana
afadhali hawa wanajifunika kidogo bibi yako kabla ya kuja mzungu si ndiyo ilikua aibu, vibwaya na matiti nje, embu acheni upuuziKama ni staili ya kuomba namba mkuu ibadili aseee
Unajifanya unasifia weeeeeeee kumbe mwishowe unaomba namba kwa mtu fulani.
Mbona wanaume wa dar hamtaki kuamka pamoja na kuwa dar ishaamka??
Kweli vae chupi na bra...tuu uoe??
.naanza kuelewa kwa nini nyinyi mko hivi
Hahahahhahaha! sasa mkuu si ndio hot issue jamani, si ndio hayo mambo mnatufanya tutegeke sasa tusiseme?Mi nakubaliana na ulichosema kabisa,lakini jamani hizi za mada za wanawake mbona zimekuwa nyingi sana!? Utadhani duniani wanaishi pekee yao,siku moja moja jamani tupeni break tupumue!
Mkuu umepiga nyundo ya tani tano.Mwanaume akikusifia kwa kutembea nyonyo nje, nyie mnaita boobs na makalio yakishika nguo uliyovaa ukisema unaenda na wakati huwa na nia moja tu, kukumega, kukuchapa, na kukushikisha adabu kitandani, na sifa zitaishia hapo.
Hakuna mwanaume siriaz anayeweza kukubali kuoa mwanamke asiye siriaz. Mwanamke anayeweza kuacha nje mali ambazo ni fahari ya mumewe zionwe na kila mwanaume. Nionyeshe mwanamke mwenye tabia hizi za hovyo aliyeolewa na mwanaume serious.
Wanaume sio wajinga kama wanavyoonekana usoni. Mpaka akupe pete yake lazima awe na uhakika level ya ujinga kwenye akili yako ni ziro maana anaoa kiongozi wa familia na sio muuza mwili.
Shkamooni wote mnao-boost nyonyo na kubana kalio, kumegwa na kuachwa kwako ni guarantee. Hatuoi ujinga!
Sent using jamii forums mobile app
Cc:joanah,Doris,paprika,valentina,jovitha!..This is shocking discovery![]()
Hii imwsimama mkuu. big upMavazi ni part and parcel.
Mavazi ndio sebuleni mtunaingiapo nyumbani unaanza kuiona.
Mavazi yapo reception.
Mavazi yanakueleza wewe ni nani hata kabla hujajieleza kwa maneno yako.
Mavazi yanakuelezea nini unawaza na unataka vile watu wakuchukulie?
Mfano. Malaya anajua atavaa nini ili wateja wampate kirahisi.
Jinsi unavyovaa ndivyo ulivyo..
Tabia zote zinajadiliwa pale zinapokua hadharani. Ila ukizisitiri hakuna atakae ku judge tabia yako kama mavazi yamfanyavyo mtu.
Ni kweli tunao marafiki zetu wakiume baadhi huku mitaani tunawahurumia kwa aina ya wanawake waliowachukua ambapo wanawake zao ni wanavaa kama makahaba.
Toka nje ya Box ujue wanaume wengi tunawazA nini.
Ukijiheshimu utaheshimika and viceversa is true.
Sent using Jamii Forums mobile app
Rahabu I like your thought process, I like it reallyNi kukosa akili ndomana wanawake tunazidi kujazana halafu unasema huolewi akati rizki unazifinga mmwenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Sakayo, wale wanaowasifia wanawasifia huku wanawalamba visogo vyao. halafu si unajua midege John ukiisifia tu mule mule, mataptap husifiwa na wanywa mataptapUyasemayo ni kweeeli kabisaa... Lakini nyie ndo mnaofanya wazidi kuzivaa, acha unafiki mkuu.... Mngekuwa mnapinga kwa kumaanisha wala wasingevaa, tatizo nyie ndo wa kwanza kuwasifia....
Thats true but usiache kuvaa vyema dada yanguNi kwel baadhi ya wanawake wanavaa vituko wanatuaibisha sisi tunaopenda kujstiri unakuta mtu kavaa kitu kmembana hata kutembea n shida unaona aibu badil yake
Ukikuta ndizi mbivu iliyomenywa na nyingine ina haijamenywa zimepangwa zinauzwa utachagua ipi?Hahahahahahahaaaaa imenibidi nicheke tu